kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
- #221
Sawa sister, lakini hakuna tatizo nyumbani amani imetawalaSikai kimya dogo nitaongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sister, lakini hakuna tatizo nyumbani amani imetawalaSikai kimya dogo nitaongea
Vitoto vya afu mbili hao kasamehe bure tuKwa hiyo ukampeleka mdada wa watu miezi akae na mama Yako agundue Nini? Unaoa wewe au mama Yako, akili Yako haitoshi mpaka utumie ya mama Yako, hebu tutolee utoto wa mama hapa be a man, ni Nini unataka eti nimegundua mama kaona Kuna kitu hakipo sawa muone kwanza hovyoooo
We bado mtoto sana soma kwanza umalize kijana usije ukafa kwa stress...sawa mtoto wa mama
GoodSawa sister, lakini hakuna tatizo nyumbani amani imetawala
Nasoma sister, mpaka nimalize ndyo mambo mengine yafuateWe bado mtoto sana soma kwanza umalize kijana usije ukafa kwa stress...sawa mtoto wa mama
Kuomba ushauri ni vizuri.Kutafuta mke sio jukumu lake, Mimi ndy natafuta then yeye ananipa ushauri
Nilisha jiridhisha nae na wote tuna mpango wa kuishi pamoja hapo baadaye, lakini kwa sasa nahitaji kusikiliza maoni ya mzazi wangu, naamini ameona kitu baada ya kuishi naeMaoni ya wazazi ni muhimu katika hilo. Ila tambua ya kwamba wewe ndie unae kwenda kuishi nae na sio mzazi wako. Jiridhishe na moyo wako kwamba kweli unampenda na utaenda kujenga naye familia, hiyo inatosha kabisa.
Mkuu hujaelewa mada yangu vizuri, sijasema natafuta mtu wa kuoa, ila nimesema nahisi Mama yangu kuna kitu amekiona na nahitaji anieleze ili na mimi nijueKwa sababu unamuolea mamako, endelea kutafuta mpaka upate atakayemuelewa.
Kujiuliza kwanini nilimpa mimba ni kitwanga maji kwenye kinu, tayari imeshatokea na sipaswi kuangalia nyumaHuyo binti kwanini ukampa mimba wakati unafahamu kuwa haupo tiyari kumuoa? Na unavyotaka kumuacha unatarajia Nani atamuoa?
Huenda kweli nahitaji Msaada, basi niambie nini nifanye niwe sawa kisaikolojia?Unahitaji msaada wa kisaikolojia tunza comment yangu ipo siku utajutia kwa kuharibu familia yako ili kufurahisha familia ya Mama yako
Saivi sio kama namuomba ushauri Mama, ila nahitaji aniambie kwanini hana imani nae, anieleze sababuKuomba ushauri ni vizuri.
Kuna point ya kuomba ushauri ambayo imeshaivuka. Nadhani ndo maana hata bimkubwa anakosa la kukuambia. Kabla hujamtia mimba ndo ilikuwa muda sahihi wa kuomba ushauri.
1. Kama inamkubali mkeo, una wajibu wa kumshauri mama ukijenga hoja Kwa nini wampenda huku ukidefend hoja zake.
.2. Ni ngumu mama na mkwewe wakaendelea kupendana wakikaa pamoja zaidi ya mwezi mmoja.
Hio kwa upande wakoQur'an: Wala msiikaribie zinaa.
Bi
Nasubiri nijue tatizo ni nini ndyo nifanye maamuzi
Ndio nikakuuliza je kama ana chuki binafsi au anazo sababu zake zisizo na msingi za kumkataa?Sio kama nataka aniamulie, ila nataka niskie sababu za yeye kuamua hivyo
Mkuu hujaelewa, sio anichagulie ila lnahisi kuna kitu amekiona na nataka aniambie ni kitu gani, sio kunichaguliaHapo umechagua mama yako kuwa ndio mwongozo kwenye kukuchagulia mtu wa kuishi nae mkuu.
Wewe ni mtoto wa mjomba?Mtoto Wa Mama Pro Max
Hawezi kuwa na chuki, Mama yangu ni mtu mzima na hawezi kumchukia mtoto mdogo, anajitambua na Hekima kubwaNdio nikakuuliza je kama ana chuki binafsi au anazo sababu zake zisizo na msingi za kumkataa?