Uzuri hapo hakuna mwenye obligation. Wewe unaweza kukataa , na yeye anaweza kuamua kuolewa.Sitaki kuwa mbaguzi kiimani ila hata mimi sitakubali kwa binti yangu, its two different traditions, aje mkristo wa dhehebu lolote hasa KKKT ila sio muislam. It is what it is.
Walikataliwa huwa wanarushiwa majiniUkweli usemwe ,Baba mdogo yuko sahihi na wewe simama na Baba mdogo na kukataa hiyo mahari na kumuonya Dada yako mpe hizi hoja
Na kesho na leshokutwaa mtamuweka mdogo wenu kwenye migogoro isiyoishaa
nakupa tuu hii taarifa Waisilamu ni wa baguzii na huyo dada yenu atatengwe na lazima asilimuu.
Na mwishowe ataachwaa ,simama na baba mdogo ,bora hata awaleteee dhehebu lingine lakini sio hawa akina mkojanii.
Lapili mke wa pili
Latatu mtaanza kuona dada yenu ana majini
Atawasumbua sanaaaaaaaaaa
Hadi mkomeee
Walikataliwa huwa wanarushiwa majiniUkweli usemwe ,Baba mdogo yuko sahihi na wewe simama na Baba mdogo na kukataa hiyo mahari na kumuonya Dada yako mpe hizi hoja
Na kesho na leshokutwaa mtamuweka mdogo wenu kwenye migogoro isiyoishaa
nakupa tuu hii taarifa Waisilamu ni wa baguzii na huyo dada yenu atatengwe na lazima asilimuu.
Na mwishowe ataachwaa ,simama na baba mdogo ,bora hata awaleteee dhehebu lingine lakini sio hawa akina mkojanii.
Lapili mke wa pili
Latatu mtaanza kuona dada yenu ana majini
Atawasumbua sanaaaaaaaaaa
Hadi mkomeee
Hayo mambo ya kizamani kama vile watu walikua wanaowana kwa makabila yao ,siku hizi hakuna ujinga.huo! Mshauri mzee wako soon atalea mjuku wake kutoka.kwa Abdul!!Aje hat mkkkt mweztu au mkatoli au mtag na msabato ila siyo hao jamaa Muda wowte unafanywa mke wa pili
Hili la kubadili dini Abdul awe mkristo wacha tuwasiline nae kump shart Hilo ila ss hatukubali knsa mtoto awe musilmuMpeni sharti yeye ndio abadiri dini kama anampenda binti wote wawe Christian au binti yenu abadiri dini awe muslim.
Kwa hizi primitive society zetu simshauri mtu kuoa au kuolewa na mtu wa imani tofauti, kama mnapenda kweli basi mmoja ni lazima afuate imani ya mwenzake isiwasumbuwe hata kwenye malezi ya watoto.
Ndio hvyo tumemshauri amegoma na mistari hiyo tumesoma2 Wakorintho 6:14
"Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?"
Waefeso 6:1
"Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki"
Nimeona wengi wakimwacha Yesu kwa sababu ya kutaka ndoa😭😭😭.
Hawajui wanachopoteza.
Mshaurini,akikataa mwacheni.
Ndio shida yaoWalikataliwa huwa wanarushiwa majini
Hon hiyu bint analeta upumbafuMzee akikataa hata kama alikuwa mwanaume mzuri mambo yatakwenda mlama mbeleni
Atulie kwanza mpaka moyo wa Baba ukubali
Na wewe ni walewale tu, mtu kutokuwa mfuasi wa dini za Ibrahim haina maana kwamba ni mpagani.Dini zimekuja kuleta utengano. Hapo ungekua unaoa kwa mpagani usingekutana na vikwazo hivyo.
Kwani hamuwezi kuoana na kila mtu abaki na imani yake?
Asshole, stupid..!!Pole sana,inaonekana wewe mumeo alikuolea mke wa pili,bila shaka aliona mapungufu yako ila akakuonea huruma kukutwanga talaka.
Sasa binti mbona umekua mkali? Au nimekosea kukumbushia machungu uliyoyapitia toka kwa mumeo?Asshole, stupid..!!
Ila makabila yetu tuyaruhusu yatubague?Dini za Kigeni zisitufanye tubaguane.
Binafsi, si kwa muislamu tu, hata kama ni mkristu mwenzie, kwenda kuishi na mtu mnayetofautiana kiimani ya dini, ni hatari sana. Hili haliwezi onekana huku mwanzoni. Kile kinachofanya kila mtu awe na imani yake, siku kikiibuka ndo watajua joto ya jiwe. Embu fikiria, mkatoliki anayefunga ndoa na hawa wa kipentekoste, huyu mkatoliki atamueleza nini mpentekoste juu ya Bikira maria na akamuelewa? Kwenye IDI tu hawa wa suni na wengine mnaonaga kila mtu antangaza idi yake..!! Fikiria msuni aliyeolewa na muislamu asiye msuni, siku ya idi ya mmoja, huyu anayeendelea kufunga atafungua?Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.
Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.
Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.
Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.
Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Kwamba mkuu shida kwako mke wa piliAje hat mkkkt mweztu au mkatoli au mtag na msabato ila siyo hao jamaa Muda wowte unafanywa mke wa pili
Let me tell you brother,vijana wa kikistro kwa Sasa waoaji wachache sana tena mno at the end of a day wadada wanajaa makanisani kwenda omba wapate wanaume,muislam dini inamruhusu kuoa na kumpa Mke talaka lkn wakistro hapawo tyr kuolewa na waisalam.Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo.
Mzee anasema hivi wanaume wameisha kiasi kwamba hadi aolewe na Waisilamu? kweli mdogo wetu ni mzuri sana, amesoma hadi chuo kikuu Sasa tunashamgaa posa inaletwa na watu wa imani nyingine wakati sisi tumemlea kwa taratibu zote za dini yetu ya kikristo kupitia KKKT.
Tumemshauri mdogo wetu atulie kwanza kwanza bado mdogo na pia mwanaume hawezi mkosa amtakae yeye lakini amegoma kutusikilizaa kabisa amesma ataolewa na ABDULI TU ova.
Wakuu nimshauri vipi mzee kwa ananitegemea mimi kumpa ushauri ametokea kuniamini.
Kuna msatari wa bibilia tumemsomea wa " usifunge nira na watu wasio amini " amegoma kutusikilizaa kbsa Ni ABDULI TU ANAMTAKA.
Kwa kweli Ni blaaaBinafsi, si kwa muislamu tu, hata kama ni mkristu mwenzie, kwenda kuishi na mtu mnayetofautiana kiimani ya dini, ni hatari sana. Hili haliwezi onekana huku mwanzoni. Kile kinachofanya kila mtu awe na imani yake, siku kikiibuka ndo watajua joto ya jiwe. Embu fikiria, mkatoliki anayefunga ndoa na hawa wa kipentekoste, huyu mkatoliki atamueleza nini mpentekoste juu ya Bikira maria na akamuelewa? Kwenye IDI tu hawa wa suni na wengine mnaonaga kila mtu antangaza idi yake..!! Fikiria msuni aliyeolewa na muislamu asiye msuni, siku ya idi ya mmoja, huyu anayeendelea kufunga atafungua?