Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

Hivi vitaasisi uchwara ni vya kuhurumiwa.
Nilijua tu watu kama nyie huwa hamkosekani kwenye uzi kama huu,, sawa basi tufanye taasisi ya maana ni ile inayotaka kumtangaza nyerere kuwa mwenye heri... usiniulize kama hiyo taasisi ni mungu mpaka iwe na mamlaka ya kumtangaza binaadamu mtakatifu. Wagala hamuishi unafki
 
Magufulia lijidai kubana, alivyominywa vindege vyake Canada na South Africa, mwenyewe akaachia. Uchumi ukawa unatetereka kwa spidi kali, Mama kaingia mambo swaaafi,mifuko sasa inatuna kama enzi za Mwinyi na Kikwete.

Mwinyi Hongera sana kwa kuitumikia dini ya Allah. Wengi hawayaoni, kwa ujinga wao tu, lakini dunia inayaona, kazi za Allah hazijifichi.

Hata hii inayosoma humu mingine haielewi kuwa kumtumikia Binaadam mwenzako ukamtoa kwenye dhiki na kumuweka kwenye faraja ni kuutumikia Uislam. Hamuelewi Mwinyi aliitoa Tanzania kwenye hali ipi?
Udini unakusumbua pole sana,unachowaza akilini mwako haitatokea kuwa na aina moja ya Imani humu Duniani.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Hayo yako wewe, sidhani kama ulikuwepo wakati Mwinyi anaichukua Tanzania. Chakula hakuna, mpaka nguo za kusitiri makalai hakuna, watu viraka vitupu. Watanzania walikua wananuka vikwapa, ukiletewa sabuni ya lux kutoka Kenya basi wewe ni mfanya magendo! Khaa! Mwinyi akaondosha ujinga huo na yote hayo ndani ya siku 30 tu.

Unayajuwa hayo?
Hayo ni maendeleo ya technolojia,enzi za nyerere sio za Mwinyi,za Mwinyi sio za Mkapa na za Mkapa sio za Kikwete vile vile za Kikwete sio za Magu na Samia.Maendeleo huyazuii.Nchi zinakua kama ilivyo mimea na wanadamu.Uenda we ni la saba mtoka huko pwani.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Lakin Alizabwa KELBU moja kwa kuunga matumiz ya KONDOMU

unamaoni gan juu ya hili FaizaFoxy

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huwezi kuifanyia kazi njema njia ya Allah isiwe na misukosuko.

Msome Issa (Alayhi salaam) na mitume wote, walipitia misuko suko zaidi ya kuzabwa kofi.

Hakuna kazi njema isiyokuwa na "changamoto".
 
Nilichogundua wewe huna hoja bali ni udini kila mahali unanufaika na nini kwa kudhihirisha udini JF?
Huna ulichogundua, niwe mdini wakati dini kwa Allah ni Uislam? Unanchekesha!

Kazi ni kwako usie na dini.
 
Magufulia lijidai kubana, alivyominywa vindege vyake Canada na South Africa, mwenyewe akaachia. Uchumi ukawa unatetereka kwa spidi kali, Mama kaingia mambo swaaafi,mifuko sasa inatuna kama enzi za Mwinyi na Kikwete.

Mwinyi Hongera sana kwa kuitumikia dini ya Allah. Wengi hawayaoni, kwa ujinga wao tu, lakini dunia inayaona, kazi za Allah hazijifichi.

Hata hii inayosoma humu mingine haielewi kuwa kumtumikia Binaadam mwenzako ukamtoa kwenye dhiki na kumuweka kwenye faraja ni kuutumikia Uislam. Hamuelewi Mwinyi aliitoa Tanzania kwenye hali ipi?
Nyerere asingetaifisha shule zilizokuwa zinamilikiwa na wakristo, na kuwasaidia waislamu kusoma katika shule zile, leo gepu la elimu kati ya waislamu na wakristo lingekuwa kubwa sana...
 
..Nilikuwepo wakati Tz inakabiliwa na uhaba wa bidhaa miaka ya mwisho ya utawala wa Mwalimu Nyerere. Ukweli ni kwamba matatizo yale ya kiuchumi hayaitwi ukoloni mahali popote.
Aah kumbe hata njaa kali ya kifo cha kufa na kupona huijui. Sio miaka ya mwisho, 1977 mpaka tukaita kundi la 77 kuomba msaada. sijidanganye, Tanzania mambo yalitugeukia mara baada ya azimio la Arusha tu. Uwanyang'anye watu mali zao wakuache wakutazame macho tu? Sio dunia hii.

Ulikuwepo?
 
Nyerere asingetaifisha shule zilizokuwa zinamilikiwa na wakristo, na kuwasaidia waislamu kusoma katika shule zile, leo gepu la elimu kati ya waislamu na wakristo lingekuwa kubwa sana...
Hizo shule ndio zimewajaza ujinga halafu mnachekelea. Umeyasoma yanayotendeka mashule hayo ya Ma father? Utapatwa kichefuchefu labda uwe unayapenda, wamekukomaza?

Tazama watoto wa Madrassa wakiingia madarakani mambo yanavyokuwa mazuri. Macho yenu hayaoni basi hata mioyo yenu haihisi?
 
Rais Mzee Mwinyi atakumbukwa kwa mengi na alama za maisha yake hayawezi futika.
Tanzania sio kisiwa huwezi kujitenga kwa mbwembwe eti unajitosheleza.
Aliweza kuamini dini yake kwa maisha yake binafsi na familia yake na Wala hakuwahi tamka kuwa Tanzania iingie mfumo wa kiisilamu.Yanayotangazwa mabaya ya IOS ni fikra za kuchafua imani yake.Angalia takwimu enzi za Mzee Mwinyii makanisa mangapi yalijengwa na idadi ya misikiti.Aidha angalia Baraza la Mawaziri enzi zake uwiano na wakristo ulikuwaje? Huyu Mzee alikuwa na karama zake hakupendelea Unguja alithamini kuwa Zanzbar au Bara hakumpunguzii thamani yake.Mpaka sasa chimbuko lake halifahamiki mara Mkuranga/Kisiju/Bagamoyo/Zanzbar.Bila kupepesa macho huyu Mzee ni mfano wa kuigwa.Matendo maovu yalikemewa ndani ya Quran na biblia yanafanana hivyo nikutotenda haki kusemea vituko vinavyojitokea madrasa au kwa mafather, kila mtu atabeba msalaba wake.
 
Hizo shule ndio zimewajaza ujinga halafu mnachekelea. Umeyasoma yanayotendeka mashule hayo ya Ma father? Utapatwa kichefuchefu labda uwe unayapenda, wamekukomaza?

Tazama watoto wa Madrassa wakiingia madarakani mambo yanavyokuwa mazuri. Macho yenu hayaoni basi hata mioyo yenu haihisi?
Aaagh wapi, kila kukicha mwalimu wa madrasa kafanya hili kwa watoto.. Hilo nalo unahitaji kuambiwa?
 
Aaagh wapi, kila kukicha mwalimu wa madrasa kafanya hili kwa watoto.. Hilo nalo unahitaji kuambiwa?
Nawafahamu sana nyinyi wenye uoga na Uisla "Islamophobia" huwa mnakuwa wajinga wajinga tu, kila unapotajwa Uislam ujinga wenu mliojazwa nao mnaiuogopa Uisla. Uislam umekuja kukukomboa wewe hayawani. Usome, usiuogope.


Soma kisa hicho cha Tanzania, Mwalimu huyo "Father Kit Cunningham" na wenzake walilawiti shule nzima kwa miaka, ndio ilikuwa mafunzo yao kwa wanafunzi, kulawitiana tu. Mpaka leo kila aliyesoma shule hiyo hajitokezi hata zinapotajwa shule. Kama unabisha ajitokeze mmoja humu aseme yeye kasoma shule hiyo.

Wewe umesoma shule ipi? Hapo sasa!
 
Huna ulichogundua, niwe mdini wakati dini kwa Allah ni Uislam? Unanchekesha!

Kazi ni kwako usie na dini.
Sawa bibi pumba hujui ata unaeongea nae ni muislamu ila nakuona utopolo.
 
Rais Mzee Mwinyi atakumbukwa kwa mengi na alama za maisha yake hayawezi futika.
Tanzania sio kisiwa huwezi kujitenga kwa mbwembwe eti unajitosheleza.
Aliweza kuamini dini yake kwa maisha yake binafsi na familia yake na Wala hakuwahi tamka kuwa Tanzania iingie mfumo wa kiisilamu.Yanayotangazwa mabaya ya IOS ni fikra za kuchafua imani yake.Angalia takwimu enzi za Mzee Mwinyii makanisa mangapi yalijengwa na idadi ya misikiti.Aidha angalia Baraza la Mawaziri enzi zake uwiano na wakristo ulikuwaje? Huyu Mzee alikuwa na karama zake hakupendelea Unguja alithamini kuwa Zanzbar au Bara hakumpunguzii thamani yake.Mpaka sasa chimbuko lake halifahamiki mara Mkuranga/Kisiju/Bagamoyo/Zanzbar.Bila kupepesa macho huyu Mzee ni mfano wa kuigwa.Matendo maovu yalikemewa ndani ya Quran na biblia yanafanana hivyo nikutotenda haki kusemea vituko vinavyojitokea madrasa au kwa mafather, kila mtu atabeba msalaba wake.
Naam, huko ndiko kuutumikia Uislam Uislam haubagui dini, rangi wala jinsi. Naam, hayo ndiyo yalipelekea Mwinyi kujizolea tuzo.

Msome Mtume Muhammad, wanao msoma leo huko Magharibi kutoka vyanzo vya Waislam basi wanabadili dini makundi kwa makundi.
 
Rais Mzee Mwinyi atakumbukwa kwa mengi na alama za maisha yake hayawezi futika.
Tanzania sio kisiwa huwezi kujitenga kwa mbwembwe eti unajitosheleza.
Aliweza kuamini dini yake kwa maisha yake binafsi na familia yake na Wala hakuwahi tamka kuwa Tanzania iingie mfumo wa kiisilamu.Yanayotangazwa mabaya ya IOS ni fikra za kuchafua imani yake.Angalia takwimu enzi za Mzee Mwinyii makanisa mangapi yalijengwa na idadi ya misikiti.Aidha angalia Baraza la Mawaziri enzi zake uwiano na wakristo ulikuwaje? Huyu Mzee alikuwa na karama zake hakupendelea Unguja alithamini kuwa Zanzbar au Bara hakumpunguzii thamani yake.Mpaka sasa chimbuko lake halifahamiki mara Mkuranga/Kisiju/Bagamoyo/Zanzbar.Bila kupepesa macho huyu Mzee ni mfano wa kuigwa.Matendo maovu yalikemewa ndani ya Quran na biblia yanafanana hivyo nikutotenda haki kusemea vituko vinavyojitokea madrasa au kwa mafather, kila mtu atabeba msalaba wake.
Vizuri kijana upo very smart
 
Back
Top Bottom