Kuna ushauri nimepata humu wa kukusanya ushahidi wa mali za baba mtoto wangu na huo ndiyo niupeleke mahakaman ili alipe kulingana na uwezo wake ,sina lengo nitajirike kupitia child support lakini nataka kama mzazi nimekwama na yeye asaidie wakati mwingine kuwa postive ni vizuri
[emoji38][emoji38][emoji38]kwamba wewe ni maskiniWanawake wanamatatizo Sana Mimi wangu alinipokonya mtoto na kashfa kibao kwamba Mimi maskini siwezi mtunza mwanae na nikimuhitaji masharti kibao lakini Leo hii ananitafuta nitoe maela kwa mtoto[emoji1787] na Mimi namkazia tuone yeye si alisema yupo vizuri atamtunza mwenyewe na anauwezo minipozangu tu namtazama kama nacheki derby ya kariakooo
Wengi wako hivyo,Wanawakee mnakuwaga na maneno sana mkiachana , sasa hv mnatafuta huruma za watu.
Mimi nilitengana na mzazi mwenzangu mwaka 2019,aliniambia waz waz kuwa hana mpango na mimi na wala hataki mia yangu kwani mtoto atahudumiwa na babake mpya.Tenaakataka kubadili mpaka majina ya mtoto ili ampe huyo msengerema mwenzake.
Sasa hivi analalama sana kwa marafiki na jamaa zangu kuwa sihudumii mtoto.
Inaonekana wkt mnaachana ulkua vuzur kiuchumi, afu uliachana nae kwa shombo Sana.Nyumba yangu niliyoitafuta baada ya kuachana naye,
Utaharibu zaidi,Kuna ushauri nimepata humu wa kukusanya ushahidi wa mali za baba mtoto wangu na huo ndiyo niupeleke mahakaman ili alipe kulingana na uwezo wake ,sina lengo nitajirike kupitia child support lakini nataka kama mzazi nimekwama na yeye asaidie wakati mwingine kuwa postive ni vizuri
Mahakamani au polisi haijawai kua sehem rafiki kwa yeyote, ukienda uko umetangaza vitaSipeleki kesi mahakaman ili nishindane naye bali ili anisaidie pale napokwama
Kama unataka usaidiwe,Simpeleki ili nikamfunge bali ili aelewe na asaidie sehem ambayo nimekwama
Nimecheka kwa sauti, uko sahihiMtoto uishi nae wewe ,halafu yeye alipe !!
Ukome inaonekana mwanzoni ulimuacha uyo mume kwa dharau ukijua utaweza mambo yote peke yako.Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.
Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Kweli kabisa yani hakuna mwanaume Ambaye hataki kulea mtoto lakini shida ni mama zao miyeyusho sanaKiufupi wanawake wanapenda sana show off ,mie mzazi mwezangu kamuhamisha mtoto darasa la NNE kumpeleka shule ya kiingereza baada ya miezi 8 kamrudisha kule kule kwa serikali
Ugomvi wetu mkubwa mie nitoe hela ya kusoma huko alikotaka yeye kwa vile nilijua huu ni mtego nikagoma
Kiufupi hakuna mwanaume asiyependa kulea mwanae ila viburi na maneno ya mama zao pamoja na kuwalisha sumu ,ukifikikia hela unayotoa unampa mamake unaghaili kabisa
Malezi bora ya mtoto wa nje yanategemea mawasiliano bora ya mama na baba sio unitukane afu uniambie nitume hela ya mtoto
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Unapoteza muda wako tu ningekua mimi tukienda mahakamani nakwambia uwezo wangu ni elf 15 kwa mweziSimpeleki ili nikamfunge bali ili aelewe na asaidie sehem ambayo nimekwama
Sorry to say this.. huna akili na acha kumpotosha mwenzio.Mnhhh....nyumba kuachiwa na ada ya mtoto ni vitu tofauti...umeamua tu kuwa mbishi...kisa mnadhani huyo mama anafaidi sana kwa mtoto kukaa nae..men are soo selfish at times..sijui kwa vile hamzai?
Halafu kingine kujazia nyama, wadada wengi wanadhani ustawi kunabase upande mmoja. Ila siku hizi hao ustawi wanajionea vituko vya wadada, mambo yamebadilika wengi wanaangukia pua.Kuna mwingine nae alishauriwa vibaya na wenzake, jamaa anampa 100k kwa mwezi, kampangia chumba ili mtoto apate pa kulala. Yule mwanamke akaona haitoshi bora aende ustawi wa jamii ili matunzo yaongezwe as aliona jamaa anapesa so ana wajibu wa kumhudumia yeye na mtoto, poor that girl.
Kafika ustawi akaulizwa unapewa kiasi gani, kasema 100k, malazi ya mtoto analipa baba yake. Akaulizwa unajishughukisha na nini kajibu hana kazi kwa sasa, kaambiwa TAFUTA KAZI. Jamaa kwa hasira akasema nina uwezo wa kutoa 50k kila mwezi na sina uwezo tena wa kulipia chumba. Ikapita hivyo, bidada akaambiwa arudishe mtoto kwa bibi ili hiyo 50k iwe inatumwa huko kila mwezi.
Watu mnadhani huko ustawi ni roller coaster sio.?
Fanya kazi kwa bidii, mhudumie mtoto ako wewe mwenyewe.Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.
Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.