Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Wakuu,
Watoto ni moja ya kundi ambalo linapitia sana unyanyasaji wa kijinsia hasa kwa kuwa hawawezi kujitetea kutokana na udogo wao.
Kwenye upande huu majumbani, wazazi/walezi huwa macho hasa wakiwa na mfanyakazi wa kiume, mfanyakazi akiwa wakike kunakuwa na ka uaminifu kuwa hawezi kuwafanyia unyanyaji watoto na hivyo wazazi hupuuzia kabisa kuchunga watoto kwa jicho hilo au kufanywa kwa uchache sana.
Watoto hasa wakiume wamekuwa wakipitia sana unyanyasaji huu, unakuta mtoto wa miaka 7 au hata chini ya hapo anafundishwa jinsi ya kumfurahisha kingono dada wa kazi na yeye ndio anakuwa wa kumaliza haja zake muda wowote anaotaka.
Baadhi mnaweza sema kiungo cha mtoto kitakuwa bado kwaajili ya iutekeleza tendo hilo, lakini sio hicho tu ndio kinaweza kutumika kwake, mtoto anaweza kufundishwa kutumia mikono yake, mdomo na kadhalika kadri mfanyaji atakavyoona inafaa.
Hali hiyo inaweza kuendele muda mrefu na kumuathiri mtoto kwa njia mbalimbali kadri tukio hilo linavyozidi kufanyika, kwa kumuambukiza magonjwa, kumuathiri kisaikolojia na mabadiliko ya tabia kwa mtoto ambae anaweza kwenda kufanya vitendo hivyo kwa watoto wenzake nk.
Mtoto akifanyiwa vitendo hivi akiambiwa asiseme amini kwamba hatosema, kama hauna utaratibu wa kumfatilia mtoto wako unaweza kuja kugundua hili jambo limefikia kubaya au usije kujua kabisa kama jambo hili limetokea.
Msipuuzie kuwa wasichana wa kazi hawawezi kufanya matukio haya sababu yanafanyika, wazazi wa watoto wakike na hasa wa kiume angazeni macho upande huu, unaweza kumuepusha mtoto wako na unyanyasaji huu au ukawahi kabla hali haijawa mbaya.
Kwa mliowahi kupitia matukio haya na mzazi hajawahi kujua kuhusu hilo mnaweza kushare hapa na wengine wajifunze.
Watoto ni moja ya kundi ambalo linapitia sana unyanyasaji wa kijinsia hasa kwa kuwa hawawezi kujitetea kutokana na udogo wao.
Kwenye upande huu majumbani, wazazi/walezi huwa macho hasa wakiwa na mfanyakazi wa kiume, mfanyakazi akiwa wakike kunakuwa na ka uaminifu kuwa hawezi kuwafanyia unyanyaji watoto na hivyo wazazi hupuuzia kabisa kuchunga watoto kwa jicho hilo au kufanywa kwa uchache sana.
Watoto hasa wakiume wamekuwa wakipitia sana unyanyasaji huu, unakuta mtoto wa miaka 7 au hata chini ya hapo anafundishwa jinsi ya kumfurahisha kingono dada wa kazi na yeye ndio anakuwa wa kumaliza haja zake muda wowote anaotaka.
Baadhi mnaweza sema kiungo cha mtoto kitakuwa bado kwaajili ya iutekeleza tendo hilo, lakini sio hicho tu ndio kinaweza kutumika kwake, mtoto anaweza kufundishwa kutumia mikono yake, mdomo na kadhalika kadri mfanyaji atakavyoona inafaa.
Hali hiyo inaweza kuendele muda mrefu na kumuathiri mtoto kwa njia mbalimbali kadri tukio hilo linavyozidi kufanyika, kwa kumuambukiza magonjwa, kumuathiri kisaikolojia na mabadiliko ya tabia kwa mtoto ambae anaweza kwenda kufanya vitendo hivyo kwa watoto wenzake nk.
Mtoto akifanyiwa vitendo hivi akiambiwa asiseme amini kwamba hatosema, kama hauna utaratibu wa kumfatilia mtoto wako unaweza kuja kugundua hili jambo limefikia kubaya au usije kujua kabisa kama jambo hili limetokea.
Msipuuzie kuwa wasichana wa kazi hawawezi kufanya matukio haya sababu yanafanyika, wazazi wa watoto wakike na hasa wa kiume angazeni macho upande huu, unaweza kumuepusha mtoto wako na unyanyasaji huu au ukawahi kabla hali haijawa mbaya.
Kwa mliowahi kupitia matukio haya na mzazi hajawahi kujua kuhusu hilo mnaweza kushare hapa na wengine wajifunze.