Kiufupi wanawake wanapenda sana show off ,mie mzazi mwezangu kamuhamisha mtoto darasa la NNE kumpeleka shule ya kiingereza baada ya miezi 8 kamrudisha kule kule kwa serikali
Ugomvi wetu mkubwa mie nitoe hela ya kusoma huko alikotaka yeye kwa vile nilijua huu ni mtego nikagoma
Kiufupi hakuna mwanaume asiyependa kulea mwanae ila viburi na maneno ya mama zao pamoja na kuwalisha sumu ,ukifikikia hela unayotoa unampa mamake unaghaili kabisa
Malezi bora ya mtoto wa nje yanategemea mawasiliano bora ya mama na baba sio unitukane afu uniambie nitume hela ya mtoto
Sent from my TECNO CF7 using
JamiiForums mobile app