Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Sa si umuulize? Au mama yako yupo humu jf?Sio kwamba yeye ndyo afanye maamuzi, ila nataka aniambie ni sababu gani ambazo zinafanya asimkubali huyu binti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa si umuulize? Au mama yako yupo humu jf?Sio kwamba yeye ndyo afanye maamuzi, ila nataka aniambie ni sababu gani ambazo zinafanya asimkubali huyu binti
Kwao lazima atarudi kwani alikuja kusalimia tu na swala la ndoa bado muda haujafikaHuyo binti arudi kwao wewe ukae na mama ako 😹
Ukitaka kujua mwenye hekima na maamuzi siyo mama yako tu, nenda kakae na wewe week moja ukweni kwako(achana na miezi kadhaa).Ni kweli sio kila kitu lazima mzazi ashauri, lakini jambo kama hili ni muhimu kumpa nafasi ya kushauri, pia Mama yangu ni mtu wa hekima sana, namuamini katika maamuzi yake
Soon nitamuulizaSa si umuulize? Au mama yako yupo humu jf?
You don't think like one. You think like Mama's boy.I already think like a Man, there is no need to watch anything
Mimi mapungufu ninayo na Mama yangu anayajua, huenda ameona nitampa shida mtoto wa watu kwahiyo anataka kumuokoa na mapungufu yanguUkitaka kujua mwenye hekima na maamuzi siyo mama yako tu, nenda kakae na wewe week moja ukweni kwako(achana na miezi kadhaa).
Uone kama wazazi wake watakubali mtoto wao aolewe na mme kama wewe, yawezekana we ndiyo ukawa na mapungufu mengi kuliko huyo demu.
Sa hapa unataka tukusaidieje? Au ni taarifa tu unatupa sie washkaji zako?Soon nitamuuliza
Sio mke wangu wala wa familia yangu, bado hatuna ndoaYuko ni mkeo au mke wa familia yako??
Nyie ni watoto wa wajomba au?"Watoto wa mama tunawavisha kanga..."
Katika sauti ya Dogo Janja.
Nimeomba ushauri na nimeipata naufanyia kazi, kama wewe huna maoni kwenye hili ni afadhali ukae kimyaSa hapa unataka tukusaidieje? Au ni taarifa tu unatupa sie washkaji zako?
Nashukuru sana mkuu kwa ushauri mzuri, pamoja sanaKaa na Mama muulize vizuri, naamini kuna kitu ameona na hawezi ruhusu uingie pabaya. Usiogope kwa maneno ya humu, Mama yako mpe thamani na usiache kumsikiliza.
Brother, Mimi najua ninacho kifanya, kuleta hii mada humu Jf ni maamuzi yangu pia, pia siwezi kuacha kumsikiliza Mama yangu.You don't think like one. You think like Mama's boy
What kind of a man to thinks like this?
Unaharibu ndugu. Think like a man.
Mimi ndyo naoa lakini lazima nipate maoni ya wazazi wanguAnae oa ni mama yako au wewe? Ukitaka wa kufanana nae tabia oa dada yako ambae mmelelewa na mama mmoja
Sawa brother. Kila la kheri.Brother, Mimi najua ninacho kifanya, kuleta hii mada humu Jf ni maamuzi yangu pia, pia siwezi kuacha kumsikiliza Mama yangu.
Pamoja sana mkuu, hapa nipo na dogo anawasalimu sana Watu wa Jf 😂Sawa brother. Kila la kheri.
Naamini nikikaa nae na kumuuliza atanipa sababu zote, na mimi nitazipima na kuona zina uhalisia ganiYukosahihi ,na alitamani kuona mjukuu kama ulivyosema ajiridhishe ni wako...... Mwanamke Bora hazalii nyumbani
Sure mkuu, usimpuuze mama ako kama ana hoja za msingi, kumbuka mambo yakialibika mama ako atakua upande wako hata kama yeye ndie chanzo tofauti na mwanamke ambae atakukimbia.Brother, Mimi najua ninacho kifanya, kuleta hii mada humu Jf ni maamuzi yangu pia, pia siwezi kuacha kumsikiliza Mama yangu.