Mzazi mwenzangu anadai atabadili cheti cha mtoto cha kuzaliwa atoe jina langu kwa kuwa ananichukia

Kubadili jina kuna process ndefu mno sidhani kama ataweza kirahisi.

Ni mikwara tu hiyo maana kufuatilia Deedpol sio jambo rahisi anaweza kuishia njiani.
 
Kubadili jina kuna process ndefu mno sidhani kama ataweza kirahisi.

Ni mikwara tu hiyo maana kufuatilia Deedpol sio jambo rahisi anaweza kuishia njiani.
Asante kwa mchango wako watu wengi watajifunza kupitia wewe
 
Hata usimjali... muache abadilishe, tafuta walipo kimya kimya na hakikisha mtoto anakutambua na uwe na mpango mkakati wa kumtimizia mahitaji kadiri ya uwezo wako mwanao (KAMA UNA UHAKIKA NI WAKO)
 
Hata usimjali... muache abadilishe, tafuta walipo kimya kimya na hakikisha mtoto anakutambua na uwe na mpango mkakati wa kumtimizia mahitaji kadiri ya uwezo wako mwanao (KAMA UNA UHAKIKA NI WAKO)
Ushauri mzuri sana nashukuru kwa mchango wako.
 
Umemalizia vizuri sana mkuu. ukiona mwanamke kafikia hatua hiyo ujue jamaa hajishughukishi na mtoto
 
Kubadili jina kuna process ndefu mno sidhani kama ataweza kirahisi.

Ni mikwara tu hiyo maana kufuatilia Deedpol sio jambo rahisi anaweza kuishia njiani.
Ni rahisi sana unui tu
 
Unamuhudumia mtoto? Kama ndio kamshtaki ustawi, tafuta polisi, huko alipo atapatikana atapewa utaratibu maalum wa malezi ya mtoto wenu.
 
Hii ni stori ya upande mmoja. Mwanamke from no where unahudumia mtoto ipasavyo anataka kubadili jina la ubini wa baba yake?!!

Siwezi kusema chochote na hii stori yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…