Tetesi: Mzee Alhaj Luteni (Mstaafu) Yusuf Makamba M/kiti CCM Bara

Tetesi: Mzee Alhaj Luteni (Mstaafu) Yusuf Makamba M/kiti CCM Bara

Nawaambieni ukweri ndugu zangu, tuiombee sana nchi yetu. Tuombe amani iendelee kutawala. Haijawahi kutokea rais kutoa zawadi ya pikipiki zenye jina lake kabla hata ya wakati wa kampeni.

Haijawahi kutokea rais kuwasafirisha wananchi nje ya nchi kwa lengo la 'kula bata'.. Haijawahi kutokea rais kukabidhi rasilimali za taifa kwa wageni kwa kisingizio cha uwekezaji. Yapo mengi ambayo hayawahi kutokea lakini leo yanatokea. Na yanazua maswali mengi.

Tuliombee sana Taifa letu hasa nchi ya Tanganyika! Mwenyezi Mungu aliponye hili taifa
Kwakuwa nimekuelewa vizuri nami nasema AMINA!
 
Januari angekuwa M/Mwenyekiti ingeleta maana zaidi.
Kinana amestaafu kwa ajili ya uzee,anawezaje kuwa replaced na Mzee Makamba?
Ni kama Joe Biden ilivyobidi aondolewe kwenye tiketi ya kugombea.
 
Back
Top Bottom