TANZIA Mzee ASAS (CEO wa ASAS Group of Companies) Alhaj Faraj Ahmed Abri, afariki dunia

Unadhani hao walikuwa hawana chanjo?
 
Huyu hakuwa amechanjwa? Kwanini vifo hivi vimeongezeka sana na maradufu na hasa kwa watu ambao tunajua fika kabisa wana access ya kuchanjwa haraka na kwa asilimia mia watakuwa wamechanjwa tena bila kusubiri hii ya bure? Why?
Ndio maana sichanjwi ng'o!!
 
Kipindi Cha Magufuli wazee wengi wakubwa wenye nazo na madarakani walikuwa hawafi Kama Sasa wakati tukijifukiza na kula malimao na tangawizi zetu na maombi
Na yote hii imetokana na kipindi cha magufuli kutokuchukua hatua madhubuti
 
Another Billionaire has fallen.

Poleni Ndugu , Jamaa na Marafiki.

Tuepuke Misongamano , Tuvae barakoa na kutumia vipukusi("SANTAIZA").
 
we kipindi cha magufuli ulikua ni msukule? au haukuwepo nchi hii, hv kuna kipindi wamepukutika kama cha Magufuli?
Sijui huyu jamaa alikuwa wapi watu walipukutika balaaa mpaka rais mstaafu ikamchukua ikapita na yemwenyewe magu sijui anaongea nn huyu jamaa kweli watanzania ni wepesi wa kusahau na ni vilaza wakubwa
 
Samahan lakini hivi hawa ndo walio chanjwa ama ni timu polepole
 
Mkuu Usiogope.Imeandikwa "Bwana alitoa Bwana ametwaa,jina lake libarikiwe". Hivyo atawainua wengine km hao au zaidi ya hao.Kifo ni safari yetu sote, tuombe MUNGU atujalie kufa ktk hali njema tukiwa na mahusiano naye mema.
 
Huyu hakuwa amechanjwa? Kwanini vifo hivi vimeongezeka sana na maradufu na hasa kwa watu ambao tunajua fika kabisa wana access ya kuchanjwa haraka na kwa asilimia mia watakuwa wamechanjwa tena bila kusubiri hii ya bure? Why?
Ogopa chanjo. Waliochanjwa ndiyo wanakufa zaidi. Ila dunia kwa sababu ya ajenda zake inageuza hizi habari. In short herd immunity with vaccine is impossible kwa sababu virus ana mutate ndani ya muda mfupi. Ukishachoma mRNA based vaccine mwili wako unakuwa umeufanya kuwa na uwezo mdogo sana wa kinga. Be informed ndugu. Rejea Eden, ishi maisha ya kula vyakula bora na mazoezi
 
Tafuta pesa ukazikwe kisutu tofauti na hapo costa zitakuhusu, utalala unatembezwa usiku kucha
Malofa kibao wanazikwa kisutu,hata hivyo sehemu yenyewe kwa sasa haina maana kwani kutokana na watu wengi kuzikwa hapo baada ya muda fulani usishangae kutoliona kaburi la mpendwa wako watu wanazikwa juu ya makaburi ya zamani.
 
"Hakutakuwa na mikusanyiko kwa tutakaokuwa Iringa, tafadhali tutumie zaidi teknolojia za habari kutoa pole na shughuli nyingine," ilieleza taarifa hiyo.

Jambo la kupongezwa sana hata kwa ile mijamaa isiyopenda kusikia likiwamo gonjwa la Corona:

 
Naona mihimili iliyokuwa ikimpa Jeuri aliyekuwa Msemaji wa Simba SC Haji Manara inaanza Kuanguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ