Mzee Cleopa Msuya: CHADEMA ni Wachambuzi wa Mambo kwa Kina

Mzee Cleopa Msuya: CHADEMA ni Wachambuzi wa Mambo kwa Kina

Kitu muhimu kwa watanzania ni kukubali facts ili waendelee. Vyama vya siasa vipo kama njia ya kuwapata viongozi wa kuunda serikali itakayowaletea maendeleo.
Kwa kuwa nchi yetu ina siasa za demokrasia ya vyama vingi, lazima watu wajue ushindani wa hoja ni muhimu sana. CCM kama chama lazima kitumie watu wenye akili nzuri na upeo wa kutoa hoja badala ya kutegemea nguvu za vyombo vya dola muda wote.
Changamoto kubwa CCM ni muunganiko na serikali ambayo pia huongoza vyombo vya dola hivyo wanachama kuogopa kushughulikiwa wakitoa hoja zenye mantiki kwa uhuru.
Jingine ni fikra za kujipendekeza ili wapate teuzi, ambapo utamaduni huo hufanya kazi.
 
Mzee ameamua kuongea ukweli, tatizo lililopo wale wanaoambiwa huo ukweli hawataki kuufanyia kazi, wameamua kutuzibia masikio wakidhani wanatukomoa, matokeo yake tunaendelea kupoteza muda tu kama taifa.
 
Msuya ni CHADEMA sema wakati huo hatukuwa na multiparty. Akitumia rasilimali za nchi wa upendeleo maeneo ya kwao akiwa waziri mkuu akiwa waziri wa fedha. Hivyo hivyo na Mtei. Na Mrema naibu Waziri Mkuu. Na Sumaye. Sokoine pekee alikuwa Mzalendo lakini kazungukwa na wakuu wa mashirika ya umma. Waziri Mkuu wote tangu uhuru wametoka huko. Na Waziri wa Fedha, na Elimu. Hakuna cha ajabu wanajitokeza hadharani sasa kuhalamisha madhambi yao ya ukabila huko nyuma
Wewe huu ugoro ulioandika hapa ndiyo umethibitisha hoja ya Mzee Msuya, uwongo uwongo tu umejaa huko CCM.
 
Mzee ameamua kuongea ukweli, tatizo lililopo wale wanaoambiwa huo ukweli hawataki kuufanyia kazi, wameamua kutuzibia masikio wakidhani wanatukomoa, matokeo yake tunaendelea kupoteza muda tu kama taifa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG-20230905-WA0019.jpg
IMG-20230905-WA0020.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tujibu hoja zao, leo hii mawaziri wemetokea wapi na wanafanya nini kwenye taifa lao hili zuri Tanzania lilojaa rasilimali mali nchi ambayo kuteuliwa lazima historical background of leadership should be considered! Anateua kulingana na kiu ya maendeleo aliyonayo anajikuta anateua na wale wanaopenda uwaziri na kuvuta pumzi wakisikia kuna mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri. Baraza la mawaziri wakati huu linatokana wengi anayepiga kazi awezu tuu ukicheki familia ayalitokea mama yake food vender tuachane hawa wa koo wanatuangusha kaskazini hawahusiki na umaskini tunaolialia nao
 
Tujibu hoja zao, leo hii mawaziri wemetokea wapi na wanafanya nini kwenye taifa lao hili zuri Tanzania lilojaa rasilimali mali nchi ambayo kuteuliwa lazima historical background of leadership should be considered! Anateua kulingana na kiu ya maendeleo aliyonayo anajikuta anateua na wale wanaopenda uwaziri na kuvuta pumzi wakisikia kuna mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri. Baraza la mawaziri wakati huu linatokana wengi anayepiga kazi awezu tuu ukicheki familia ayalitokea mama yake food vender tuachane hawa wa koo wanatuangusha kaskazini hawahusiki na umaskini tunaolialia nao
Hizi nafasi ziwe zinatangazwa watu wanafanya interview
 
Msuya ni CHADEMA sema wakati huo hatukuwa na multiparty. Akitumia rasilimali za nchi wa upendeleo maeneo ya kwao akiwa waziri mkuu akiwa waziri wa fedha. Hivyo hivyo na Mtei. Na Mrema naibu Waziri Mkuu. Na Sumaye. Sokoine pekee alikuwa Mzalendo lakini kazungukwa na wakuu wa mashirika ya umma. Waziri Mkuu wote tangu uhuru wametoka huko. Na Waziri wa Fedha, na Elimu. Hakuna cha ajabu wanajitokeza hadharani sasa kuhalamisha madhambi yao ya ukabila huko nyuma
Wajinga nyie, nyie mlizuiwa na nani kupeleka maendeleo kwenye maeneo yenu?
 
Msuya ni CHADEMA sema wakati huo hatukuwa na multiparty. Akitumia rasilimali za nchi wa upendeleo maeneo ya kwao akiwa waziri mkuu akiwa waziri wa fedha. Hivyo hivyo na Mtei. Na Mrema naibu Waziri Mkuu. Na Sumaye. Sokoine pekee alikuwa Mzalendo lakini kazungukwa na wakuu wa mashirika ya umma. Waziri Mkuu wote tangu uhuru wametoka huko. Na Waziri wa Fedha, na Elimu. Hakuna cha ajabu wanajitokeza hadharani sasa kuhalamisha madhambi yao ya ukabila huko nyuma
Kwani alijenga kiwanja cha ndege kwenu kama lile zombi lenu la chato?🐐🐐🐸🐸💩💩nyie
 
Kitu muhimu kwa watanzania ni kukubali facts ili waendelee. Vyama vya siasa vipo kama njia ya kuwapata viongozi wa kuunda serikali itakayowaletea maendeleo.
Kwa kuwa nchi yetu ina siasa za demokrasia ya vyama vingi, lazima watu wajue ushindani wa hoja ni muhimu sana. CCM kama chama lazima kitumie watu wenye akili nzuri na upeo wa kutoa hoja badala ya kutegemea nguvu za vyombo vya dola muda wote.
Changamoto kubwa CCM ni muunganiko na serikali ambayo pia huongoza vyombo vya dola hivyo wanachama kuogopa kushughulikiwa wakitoa hoja zenye mantiki kwa uhuru.
Jingine ni fikra za kujipendekeza ili wapate teuzi, ambapo utamaduni huo hufanya kazi.
Well narated
 
Mwanasiasa mkongwe CLEOPA DAVID MSUYA amesema CHADEMA ni wazuri na MAHIRI KWA KUCHAMBUA MAMBO KISOMI KULIKO CCM na amewataka CCM waige CHADEMA wanavyofanya.

View attachment 2739400
actualy weakness wanayoitukuza always ni kulalama kwa mtindo uleule miaka nenda miaka rudi.

Wanafanya harakati zaidi na sio siasa, tena wanafanya kwa hisia zaidi bila uhalisia, kitua ambacho vuguvugu lao huishia mitandaoni na mijini pekee, wakati vijijini wakiwa hawana habari zao kabisa.

Hata hivyo, bado hawajachelewa. Wakiongeza bidii, commitment, nidhamu na spirit ya kujitanua zaidi vijijini, na kuepuka kupumbazwa na nyomi ya kwenye mikutano mijini, wanaweza kufanya jambo kubwa na kuamsha matumaini ya wananchi yaliyopotea dhidi kwao, kwani kwa sasa kuna hali ya kukata tamaa dhidi yao kwasababu ya kudandia hiki na kuacha kile hali ambayo inachanganya kidogo....

Check nidhamu kwenye coment......
 
Mwanasiasa mkongwe CLEOPA DAVID MSUYA amesema CHADEMA ni wazuri na MAHIRI KWA KUCHAMBUA MAMBO KISOMI KULIKO CCM na amewataka CCM waige CHADEMA wanavyofanya.

View attachment 2739400
Mzee Msuya anafahamu kuwa ndani ya CCM uhuru wa fikra na mawazo na matumizi Bora ya akili na weledi vinafifishwa na illuminati na freemasons ndani ya CCM na serikali wanaoabudu mbuyu na kuzama Baharini. Mgongano wa kifikra na mawazo kinzani ndani ya CCM hamna ndiomana CCM inakuwa hadi na Rais mwepesi kichwani kama kipepeo na panzi
 
Msuya ni CHADEMA sema wakati huo hatukuwa na multiparty. Akitumia rasilimali za nchi wa upendeleo maeneo ya kwao akiwa waziri mkuu akiwa waziri wa fedha. Hivyo hivyo na Mtei. Na Mrema naibu Waziri Mkuu. Na Sumaye. Sokoine pekee alikuwa Mzalendo lakini kazungukwa na wakuu wa mashirika ya umma. Waziri Mkuu wote tangu uhuru wametoka huko. Na Waziri wa Fedha, na Elimu. Hakuna cha ajabu wanajitokeza hadharani sasa kuhalamisha madhambi yao ya ukabila huko nyuma

..Mzee Cleopa Msuya ndiye baba wa mageuzi ya uchumi Tanzania.

..ndiye aliyefanya kazi ya kukwamua uchumi akiwa waziri wa fedha mara baada ya Mzee Mwinyi kuingia madarakani.

NB:

..wilaya ya mwanga ni ndogo na haina kitu chochote cha ajabu kusema imependelewa. Hata hospitali ya wilaya wamejengewa ktk awamu ya 5 / 6.
 
Back
Top Bottom