Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

Huyu Mzee alisifia na kuhimiza matumizi ya condom.
Yote katika kuwatumikia wananchi wake.


hususan wale wenye magovi, ilibidi awaambie ukweli! Sayansi ilishasema, kama una govi basi una asilimia zaidi za kupata ukimwi kwani hauna kinga na govi linachochea virusi kubaki na kushambulia haraka sana. Au huyajui hayo?

Uislam ni mwema sana.
 
Ukweli upo wazi kabisa, labda hujaupenda tu ai ikweli siku zote huwa mchungu?

Meza tu ikuingie, hata kama chungu, ndio kweli ilivyo.
Huyu sio wewe FaizaFoxy labda kama ulimwachia mwanao akaunti aitumie baada ya the real faiza kufikwa na umauti. Faiza ninayemfahamu lazima angejua kuwa Marekani haijawahi kuwa na kiongozi wa dini ya Allah lakini ni nchi yenye uchumi mkubwa, hoja yangu ni kwamba Mataifa yote duniani yanayofanya vizuri kwani ni ya kiislamu? Au Allah ana tatizo na Tanzania?
 
Hakuna cha kurekebisha, wanaelewa fika walichokiandika. Kuna ukoloni mbaya uliotuumiza zaidi ya wakati wa Nyerere?

Tuwe wa kweli, ulikuwepo wakati wa foleni za chakula Tanzania hii? Nani alikuja kuziondosha kabisa mpaka leo hii hazijajirudia tena?
MPINGA NYERERE UPO??!
 
,
Hayo yako wewe, sidhani kama ulikuwepo wakati Mwinyi anaichukua Tanzania. Chakula hakuna, mpaka nguo za kusitiri makalai hakuna, watu viraka vitupu. Watanzania walikua wananuka vikwapa, ukiletewa sabuni ya lux kutoka Kenya basi wewe ni mfanya magendo! Khaa! Mwinyi akaondosha ujinga huo na yote hayo ndani ya siku 30 tu.

Unayajuwa hayo?
Lkn pia tusisahau Mwinyi alivyoua mambo ya msingi, kujimilikisha mali za umma yeye pamoja na mkewe, kuuza mbuga ya wanyama ya loliondo na kuua kila aliejaribu kuhoji, watanzania kwa mara ya kwanza kuanza kulipia elimu na afya huduma walizozoea kuwa za bure toka uhuru!

Kuigeuza ikulu kuwa kijiwe cha wapanga magendo. Tuliokuwepo wakati wa utawala wake tunakumbuka maupumbavu yake mengi tu, aliiuza bustani ya mnazi mmoja hadi wananchi wakaingilia kati, alimwachia Bw Aziz aliefungwa kwa wizi wa dhahabu ..mzee alijitetea eti mama yake Azizi alienda Ikulu akamlilia sana ili amfutie kifungo mwanae! Watu wakajiuliza, waliofungwa wengine mama zao waliridhia watoto wao wafungwe?

Mzee alikuwa kiazi kabisa
 
Haya mambo mengine yangekuwa yanaishia misikitini,sasa kuhutumikia Uislam Kuna maslahi gani kwa nchi?maana anachosifiwa kufanya may be ni kujenga misikiti mingi,kufundisha ki Arab,na kuruhusu taasisi za kuhubiri Kiislam ziwe nyingi.
Hebu tuwe tunatangaza vitu vikubwa,
Tumlingsnishe Mwinyi na Mzee Desmond Tutu kwa mafanikio aliyoyqfanya hapa duniani kwa kuisaidia watu,
Desmond alipewa tuzo ya nobel 1980 kwa kusaidia watu sio dini!!!
Sasa Mwinyi hii tuzo yake inajurikana kwa waumini wa Kiislam tu,Tena wa mjini Dar,na Zanzibar,kule Kagera,Lindi hakuna anayeijua,hizi ni tuzo za uchochoroni.
Ndugu yangu baadhi uya waislam wa Tanzania wanaanza kugeuka kituko. Wenyewe kila kiongozi Mwisilamu hata kama alikuwa mpumbavu ni kiongozi mzuuri saana! Kuna muda naishia kucheka tu....
 
Haya mambo mengine yangekuwa yanaishia misikitini,sasa kuhutumikia Uislam Kuna maslahi gani kwa nchi?maana anachosifiwa kufanya may be ni kujenga misikiti mingi,kufundisha ki Arab,na kuruhusu taasisi za kuhubiri Kiislam ziwe nyingi.
Hebu tuwe tunatangaza vitu vikubwa,
Tumlingsnishe Mwinyi na Mzee Desmond Tutu kwa mafanikio aliyoyqfanya hapa duniani kwa kuisaidia watu,
Desmond alipewa tuzo ya nobel 1980 kwa kusaidia watu sio dini!!!
Sasa Mwinyi hii tuzo yake inajurikana kwa waumini wa Kiislam tu,Tena wa mjini Dar,na Zanzibar,kule Kagera,Lindi hakuna anayeijua,hizi ni tuzo za uchochoroni.
Desmond tutu huyuhuyu aliyekuwa anahamasisha watu wakulane jinsia moja? NEHI
 
Haya mambo mengine yangekuwa yanaishia misikitini,sasa kuhutumikia Uislam Kuna maslahi gani kwa nchi?maana anachosifiwa kufanya may be ni kujenga misikiti mingi,kufundisha ki Arab,na kuruhusu taasisi za kuhubiri Kiislam ziwe nyingi.
Hebu tuwe tunatangaza vitu vikubwa,
Tumlingsnishe Mwinyi na Mzee Desmond Tutu kwa mafanikio aliyoyqfanya hapa duniani kwa kuisaidia watu,
Desmond alipewa tuzo ya nobel 1980 kwa kusaidia watu sio dini!!!
Sasa Mwinyi hii tuzo yake inajurikana kwa waumini wa Kiislam tu,Tena wa mjini Dar,na Zanzibar,kule Kagera,Lindi hakuna anayeijua,hizi ni tuzo za uchochoroni.
Mbona suala la kuwatetea mashoga huyo mzee wako tu hulitaji au nako c miongoni mwa makubwa alofanya
 
Magufulia lijidai kubana, alivyominywa vindege vyake Canada na South Africa, mwenyewe akaachia. Uchumi ukawa unatetereka kwa spidi kali, Mama kaingia mambo swaaafi,mifuko sasa inatuna kama enzi za Mwinyi na Kikwete.

Mwinyi Hongera sana kwa kuitumikia dini ya Allah. Wengi hawayaoni, kwa ujinga wao tu, lakini dunia inayaona, kazi za Allah hazijifichi.

Hata hii inayosoma humu mingine haielewi kuwa kumtumikia Binaadam mwenzako ukamtoa kwenye dhiki na kumuweka kwenye faraja ni kuutumikia Uislam. Hamuelewi Mwinyi aliitoa Tanzania kwenye hali ipi?
Alifuta mfumo kristo au Bado upo maana ninyi Waislamu hamuishi kulalamika.
 
Mungu azidi kumpa nguvu na afya.
Mtu mwema na mnyenyekevu Mzee wetu.
 
Hakuna cha kurekebisha, wanaelewa fika walichokiandika. Kuna ukoloni mbaya uliotuumiza zaidi ya wakati wa Nyerere?

Tuwe wa kweli, ulikuwepo wakati wa foleni za chakula Tanzania hii? Nani alikuja kuziondosha kabisa mpaka leo hii hazijajirudia tena?
Mkuu Ukoloni Ni nini? Kwamba mtu akipanga foleni kupata chakula Basi huo Ni ukoloni!!? ,Vipi Somalia , Ethiopia nk maana kule wanapata chakula toka shirika la chakula duniani kwa foleni ,je nao huo Ni ukoloni!?

Yakiletwa mahindi ya msaada kwa sababu ya uhaba wa chakula na watu wakaambiwa wapange foleni ili wapewe mahindi hayo huo Ni ukoloni!!?

Basi Mimi nilipotoshwa huko shuleni !?
 
Magufulia lijidai kubana, alivyominywa vindege vyake Canada na South Africa, mwenyewe akaachia. Uchumi ukawa unatetereka kwa spidi kali, Mama kaingia mambo swaaafi,mifuko sasa inatuna kama enzi za Mwinyi na Kikwete.

Mwinyi Hongera sana kwa kuitumikia dini ya Allah. Wengi hawayaoni, kwa ujinga wao tu, lakini dunia inayaona, kazi za Allah hazijifichi.

Hata hii inayosoma humu mingine haielewi kuwa kumtumikia Binaadam mwenzako ukamtoa kwenye dhiki na kumuweka kwenye faraja ni kuutumikia Uislam. Hamuelewi Mwinyi aliitoa Tanzania kwenye hali ipi?
Wewe unabagua uongozi kwa mgongo wa udini, hao viongozi wako uliowataja ndio wanaoshusha uchumi acha ushabiki tafuta data kilaza wewe
 
Mleta mada anajibu kwa hasira sana sijui kwa nini
 
Back
Top Bottom