KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Hakika ndugu ngoja tuache kama ilivyo lakini katika uhalisia kwenye jamii zetu Hilo jambo limetamalaki sana.......na ndio jambo ambalo limeamsha hisia za chuki kwenye mjadala huu huku kila mmoja akichukua upande wake.........Mkuu, kuna gap kubwa sana ya uelewa kati yetu. Hiyo story ni one sided, with little or no facts, hatuwezi kuongea mambo mengi kama vile watu wa ustawi wa jamii. Atueleze kwanini kaachwa na kutekelezwa
Duuuh research tena!!!Kuna Mwanamke nilizaa naye aisee, Kila siku anataka Hela, Kuna siku akasema mtoto anahitajika kutoa Hela ya research shilingi laki Moja, nikauliza mtoto wa darasa la tatu anafanya research ya nini?
Wamama wanazingua sana
Bab si anatakiwa awajibike kwenye malezi.
Hao wasomao shule za bure si wanadamu?Ukweli ni kwamba kila mtu anataka mwanae apate a better start, hivyo nyie mnaomwambia sijui shule ni free mjifikiri au labda sio wazazi.
Unaona ulivyochenga sasa.
Ndio maana nikakumbia wengi wenu akili ni chenga, mnawatia aibu wanawake wenye akili ambao ni wachache.
Sasa Kama umechagua wewe international school si ulipe ADA. Kuna aliyekuzuia.
Ukishakuwa nje ya Mfumo wa mwanaume huna haki Kama Mke, mke aliyepo kwenye ndoa ndio anaweza kumshawishi mume wake tena Kwa majadiliano ya adabu kuwa Mtoto asome wapi.
Sasa ukishakuwa mpita njia huna hiyo Haki. Anayeangaliwa ni mtoto sio Kauli ya Mama yake(wewe).
Anayejua uchumi wa Mwanaume ni Yule mke WA ndoa anayeishi ndani ya mwanaume sio wewe WA nje huko.
Sijui wapi hamuelewi
Unaongea maneno ya mwisho.[emoji23][emoji23][emoji23]
Limwanaume suruali ndio limekuzalisha kumaanisha na wewe ni hamnazo tuu!
Sio lazima mtoto aende Private,
Yaani ukifika Mahakamani au ustawi wa jamii usijeongea mambo ya kipuuzi kama hayo Utaonekana kichwani ni chenga/cherema.
Ustawi wataona ndio maana uliachwa Kwa akili matope.
Mtoto anamiaka 9 amekushinda peleka Kwa Baba yake. Hutaki lea uwezavyo.
Mnajifanya mnaupendo Kwa watoto kumbe ujinga na upumbavu tuu.
Tangu lini upendo ukazidi Uwezo Kama sio akili za kijinga.
Baba yake labda anawatoto WA nje wengine wanne unafikiri ustawi wa jamii atasemaje,
Kipato changu ni 500,000 Kwa mwezi ninawatoto WA NNE, uwezo wangu ni Kutoa elfu 60.
Kama ataiona ndogo anipe mwanangu nilee.
TATIZO Lenu wanawake mnadhani nikizaa na wewe basi kwengine sina watoto. Hivyo unadhani mtoto wako ndio spesho.
Mtoto anayefaidi pesa ya Baba yake mara nyingi ni Yule anayetoka Kwa mwanamke anayejielewa/anayemheshimu Mume
Ha ha ha...Watu tozo, mafuta Bei juu halafu mtu analeta habari za ada milioni na ushee halafu amejipangia mwenyewe na form ya kujiunga kaifuata mwenyewe hajatumwa na mtu sinamejipima huyo kuwa anaweza
Mbona unakuwa mkali hivo?Mafurushi wenzie wanacoment takataka tu kama huyo furushi mwenzao. Kuachana kwenu hakupaswi kulipwa na mtoto wenu, mnapaswa kutafuta namna bora ya kumlea huyo mtoto maana hakuwaomba mumzae.
Kwanza kitendo cha nyie kuachana tayari ni doa kwenye maisha yake then bado mnamuongezea stress kwa upuuzi. Hebu muwapimage akili haya mafurushi kabla hamjaolewa nayo wala hamjayazalia.
Apambane na hali yake tu! amtafute Nani????! me wa siku hizi atakwambia kazi hana, huko Mahakamani ataenda atawaambia mkitaka,mnipe kazi au nifungeni kazi sina! wakili atakula hela dem weeee! kuliko karo!anyway fuata taratibu utapata stahiki yakoo
Yani MTU umuachie Nyumba halafu akulazimishe umtumie ada ya Shule Binafsi? Akienda kulipa anamdanya Mtoto kuwa yeye ndio amelipa na baba yake amemtelekeza hamjali!! Watoto Hao wanaosomeshwa Vizuri na baba zao wakilelewa na akina mama wapumbavu wanakua hatari sana baadae kwani wanadanganywa kuwa ada ya mamilioni alikua anatoa mana Kwa vikoba na kuuza vitunbua kumbe ni uongo.Hapana Ndugu...Mimi kwa mtazamo jawabu hilo halitoshi kuwa jibu la baba muwajibikaji kwa mtoto wake..... Hilo ni jibu fupi kwa mtu asiyependa kufanya kile alichoambiwa afanye.....ukipima uzito jambo lililo mbele yake na jibu alilotoa.......
Sasa mama atauzaje anayoishi yeye na mwanae kwa ajili ya kulipa tu ada....??
Na kama unapitia wakati mgumu kifedha si mambo ya kuzungumza na mwenzio kuamua hatima nyingine ya masomo na mustakabali wa mtoto wenu kwa pamoja.....??
Irrelevant.
Taikon wa fasihi.Unaona ulivyocherema[emoji23]
Kwa hiyo mtoto alelewe na Baba WA kambo wakati Baba yake mzazi yupo sivyo,
Wanawake macherema Kama ninyi mnatakiwa Mungu awape wanaume dizaini yangu ili akili ziwakae.
Mahakamani au ustawi wa jamii, usifikiri kuna watu wajinga wajinga Kama wewe.
Hoja mwanaume atazozitoa
1. Mtoto anamiaka 9 hivyo anaweza kuishi na Baba. Hata sheria zinaeleza.
2. Mpaka tunafika hapa Mama yake(wewe) ameonyesha Hana uwezo wa kuendelea kumtunza Mtoto kutokana na mahitaji ya mtoto kuongezeka. Hivyo naiomba Mahakama au Ustawi Kwa ruhusa yenu mniruhusu nimchukue mwanangu nimlee mwenyewe. Atakuwa anaenda kumsalimia Mama yake.
Pia sitamuomba Mama yake pesa yoyote ya kumuangalia mtoto.
3. Kutokana na matukio ya ulawiti kushika Kasi, mtoto wangu nahofia kulelewa na Baba WA kambo. Wote tunajua dunia imebadilika.
4. Nafikiri mtoto nikimlee itamrahisishia Mama na taifa letu kupata mtoto Bora kwani nitamuandaa kama wenzake kufanya shughuli ndogondogo za Ujuzi
Watoto wenzake waliopo pale NYUMBANI kila mmoja anamradi wake anaousimamia, kuna anayefuga kuku, mwingine Bata mzinga, hivyo wanajenga Ujuzi hata pesa ya matumizi siwapi wanazitolea kwenye miradi Yao.
Mtoto wangu huyu Naye atakuwa kama wenzake tena hiyo pesa anaweza msaidia hata mama yake.
5. Mtoto nikimlea Mimi wala hatutarudi tena hapa ustawi wa jamii au mahakamani kuwasumbueni. Kwani mahitaji yake na haki zake zitalindwa Kwa ukaribu zaidi kuliko akiwa mbali nami.
6. Mama yake Hana kazi inayomtosheleza kumhudumia huyu mtoto.
7. Mama yake anakosa fursa ya kuolewa na kutukanwa kuwa ni single mother kisa mtoto wangu. Ni bora nimchukue mwanangu ili kumpunguzia adha na masimango kutoka Kwa jamii.
Ndugu Hakimu, au afisa ustawi sote tunajua ilivyongumu Kwa Mwanaume kuoa single mother, ndio maana Kwa kumsaidia mwenzangu ili apate mtu mwingine nimeonelea mahakama iniruhusu nimlee mwanangu
8. Tunawapa mzigo watu wasiohusika.
Kwa nini mtoto wangu awe mzigo Kwa Baba yake wa kambo ilhali Mimi nipo, pesa kuigawanya ni ngumu ndio maana naomba mwanangu ajumuike huku na apunguze mzigo Kwa Baba WA kambo. Wote tunajua maisha ni magumu
Taikon wa fasihi.
Mtoto akiwa kwa baba huwaga wanawake nao wanatumaga pesa ya malezi?
Ilibidi wakati mnaachana mambo matatu kama mliachana mahakamani kwa kupewa talaka. 1/ talaka 2/ mgawanyo wa mali 3/ matunzo ya watoto kama wapo.Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.
Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Hela imepungua tena duuh.Kuna mwingine nae alishauriwa vibaya na wenzake, jamaa anampa 100k kwa mwezi, kampangia chumba ili mtoto apate pa kulala. Yule mwanamke akaona haitoshi bora aende ustawi wa jamii ili matunzo yaongezwe as aliona jamaa anapesa so ana wajibu wa kumhudumia yeye na mtoto, poor that girl.
Kafika ustawi akaulizwa unapewa kiasi gani, kasema 100k, malazi ya mtoto analipa baba yake. Akaulizwa unajishughukisha na nini kajibu hana kazi kwa sasa, kaambiwa TAFUTA KAZI. Jamaa kwa hasira akasema nina uwezo wa kutoa 50k kila mwezi na sina uwezo tena wa kulipia chumba. Ikapita hivyo, bidada akaambiwa arudishe mtoto kwa bibi ili hiyo 50k iwe inatumwa huko kila mwezi.
Watu mnadhani huko ustawi ni roller coaster sio.?