Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Uchawi ni wao siyo wa Yanga. Wachawi ni Simba SC.siku hawa wazee watakapofutika duniani ndipo yanga itakapofanya vizuri. wakiwepo hawa, yanga imetawaliwa na imani za kichawi na mashindano ya wao kwa wao. kila unachokifanya wazee wanataka waabudiwe kwanza kwasababu wao ndio wazee wa mila hapo jangwani, ukienda vibaya tu unafungwa. tutatawaliwa na imani za kizee hadi lini? Mungu awape maisha marefu hata wakifika miaka 100 haina shida, ila siku Mungu atakapoamua kuwachukua hapa duniani ndipo yanga itakuwa timu bora.
We jamaa mbona unamshushua mwenzako ndugu ????Acha umbeya wew shabiki wa maji maji fc..ya yanga yanakuhusu nin
clabu bingwa ya vitukoManji anaondoka kabla ya kurudisha goli 5!
Hujui kama Max ni Simba damu mkuu?JF bora wainunue Yanga!!
Manji anaondoka kabla ya kurudisha goli 5!
Kwa mujibu wa matangazo ya Efm, Mzee Akilimali amesimamishwa na kikao cha Wenyeviti wa Matawi Yanga. Sasa sijui kama hicho kikao ni halali kufanya hayo maamuzi au kina mamlaka ya kuamua hapo ni katiba ya Yanga ndiyo itakayoamua.
Ehhhh kumbe ni Dada !!!Sijakuelewa dada yangu hebu fafanua kidogo ulichotaka kumaanisha
Kausoma mchezo.....kaziona bao nane msimu ujao...kaamua akimbie....
If that's what it takes to be happy, tutaendelea kumpigia Magoti....Aibu kubwa kwa klabu kubwa kama Yanga kwenda kumpigia magoti Gabacholi!
Idadi ya Makombe aliyo yatwaa akiwa kama Kiongozi wa Yanga SC yanathamani kubwa sana kuliko idadi ya Mabao 5 yenye points 3 zilizoshindwa kukupa ubingwa.
Forza Yanga!
Ni bora aendelee kuabudiwa mwenye nacho... Kuliko kumuabudu asiye nacho.Hivi kukurupuka ni tusi ? Ndio hivyo tena wenye pesa na mamlaka wataendelea kuabudiwa
Ni kweli unachosema.Soka la jadi la Tanzania ni pasua kichwa. Simba na Yanga ni kama mapacha, wanafanana sana. Usitegemee jambo jipya sana pale Msimbazi au Jangwani, ni mahali pa wajanja wa mjini kupiga pesa kirahisi. Ninawasikitikia sana wanachama wa Simba na Yanga, na pia ninamsikitikia sana Manji na Dewji. Wanapambana na Upepo tu.
Wote ni Matapeli na wajanja wajanja tu, Dewji alikuja na Proposal ya KUIMILIKI Simba kwa miaka mitano. Manji akaja na Proposal ya kutaka KUIKODISHA Yanga kwa miaka Kumi.
Kamwe simwamini Dewji wala Manji katika hayo. Michezo yote wanaicheza nyuma wa Pazia, hakuna uwekezaji wa kificho, huo ni utapeli tu.
Sawa jombaaNi bora aendelee kuabudiwa mwenye nacho... Kuliko kumuabudu asiye nacho.
Leo baada ya kushindwa kurudisha ndo mmekumbuka hiyo kauli! Kwa nini mliahidi?
Kwani Manji karudi? Au Mengi na Dangote mmoja kapitishwa?Naskia leo mliamua kufunga na kuomba mambo yazidi kwenda kombo tehtehteh.
Pia usisahau kuwa..
Mabao 5 yamekupa alama 3 bila Ubingwa wa msimu huo.
Mabao 4 kwenye mechi 2 yamempa Yanga alama 6 na Ubingwa juu.
Sasa hapo Ukiulizwa nani mjanja, kati ya aliyefungwa 5 kwa mechi 1 au 4 kwa mechi 2 yupi mwenye afadhali.? Usijibu kishabiki [emoji23]
Mzee Akilimali amejifedhehesha kumuomba radhi hiyo jamaa. Kumwambia mtu ukweli sio dhambi.Hatimae katibu wa baraza la wazee yanga ameuomba uongozi pamoja na wanachama&mashabiki wa chama kubwa hapa bongo msamaha kwa kauli zake za hovyohovyo,hayo ameyasema leo katika kipindi cha sportsHQ kupitia redio pendwa kwa sasa efm
Hivyo wanayanga wenzangu tusiwe na waswasi timu iko imara,tuendelee kutembea kifua mbele,nnauhakika manji hawezi ondoka,na kubwa tujae kesho taifa kuchukua kombe letu. Salam ziwafikie kule sharubu fc.
==============
Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Yahya Akilimali amesimamishwa uanachama kwa tuhuma za kumkashifu Yusuf Manji.
Sijamtusi M/kiti kwa kusema amekurupuka. Neno hilo ni la kawaida, sikuwa na dhamira ya kumtusi, nawaomba radhi wana-Yanga- Yahya Akilimali
Funguka mkuuSiyo tusi isipokuwa huyo Mzee anachotaka kukifanya ni cha ovyo hivyo ni lazima anyamazishwe kwa njia yoyote ile!