Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

Mungu amembariki kwa miaka mingi, tunamshukuru Mungu kwa hilo. pia ana mchango mkubwa kwenye nchi yetu.​

Tunapoishi hapa duniani, you must plan/decide where you want to spend your enternity, na hapo ndipo unatakiwa kuchagua njia sahihi ya kukufikisha kwenye uzima wa milele. bila kupepesa macho, nawashirikisha maneno haya.​

Yohana 14:6 SUV​

Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Matendo 4:8​

Petro, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akajibu, “Enyi watawala na wazee wa watu, 9 kama leo tukihojiwa kwa habari ya mambo mema aliyotendewa yule kiwete na kuulizwa jinsi alivyoponywa, 10 ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli kwamba: Ni kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama mbele yenu akiwa mzima kabisa. 11 Huyu ndiye “ ‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilikataa, ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’ 12 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.”

Wafilipi 2:10-11 SUV​

ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.
 

Mungu amembariki kwa miaka mingi, tunamshukuru Mungu kwa hilo. pia ana mchango mkubwa kwenye nchi yetu.​

Tunapoishi hapa duniani, you must plan/decide where you want to spend your enternity, na hapo ndipo unatakiwa kuchagua njia sahihi ya kukufikisha kwenye uzima wa milele. bila kupepesa macho, nawashirikisha maneno haya.​

Yohana 14:6 SUV​

Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Matendo 4:8​

Petro, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akajibu, “Enyi watawala na wazee wa watu, 9 kama leo tukihojiwa kwa habari ya mambo mema aliyotendewa yule kiwete na kuulizwa jinsi alivyoponywa, 10 ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli kwamba: Ni kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama mbele yenu akiwa mzima kabisa. 11 Huyu ndiye “ ‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilikataa, ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’ 12 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.”

Wafilipi 2:10-11 SUV​

ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Porojo hizo.

Mzee Mwinyi ndio kishatunukiwa zawadi ya kuutumikia Uislam.
 
Ni sawa kwa mrazamo wa nadharia ya kimaendeleo. Ukombozi wa kwanza ulikuwa ni wa kutoka kwa wakoloni na ukombozi wa pili ni ule wa kuachana na siasa za ujamaa
 
Ulidanganywa ukadanganyika na hao hao wanaowawekea vituo vya kulawitiana.
Tuambie nan aliyeendesha biashara ya utumwa?
Badilisheni mfumo wa elimu msiendelee kutudanganya mweke huo ukweli wenu..
Au mtuambie huo ukweli tunaupata wapi.
 
Mahakama ya kadhi mbona ipo siku nyingi sana, umelala?

Mnapanga yenu lakini Allah ana yake tayari, vitimbi vyote vya OIC, Mzee anatunukiwa zawadii hivi sasa. Unafikiri OIC wakikuletea misaada ni lazima uambiwe hii ya OIC? Wakitoa kwa wa kulia hata wa kushoto hauyaoni. Huo ndio Uislam.


Unafikiri UDOM ilijengwa na nani? Unafikiri mikopo bila riba aliyoitangaza Bi Samia juzi inatoka wapi? Kuna nani asiye Muislam anatoa mikopo bila riba? Hata benki ya vatikano haifanyi hivyo, ni Waislaam pekee.

Usilolijua ni usiku wa kiza.


Unafikiri kitivo cha moyo cha Kikwete pale Muhimbili kilijengwa na hadi leo hii kinafadhiliwa na nani? Hujaona ma daktari wa kutoka Saudi Arabia kila mwaka wanakuja mara moja au mbili kufanya kazi za bure? Unafikiri nani anawalipa wale gharama zao?

Fikiri japo kiduchu. Uislam ni mwema, sana, sana, sana.
Kikwete kila kitu alitoa OIC kumbe.
Sasa kodi zetu zinafanya nini au nikujengeana mahekalu tu?
 
Mimi ndo yule jamaa niliempiga Kofi akiwa anatuambia tutumie kondom (anahimiza zinaa) ila nashukuru Mungu aliwaambia walinzi wake wasinifanye chochote itakua alipata hofu ya Mungu alijua amekosea
 
Ila wewe bibi ni mdini sana, kuna siku utajitolea kujilipua tu,saaa sijui na wewe utapata mabikra wanaume 12, utawapa je zamu zao sasa?
 
Hawa wamechanganyikiwa, kwamba aliikomboa hii nchi kutoka kwenye ukoloni, na Nyerere alifanya nini sasa? Kwamba ujamaa ni kitu ambacho watu walihitaji kukombolewa nacho? Kwamba yeye ndiye alileta vyama vingi, na Mkapa alifanya nini sasa? Kwamba aliweka sheria za kiislam , kwenye nchi ambayo serikali haina dini? Mataahira wataisha lini jamani?

Labda wangempa hiyo tuzo kwa kugawa open space za serikali kwa ajili ya ujenzi wa misikiti
 
Mwinyi ni Mwanasiasa ambae hajasita kufata Uislam wake kuutumikia umma wa Watanzania.


Una donge?
Kwa kweli Samia katuasidia,,sasahivi hata Ganda zetu tunaingiza na kuuza vizuri tu bila shida,,tunamlaani magufuri kwa kutuzuia biashara yetu ya sembe nyeupe wakati ilikuwa inaleta mzubguko wa pesa..Sasa tunauza vizuri na tunawwachiapo polisi kiasi ,sote tunapata ..Asante Samia
 
Namsemea nani kwa nani?

Hujapenda Mzee Mwinyi kupata tuzo ya King Faisal?
Huko Saudi Arabia kuna multiparty politics? Mtume wenu Muhammad kama angekuwa hai na Mungu wenu Allah wangekubali hali ya kisiasa na kijamii ilivyo huko kwa King Faisal ambapo familia ya kifalme inahodhi madaraka yote na rasilimali yote ya mafuta milele hadi kiama?
 
huyu mzee hana sifa ya kuzawadiwa, Ni mnafik kawa wanafiki wengine
 
Back
Top Bottom