Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Wa aina yako tuko wengi, ni mtu pekee aliye hai niliyewahi kumliliaMimi ile September 7, 2017 niliona hapa JF kwanza kwamba Lissu kapigwa risasi na hali yake ni mbaya sana. Nilijua ni uongo wa buku 7 hivyo sikuamini ila nikawa busy kwenye simu kutafuta ukweli. Nilipofahamu kama ni kweli nililia kama mtoto hata sijui machozi yalitokea wapi. Mwenyezi Mungu ni mkubwa.