Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

..wenye kigugumizi ni hao wanaodai Mwinyi alikomboa nchi toka kwenye ukoloni na ujamaa.🤣🤣
Hayo yako wewe, sidhani kama ulikuwepo wakati Mwinyi anaichukua Tanzania. Chakula hakuna, mpaka nguo za kusitiri makalai hakuna, watu viraka vitupu. Watanzania walikua wananuka vikwapa, ukiletewa sabuni ya lux kutoka Kenya basi wewe ni mfanya magendo! Khaa! Mwinyi akaondosha ujinga huo na yote hayo ndani ya siku 30 tu.

Unayajuwa hayo?
 
Mtoa mada kaamua tu kuandika yake

..Ni tuzo ya kutumikia Uislamu na Allah.

..hakuna shaka kwamba tuzo hiyo ni nzuri.

..tatizo imepambwa kwa maneno ya uongo.

..Uislamu na uongo, haviendani. Ndio maana ingekuwa vema watoe tuzo wafanyie marekebisho walichoandika.
 
Mtoa mada kaamua tu kuandika yake
Sasa kilichokuumiza roho ni kipi?> Achana na mleta mada, jibu hoja zake. Wewe unaona donge Mwinyi kutunukiwa zawadi kwa kuitumikia Tanzania Kiislaam?

Kama una donge kwa Mwinyi, kuitumikia nchi kwa kufata maadili mema ya Kiislaam, bila kubagua mtu, nasi utauwa na donge na Kikwete na sasa Mama Samia, sijui utakwepa vipi? Utapasuka.

Jionee tofauti za nchi ikiendeshwa na Muislaam na ikiendeshwa na asiye Muislam, mbona mema yapo wazi kabisa.
 
Imeishia wapi na bado inampa mazawadi ya kuutumikia Uislam.

Allah ameahidi, soma Qur'an 2:261 Unapojitolea kwenye njia zake malipo mema hayaishi.

Una donge?
Ooohhh kumbe jiwe gizani
 
Ma shaa Allah.

Mzee Mwinyi anazidi kupaa.

View attachment 2071443View attachment 2071443
Haya mambo mengine yangekuwa yanaishia misikitini,sasa kuhutumikia Uislam Kuna maslahi gani kwa nchi?maana anachosifiwa kufanya may be ni kujenga misikiti mingi,kufundisha ki Arab,na kuruhusu taasisi za kuhubiri Kiislam ziwe nyingi.
Hebu tuwe tunatangaza vitu vikubwa,
Tumlingsnishe Mwinyi na Mzee Desmond Tutu kwa mafanikio aliyoyqfanya hapa duniani kwa kuisaidia watu,
Desmond alipewa tuzo ya nobel 1980 kwa kusaidia watu sio dini!!!
Sasa Mwinyi hii tuzo yake inajurikana kwa waumini wa Kiislam tu,Tena wa mjini Dar,na Zanzibar,kule Kagera,Lindi hakuna anayeijua,hizi ni tuzo za uchochoroni.
 
Sasa kilichokuumiza roho ni ki[i> Achana na mleta mada, jibu hoja zake. Wewe unaona donge Mwinyi kutunukiwa zawadi kwa kuitumikia Tanzania Kiislaam?

Kama una donge kwa Mwinyi, kuitumikia nchi kwa kufata maadili mema ya Kiislaam, bila kubagua mtu, nasi utauwa na donge na Kikwete na sasa Mama Samia, sijui utakwepa vipi? Utapasuka.

Jionee tofauti za nchi ikiendeshwa na Muislaam na ikiendeshwa na asiye Muislam, mbona mema yapo wazi kabisa.
@FaizaFoxy You are too smart to come up with such allegations!! Kwamba uongozi ili uwe bora lazima aongoze mtu kutoka dini ya Allah.

Kumbuka Faiza humu ndani tupo sisi memba wa muda mrefu, na kwa michango yako humu ndani wengine tukawa kama wafuasi wako ukiondoa kipengee cha dini ambacho kila mtu ana uhuru wa kuabudu kwa mujibu wa imani yake.

Kwa hoja kama hii, nakuwa na mashaka kama ni umri wako unazidi kupaa na uelewa unazidi kushika au tatizo ni nini.

Nimeangalia akauti yako mara mbili mbili nikahisi labda ni parody lakini nikakumbuka hii sio twitter!

Au nikiri kwamba mimi ndio sikukufahamu ulivyo deep down! Hivi ndivyo ulivyo.


Am so disappointed.
 
..Ni tuzo ya kutumikia Uislamu na Allah.

..hakuna shaka kwamba tuzo hiyo ni nzuri.

..tatizo imepambwa kwa maneno ya uongo.

..Uislamu na uongo, haviendani. Ndio maana ingekuwa vema watoe tuzo wafanyie marekebisho walichoandika.
Mshindi wa tuzo!

Kwani walikuwa wanashindanishwa na kina nani?
 
@FaizaFoxy You are too smart to come up with such allegations!! Kwamba uongozi ili uwe bora lazima aongoze mtu kutoka dini ya Allah.

Kumbuka Faiza humu ndani tupo sisi memba wa muda mrefu, na kwa michango yako humu ndani wengine tukawa kama wafuasi wako ukiondoa kipengee cha dini ambacho kila mtu ana uhuru wa kuabudu kwa mujibu wa imani yake.

Kwa hoja kama hii, nakuwa na mashaka kama ni umri wako unazidi kupaa na uelewa unazidi kushika au tatizo ni nini.

Nimeangalia akauti yako mara mbili mbili nikahisi labda ni parody lakini nikakumbuka hii sio twitter!

Au nikiri kwamba mimi ndio sikukufahamu ulivyo deep down! Hivi ndivyo ulivyo.


Am so disappointed.
Ukweli upo wazi kabisa, labda hujaupenda tu ai ikweli siku zote huwa mchungu?

Meza tu ikuingie, hata kama chungu, ndio kweli ilivyo.
 
Mshindi wa tuzo!

Kwani walikuwa wanashindanishwa na kina nani?
Wanashindanishwa na dunia nzima, ni nani ataeutumikia Uislam zaidi. Uislam maana yake ni kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu, wewe najisalimisha kwa nani?
 
Back
Top Bottom