kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
- #261
Hujui ulisemalo ndugu, mimi siku zote nipo tayari kuwa naeHaitaji kumuoa huyo binti ana mtafutia sababu amuache.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui ulisemalo ndugu, mimi siku zote nipo tayari kuwa naeHaitaji kumuoa huyo binti ana mtafutia sababu amuache.
Yaani umekuja na mada ambayo majibu yake unayo kichwani karibu comments zote walizo kushauri members unapingana nazo We chukua maamuzi ya Bi mkubwa wako.Huu ni mtandao huru na kila mtu ana uwezo wa kuleta mada yoyote pasipo kukiuka sheria za jukwaa.
Mambo ya msingi hayo na nitayazingatia mkuuNdoa haina experience.
Ndoa inahitaji mambo yafuatayo;
1. Upendo
2. Utayari
3. Ukomavu
4. Sacrifice
5. Maamuzi Sahihi Kwa Wakati Sahihi
6. Uhimilivu wa Mambo íwe changamoto za Maisha au mafanikio ya Maisha
Sio kuchukua maamuzi ya bimkubwa, ni kumsikiliza na kujua ana mtazamo gani then ndy mimi nifanye maamuziYaani umekuja na mada ambayo majibu yake unayo kichwani karibu comments zote walizo kushauri members unapingana nazo We chukua maamuzi ya Bi mkubwa wako.
Hauko tayari kuwa nae hapo unaishi nae kwa kumuonea huruma kwa kuwa mna mtoto laiti kama angekuwa hana mtoto kwa akili zako za kushikiwa ungekuwa umeshamtimua huyo binti.Hujui ulisemalo ndugu, mimi siku zote nipo tayari kuwa nae
Mimi siyo niliyetaka aje, Bibi alitaka kuwaona yeye na mjukuuHauko tayari kuwa nae hapo unaishi nae kwa kumuonea huruma kwa kuwa mna mtoto laiti kama angekuwa hana mtoto kwa akili zako za kushikiwa ungekuwa umeshamtimua huyo binti.
Umepata mtoto ila akili ya kuwa kama Mwanaume au baba wa familia huna kwa sasa(Samahani)Sio kuchukua maamuzi ya bimkubwa, ni kumsikiliza na kujua ana mtazamo gani then ndy mimi nifanye maamuzi
Sawa akili ya kuwa Baba sina lakini ni Baba tayari.. Nifanyeje? Nimtupe?Umepata mtoto ila akili ya kuwa kama Mwanaume au baba wa familia huna kwa sasa(Samahani)
Ndo maana nasema hio ni kwako, maana sio kila mtu anaamini hiko kitabuQur'an 39:41. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu kwa ajili ya watu wote kwa Haki. Basi mwenye kuongoka ni kwa nafsi yake, na mwenye kupotoka bila ya shaka amepotoka kwa khasara yake. Na wewe si mlinzi juu yao. 41
Mambo ya msingi hayo na nitayazingatia mkuu
Haitaji kumuoa huyo binti ana mtafutia sababu amuache.
Hujui ulisemalo ndugu, mimi siku zote nipo tayari kuwa nae
NaamMkuu unanishauri nijiunge na Kataa ndoa?
Maoni ya Mama yangu ni muhimu, nimeona hana imani naye na nataka nimuulize sababu ni niniSasa Kwa nini utake maonî ya Mtu Mwingine àmbaye hauhisiani na uchaguzi wako?
Niwe msichana?Acha uvulana
Mkuu huko hapanaNaam
Maoni ya Mama yangu ni muhimu, nimeona hana imani naye na nataka nimuulize sababu ni nini
Mpe Mama yako amleeSawa akili ya kuwa Baba sina lakini ni Baba tayari.. Nifanyeje? Nimtupe?
Kweli sijafika muda wa kuoa, hata yeye analijua hilo.Ndîo maana unaambiwa bado hujafikia Musa WA Kuoa.
Maonî ya Mtu Mwingine hayawezi kuwa muhimu kwèñye Ndoa yako.
Wewe kama hujaona tatizo Kwa Mchumba wako why unatafuta matatizo ya Mkeo Kwa Mtu Mwingine?