Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Wachgga wamejiwekeza sana
Hifadhi wahangaukifa madhambi yako hayafutiki
legacy yako ikiandikwa ikasema alikuwa mjasiriamali mzuri wa mabaa na mashule na ulisomesha yatima itakuwa rekodi yako haijakamilika
makando kando yako lazima yatakumbukwa na yatatumika kuwanasihi wengine wasiwe na tabia hizo
ye mwenyewe hakuheshimu mke na watoto, unataka waheshimiwe na nani, wapita njia ?
ridiculous…
Ishu ni kujikweza kumtukana wengine na ukabila na ubaguzi. Anayekuchukia kisa umemzidi anajiumiza.Ndio maana wajinga wanawachukia
So unatajiria upewe kazi na mchaga kwenye biashara yake binafsi wakati ana ndugu zake, jali wa nyumban ikwanzaIshu ni kujikweza kumtukana wengine na ukabila na ubaguzi. Anayekuchukia kisa umemzidi anajiumiza.
Kuna mchaga anaweza akampa kazi chasaka tuanzie hapo Sasa.
Najua wamesoma na Wana Mali lakini sio chanzo Cha kuwadharau wengine Mana ishu ya chance Ile ya wamisheni kuwekeza kwao na kuishi huko kisa Cha weather ilikuwa favorable Kama pwani ilivyo na joto mwarabu akalowea huko aka induce watu utamaduni wake mkuu.
Mkuu acha Mungu ampumzishe marehemu kwa amani. Huko twaelekea pia. Nadhani sio muda wa malumbano haya. Ila ukweli unajulikana na wadogo zako Kaka zako so hakuna asiyekujua Tabia yako Mana mko familia moja.So unatajiria upewe kazi na mchaga kwenye biashara yake binafsi wakati ana ndugu zake, jali wa nyumban ikwanza
Ndio maana wasukuma hawataki kuwasikia wala kuwaonaIla Wachgga wamejiwekeza sana
Watu wamefiwa weww umewaza makangekuna makange matam sana rose garden
Yes. Ila sio Daffa ni DafHuyu ndiye baba Daffa na Omega?
Sio Rose garden tu.kumbe rose garden zipo nyingi
Mbona hili swali umelijibu kwa haraka hivyo[emoji23][emoji2]
Kwa wenye roho mbaya dhidi ya CCM au makabila mengine aliwalipa roho mbaya na walikoma sasa hivi wengi wamebadilika roho mbaya kwa CCM iwe maofisini nk Roho mbaya imewatoka wanaheshimu CCM na makabila mengine yasiyo yao. MAGUFULI ALIWANYOOSHA BARABARADikteta alikuwa na roho mbaya!!
Sjida ipo kwn vyakula na kukosa mazoezibya mwiliIla wanaondoka mapema. Nilifikiri ukiwa nazo inabidi uishi maisha marefu kuliko vizee vya kijijini visivyokuwa na huduma. Ni kama aki na mangi wanabeba mizigo ya kutumia akili mpaka wanapata magonjwa ya moyo.
Nyie si mliunga mkono azimio la arusha kwa kutembea kwa miguu wakati wachagga waliendelea kuangalia fursa zilizokuwepoWACHAGAA nyoko aisee, kila nyanja ya kijanja ni wao wanakamatia, sisi watu back sijui tulikuwa wapi.
Angalia majiko makubwa kwenye sehemu za chakula yaani MTU anachoma mbuzi, ng'ombe supu yaani vyakula aina10 ni kidogo halafu anasimamia mwenyewe sio kutuma akiwa Tajiri unaona wivu, wenzetu wanajua kutafuta hela acha wawe nazo.halafu mnawaita wezi.Kuna kiongozi mmoja(RIP) alikuwa ana dhana kuwa wachaga wote ni wezi kumbe ni wachapa kazi ni waoga sana wa maisha hata mwanamke wa kichaga ukioa utaona faida yake hachagui kazi ya kufanya kwa kuona aibu.Makabila mengine yanawaza kushindana kununua khanga na kucheza ngoma.Jinsi ya kumfurahisha mwanaume kwa ngono.
Kijijini kwetu wamebakia watu wachache sana, nyumba nyingi zimefungwaWachaga wanapukutika
DafuHuyu ndiye baba Daffa na Omega?