Mzee Bulembo acha kudhalilisha watu kwa kuharibu diplomasia wakati wewe ndio muharibu

Mzee Bulembo acha kudhalilisha watu kwa kuharibu diplomasia wakati wewe ndio muharibu

Hawa wachumia tumbo ni wapumbavu sana. Sasa ndio anastuka?

Alipokuwa yeye akifaidi na familia yake fadhira za huyo dikteta mbona hata siku moja hakusikika akisema jambo.

Ingekuwa inawezekana hawa wote ni wa kutupwa ndani kwa kulisababishia taifa hasara kubwa, hasara walizosababisha walipokuwa wakifaidi chini ya miguu ya Magufuli.

Halafu hata mijitu hii haioni aibu mbele za waTanzania!
 
Kuna haja ya vyombo vya sheria kumchukulia hatua Bulembo kwa kuhujumu mali za jumuia ya wazazi na pia kuchunguza jinsi alivyomdhulumu mjane kiwanja na kuvunja nyumba yake huko mbezi beach; mama huyu aliyedhulumiwa mpaka hivi sasa analala nje pamoja na watoto wake!
 
Hawa wachumia tumbo ni wapumbavu sana. Sasa ndio anastuka?

Alipokuwa yeye akifaidi na familia yake fadhira za huyo dikteta mbona hata siku moja hakusikika akisema jambo.

Ingekuwa inawezekana hawa wote ni wa kutupwa ndani kwa kulisababishia taifa hasara kubwa, hasara walizosababisha walipokuwa wakifaidi chini ya miguu ya Magufuli.

Halafu hata mijitu hii haioni aibu mbele za waTanzania!
Wanajua ujuha wa watanzania,ndiyo maana the nasema Suluhu ya haya yote ni kuisuka upya katiba yetu baaaas
 
Huyo mzee kaletwa ili walio nyuma ya Polepole wajitokeze. Unfortunately kuna angle CCM inajipeleka tuombe ifike huko ili wasambaratike. Mpasuko ni mkubwa na unapoelekea itakuwa worse.
Ccm ni adui wa maendeleo ya wananchi hivyo ikifa litakuwa jambo jema
 
Bulembo anamtetea rais ambaye hakuachia wafungwa huru siku ya uhuru.
Mungu atuepushe na sera za rais huyu. Ikulu ya Samia inadhania kuachia huru wafungwa siku ya uhuru ni nonsense.
Magufuli alikuwa very,very fierce. Lakini yenye aliachia wafungwa guru. But this Fair Lady is very hard hearted.
Sasa nilivyoandika hivi sijui kuna wahuni watakuja kuichakura nyumba yangu
 
Hawa wachumia tumbo ni wapumbavu sana. Sasa ndio anastuka?

Alipokuwa yeye akifaidi na familia yake fadhira za huyo dikteta mbona hata siku moja hakusikika akisema jambo.

Ingekuwa inawezekana hawa wote ni wa kutupwa ndani kwa kulisababishia taifa hasara kubwa, hasara walizosababisha walipokuwa wakifaidi chini ya miguu ya Magufuli.

Halafu hata mijitu hii haioni aibu mbele za waTanzania!
Hawa wazee wote ni takataka kabisa
 
1. Polepole ni kijana mwenye akili nyingi sana (intelligent) mwenye shahada ya chuo kikuu. Ni mchambuzi makini (critical analysist) wa masuala mbali mbali ya kijamii, kisiasa na uchumi. Ana a very bright future na ni asset kubwa kwa ccm na taifa kwa ujumla kuwa na vijana wa aina hii. Wengi wanamwona anafanana sana na hayati JK Nyerere kifikira na kimaono. Hata mwandishi nguli, Pascal Mayala kaona hivyo. Vijana kama hawa wanahitaji kuwa supported, encouraged na kuendelezwa for the good future of our nation.

2. Zitto Kabwe naye ni kijana mwenye kiwango kama cha Polepole lakini hamfikii Polepole.

3. Dr Bashiru na Prof Kabudi: hawa ni magwiji wabobezi wenye elimu za PhD.

4. Bulembo elimu yake ni ya darasa la saba lakini ni mbumbumbu. Huwezi kumlinganisha na akina King Msukuma au Kishimba au Bajaji ambao ni werevu. Eti huyu Bulembo anaomba afanye mdaharo na akina Polepole, Bashiru na Kabudi? Si itakuwa ni kichekesho (commedy) ya karne? Si akafanye mdaharo na Masanja Mkandamizaji, hapo ndipo itakuwa poa. Alichokiongea Polepole huyu mzee Bulembo hakuelewa cho chote. Kakurupuka kama yule brother K wa Futuhi anavyokurupukaga.
 
Wakati Wa Mzilankende Nakumbuka Huyu Bulembo Alipigwa Bit Kali Na Rashid Gwajima Akafyata Mkia
Aliambiwa Abdallah Nakuonya, Ukisema, Nikisema Nchi ITATIKISIKA Nayajua Yote

Ilikuwa Kahama, Basi Bulembo Alifyata Mkia Kama....
Ko Ko
Vizee vichawi vinakula "mayai" yake.
 
Huyo mzee kaletwa ili walio nyuma ya Polepole wajitokeze. Unfortunately kuna angle CCM inajipeleka tuombe ifike huko ili wasambaratike. Mpasuko ni mkubwa na unapoelekea itakuwa worse.
Ila mimi sioni kama kuna mpasuko,siasa mara zote bila kuwa na misuguano ni kama mpira bila ushabiki,bado tuko kwenye right track...
 
Tangu JPM arudishe mahusiano mazuri na Mayahudi,mtu yeyote akiongoea hata mdomo uende upande simusikilizi.
 
Kuna haja ya vyombo vya sheria kumchukulia hatua Bulembo kwa kuhujumu mali za jumuia ya wazazi na pia kuchunguza jinsi alivyomdhulumu mjane kiwanja na kuvunja nyumba yake huko mbezi beach; mama huyu aliyedhulumiwa mpaka hivi sasa analala nje pamoja na watoto wake!
Umetisha mwana
 
Hadi wewe mataga unaombea hivyo!
Sijawahi kuwa mwana CCM wala mwanachama wa chama chochote. Nilisimama na Chadema kwenye specific issues kabla hatujaona rangi yao nyingine! Nikasimama JPM pia kwa kuamini uzalendo wake kusimamia rasilima zetu. Nakwenda na ajenda si watu au chama.
 
Bulembo ameshasema mleteni huyo kiroboto kwenye mdahalo apambane nae kwa hoja na yupo tayari kulipia ukumbi Serena Hotel.

Na muache kelele hilo twangapepeta lina wenyewe.
Bulembo mwizi huyuwa mali za Ccm mwingine.
Bulembo alishindwa biashara akiwa msoma na kujishikisha kwenye chama na ndo walihalibu chama kwa dili za kifisadi mdani ya chama na kufisadi serikali sasa nae anasema nini?

Bulembo hakuwahi kufanya bishara isiyohusiana na tenda za serikali sasa ana ujanja gani wa kukwepa ufisadi?
Hao ndo wahuni sas wnajitokeza wenyewe,
Roho zinawauma wanajitokeza mafichoni.
 
Back
Top Bottom