Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu utasikia wengine wanabweka ohh Magufuli alikuwa hapendi wachaga huyo Assey aliyekuwa akimtetea alikuwa msukuma?r.i.p
marehemu Magufuli wakati akiwa waziri wa miundombinu alitetea sana restaurant ya huyu mzee isivunjwe kutokana na kudaiwa ipo kwenye hifadhi ya barabara.
Kweli aliwatetea sana maana ule mradi ungetikir.i.p
marehemu Magufuli wakati akiwa waziri wa miundombinu alitetea sana restaurant ya huyu mzee isivunjwe kutokana na kudaiwa ipo kwenye hifadhi ya barabara.
Ila wanaondoka mapema. Nilifikiri ukiwa nazo inabidi uishi maisha marefu kuliko vizee vya kijijini visivyokuwa na huduma. Ni kama aki na mangi wanabeba mizigo ya kutumia akili mpaka wanapata magonjwa ya moyo.Ila Wachgga wamejiwekeza sana
Ufafanuzi tafadhaliwamejiwekeza
Mmiliki wa Baa Maarufu Dar es Salaam na Tanzania iitwayo ROSE GARDEN iliyopo Mikocheni Dar es Salaam, Mzee Damas Assey amefariki Dunia leo.
Mzee huyu ambaye pia anamiliki Shule za St. Florence na pia ni Baba Mzazi wa Mmiliki wa Kiota Maarufu Dar es Salaam cha Tripple 7, Mlatie Damas Assey.
RIP Mzee Assey
Ndio maana wajinga wanawachukiaIla Wachgga wamejiwekeza sana
Hilo ndo la msingi kuliko yoteMungu atujalie mwisho mwena
Pole kwa wafiwa
halafu mnawaita wezi.Kuna kiongozi mmoja(RIP) alikuwa ana dhana kuwa wachaga wote ni wezi kumbe ni wachapa kazi ni waoga sana wa maisha hata mwanamke wa kichaga ukioa utaona faida yake hachagui kazi ya kufanya kwa kuona aibu.Makabila mengine yanawaza kushindana kununua khanga na kucheza ngoma.Jinsi ya kumfurahisha mwanaume kwa ngono.Ila Wachgga wamejiwekeza sana
Made up his dreams.R.I.E.PMmiliki wa Baa Maarufu Dar es Salaam na Tanzania iitwayo ROSE GARDEN iliyopo Mikocheni Dar es Salaam, Mzee Damas Assey amefariki Dunia leo.
Mzee huyu ambaye pia anamiliki Shule za St. Florence na pia ni Baba Mzazi wa Mmiliki wa Kiota Maarufu Dar es Salaam cha Tripple 7, Mlatie Damas Assey.
RIP Mzee Assey
Ni wakati upi wazee walikuwa hawaondoki?Du wazee wetu wameondoka sana wakati huu. RIP mzee Assey
We mwenyew mchaga. Umejiwekeza wapIla Wachgga wamejiwekeza sana
Post za Kingese kama hizi sijui Zina faida ganiDuh!kuna wakati huyu mzee alioa dogodogo akahamia Dubai ila alikuja rudigi
Ile bar Rose Garden alipotoka Mlatie tu mambo yakaenda sivyo
RIP lakini
Na akina Kimei wa CRDB,Kinje walikua na Counter yao ya G7Sasa pole zimwendee Lawrance Masha enzi zile kilikua kijiwe cha pamoja
WACHAGAA nyoko aisee, kila nyanja ya kijanja ni wao wanakamatia, sisi watu back sijui tulikuwa wapi.Mmiliki wa Baa Maarufu Dar es Salaam na Tanzania iitwayo ROSE GARDEN iliyopo Mikocheni Dar es Salaam, Mzee Damas Assey amefariki Dunia leo.
Mzee huyu ambaye pia anamiliki Shule za St. Florence na pia ni Baba Mzazi wa Mmiliki wa Kiota Maarufu Dar es Salaam cha Tripple 7, Mlatie Damas Assey.
RIP Mzee Assey