Tetesi: Mzee Alhaj Luteni (Mstaafu) Yusuf Makamba M/kiti CCM Bara

Kwakuwa nimekuelewa vizuri nami nasema AMINA!
 
Januari angekuwa M/Mwenyekiti ingeleta maana zaidi.
Kinana amestaafu kwa ajili ya uzee,anawezaje kuwa replaced na Mzee Makamba?
Ni kama Joe Biden ilivyobidi aondolewe kwenye tiketi ya kugombea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…