feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Mkuu naona huelewi tuishie hapa.Nimesema mwanzo alikuja na akaookelewa na akaishi bila shida yoyote, sijamaanisha kwamba hivyo ulivosema wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naona huelewi tuishie hapa.Nimesema mwanzo alikuja na akaookelewa na akaishi bila shida yoyote, sijamaanisha kwamba hivyo ulivosema wewe
Sawa mkuuMkuu naona huelewi tuishie hapa.
Kama ana chuki binafsi dhidi yake je? We muangalie binti kama anafaa kwako oa, hataenda kuishi na mama yako.Sio kwamba yeye ndyo afanye maamuzi, ila nataka aniambie ni sababu gani ambazo zinafanya asimkubali huyu binti
Hakuna kitu,Mama yangu ni mtu mwenye hekima na busara kubwa, hawezi kuwa na bif na mtoto mdogo
Hawezi kuwa na chuki binafsi, sasa awe na chuki kwa sababu gani? Mbona alimpokea vizuri tu na hadi leo wanaishi vizuriKama ana chuki binafsi dhidi yake je? We muangalie binti kama anafaa kwako oa, hataenda kuishi na mama yako.
Sawa, naomba tuishie hapo mkuu tusianze kumjadili mzazi wangu kwa style hiyoHakuna kitu,
Angekuwa na hekima na busara angekulea vema uelewe familia yako unatengeneza wew sio yeye
Usiusemee moyo wa mtu mwingine semea wakwako, kama hana hayo yote kwanini huisi kuwa hataki umuoe?Hawezi kuwa na chuki binafsi, sasa awe na chuki kwa sababu gani? Mbona alimpokea vizuri tu na hadi leo wanaishi vizuri
Unamuachaje binti wa watu miezi kadhaa na mama yako?Habarini ndugu
Baada ya kupata mtoto, ilibidi mzazi mwenzangu aje nyumbani kwetu kumleta mtoto Bibi yake amuone kwani alikuwa na shauku ya kumuona mjukuu wake.
Walikaa kwa kipindi cha miezi kadhaa, na walikaa kwa furaha na amani. Mama yangu alifurahi kwani mwanzo aliona na kusifia tabia nzuri na kujituma kwa binti yule.
Kadri siku zilivyokuwa zinasonga, nikahisi kuna jambo halipo sawa, kila nikiongea na Mama kuhusu mipango ya baadae alikuwa haonyeshi dalili za kubashiri ndoa yangu na binti yule. Nikajua tu hajaridhika nae.
Lakini naamini Mzazi wangu ananijua vizuri na anajua ni kipi kitanifaa na kuendana na mimi, nahisi kuna vitu amegundua kwa binti yule kwa muda aliokaa nae.
Mimi sina tatizo na mawazo na ushauri wa Mzazi wangu, lakini najiuliza je ni sahihi kuendelea kumuaminisha binti huyu kwamba nitamuoa ilihali najua Mzazi wangu hajaridhika nae?
Najiuliza nimwambie mapema kwamba haitowezekana kufunga ndoa hapo badae? Naogopa kumpa maumivu na kumfanya akose amani.......
Ni uamuzi gani wa busara napaswa kufanya wadau? Naombeni ushauri wenu bila kebehi na masihara..
Asanteni.....
Sijui kwanini hataki, ila nitamuuliza anipe sababu, naamini kuna kitu ameonaUsiusemee moyo wa mtu mwingine semea wakwako, kama hana hayo yote kwanini huisi kuwa hataki umuoe?
Huna akili kwa kauli hiiMimi sipo tayari kumkwaza Mama yangu, japo mimi ndyo nina maamuzi ya mwisho lakini ni lazima nisikilize ushauri wake
Bado hajaniambia sababu ya hayo, akiniambia na Mimi nitachunguza na kujiridhishaUnamuachaje binti wa watu miezi kadhaa na mama yako?
Hapo ndipo ulipokosea, ninachokiona mimi ni mama yako anataka binti wa watu awe photocopy yake, yaan anavyokulea mama yako ndivyo na binti akulee wewe. Sio sahihi.
Sababu zipi zinafanya mama yako kutoridhika na uyo binti?Habarini ndugu
Baada ya kupata mtoto, ilibidi mzazi mwenzangu aje nyumbani kwetu kumleta mtoto Bibi yake amuone kwani alikuwa na shauku ya kumuona mjukuu wake.
Walikaa kwa kipindi cha miezi kadhaa, na walikaa kwa furaha na amani. Mama yangu alifurahi kwani mwanzo aliona na kusifia tabia nzuri na kujituma kwa binti yule.
Kadri siku zilivyokuwa zinasonga, nikahisi kuna jambo halipo sawa, kila nikiongea na Mama kuhusu mipango ya baadae alikuwa haonyeshi dalili za kubashiri ndoa yangu na binti yule. Nikajua tu hajaridhika nae.
Lakini naamini Mzazi wangu ananijua vizuri na anajua ni kipi kitanifaa na kuendana na mimi, nahisi kuna vitu amegundua kwa binti yule kwa muda aliokaa nae.
Mimi sina tatizo na mawazo na ushauri wa Mzazi wangu, lakini najiuliza je ni sahihi kuendelea kumuaminisha binti huyu kwamba nitamuoa ilihali najua Mzazi wangu hajaridhika nae?
Najiuliza nimwambie mapema kwamba haitowezekana kufunga ndoa hapo badae? Naogopa kumpa maumivu na kumfanya akose amani.......
Ni uamuzi gani wa busara napaswa kufanya wadau? Naombeni ushauri wenu bila kebehi na masihara..
Asanteni.....
Mkuu kuwa makini usipokuwa na maamuzi yako binafsi ukawa mtu wa kuamuliwa na wengine hata huyo mama yako atakudharau.Sijui kwanini hataki, ila nitamuuliza anipe sababu, naamini kuna kitu ameona
Bado sizijui sababu, ila nitamuuliza anipe sababuSababu zipi zinafanya mama yako kutoridhika na uyo binti?
Sio kama nataka aniamulie, ila nataka niskie sababu za yeye kuamua hivyoMkuu kuwa makini usipokuwa na maamuzi yako binafsi ukawa mtu wa kuamuliwa na wengine hata huyo mama yako atakudharau.
Sijui umri wako,Sawa, ila mimi sina tatizo na mzazi mwenzangu, tunaelewana vizuri na naamini tutakuwa pamoja ila tu lazima nimuulize bimkubwa maoni yake
Sio maoni ya watu bali maoni ya Mama yangu.Sijui umri wako,
Ila kama umefika miaka 20, na una akili kama hizi, bas wew ni kilaza,
Unaoa kwa maoni ya watu? Be a man, do whatever the hell you want,
Yuko ni mkeo au mke wa familia yako?? Kama tu haujawahi kujua hakunaga mkwe mzuri kwa mama mkwe.....kama yupo ni mmoja kati ya mia.Habarini ndugu
Baada ya kupata mtoto, ilibidi mzazi mwenzangu aje nyumbani kwetu kumleta mtoto Bibi yake amuone kwani alikuwa na shauku ya kumuona mjukuu wake.
Walikaa kwa kipindi cha miezi kadhaa, na walikaa kwa furaha na amani. Mama yangu alifurahi kwani mwanzo aliona na kusifia tabia nzuri na kujituma kwa binti yule.
Kadri siku zilivyokuwa zinasonga, nikahisi kuna jambo halipo sawa, kila nikiongea na Mama kuhusu mipango ya baadae alikuwa haonyeshi dalili za kubashiri ndoa yangu na binti yule. Nikajua tu hajaridhika nae.
Lakini naamini Mzazi wangu ananijua vizuri na anajua ni kipi kitanifaa na kuendana na mimi, nahisi kuna vitu amegundua kwa binti yule kwa muda aliokaa nae.
Mimi sina tatizo na mawazo na ushauri wa Mzazi wangu, lakini najiuliza je ni sahihi kuendelea kumuaminisha binti huyu kwamba nitamuoa ilihali najua Mzazi wangu hajaridhika nae?
Najiuliza nimwambie mapema kwamba haitowezekana kufunga ndoa hapo badae? Naogopa kumpa maumivu na kumfanya akose amani.......
Ni uamuzi gani wa busara napaswa kufanya wadau? Naombeni ushauri wenu bila kebehi na masihara..
Asanteni.....
Huyo binti arudi kwao wewe ukae na mama ako 😹Sio maoni ya watu bali maoni ya Mama yangu.