Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Kwanini mnamsahau Pole pole?Kakurwa is back
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mnamsahau Pole pole?Kakurwa is back
Angalau huyuLabda Kayanza Peter Pinda
Witch dokta labda.Makamba ni Dr. wa nini?
Wa fitinaMakamba ni Dr. wa nini?
Yatakuwa maajabu ya dunia.Kufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM.
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
- Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Makamu mwenyekiti nii Mzee Lukuvi au Bulemboo subiri doneeKufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM.
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
- Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Ni Dr kama alivyokuwa Dr Remmy Ongala tu.Makamba ni Dr. wa nini?
Kwakuwa nimekuelewa vizuri nami nasema AMINA!Nawaambieni ukweri ndugu zangu, tuiombee sana nchi yetu. Tuombe amani iendelee kutawala. Haijawahi kutokea rais kutoa zawadi ya pikipiki zenye jina lake kabla hata ya wakati wa kampeni.
Haijawahi kutokea rais kuwasafirisha wananchi nje ya nchi kwa lengo la 'kula bata'.. Haijawahi kutokea rais kukabidhi rasilimali za taifa kwa wageni kwa kisingizio cha uwekezaji. Yapo mengi ambayo hayawahi kutokea lakini leo yanatokea. Na yanazua maswali mengi.
Tuliombee sana Taifa letu hasa nchi ya Tanganyika! Mwenyezi Mungu aliponye hili taifa
Mbona yupo Dr Bashiru mwenye nguvu na nia ya kukiongoza chama?Mkuchuika, Chikawe, Makinda
Wa wanawakeMakamba ni Dr. wa nini?
Wacha wewe!Kakurwa is back
Dr of ABSTRACTMakamba ni Dr. wa nini?
Wa majunguMakamba ni Dr. wa nini?