TANZIA Mzee Damas Assey, mmiliki wa Rose Garden afariki Dunia

TANZIA Mzee Damas Assey, mmiliki wa Rose Garden afariki Dunia

Tayari tuko wave nyingine au ileile ya tatu imechachamaa?
 
ukifa madhambi yako hayafutiki

legacy yako ikiandikwa ikasema alikuwa mjasiriamali mzuri wa mabaa na mashule na ulisomesha yatima itakuwa rekodi yako haijakamilika

makando kando yako lazima yatakumbukwa na yatatumika kuwanasihi wengine wasiwe na tabia hizo

ye mwenyewe hakuheshimu mke na watoto, unataka waheshimiwe na nani, wapita njia ?

ridiculous…
Hifadhi wahanga

that is my message to you

the man is not here - but his wife is, so all you are doing is opening wounds Kwa mama ambaye si ajabu hata haumfahamu

don’t try to be holy and perfect mkuu… it serves nothing buddy
 
Ndio maana wajinga wanawachukia
Ishu ni kujikweza kumtukana wengine na ukabila na ubaguzi. Anayekuchukia kisa umemzidi anajiumiza.
Kuna mchaga anaweza akampa kazi chasaka tuanzie hapo Sasa.
Najua wamesoma na Wana Mali lakini sio chanzo Cha kuwadharau wengine Mana ishu ya chance Ile ya wamisheni kuwekeza kwao na kuishi huko kisa Cha weather ilikuwa favorable Kama pwani ilivyo na joto mwarabu akalowea huko aka induce watu utamaduni wake mkuu.
 
Ishu ni kujikweza kumtukana wengine na ukabila na ubaguzi. Anayekuchukia kisa umemzidi anajiumiza.
Kuna mchaga anaweza akampa kazi chasaka tuanzie hapo Sasa.
Najua wamesoma na Wana Mali lakini sio chanzo Cha kuwadharau wengine Mana ishu ya chance Ile ya wamisheni kuwekeza kwao na kuishi huko kisa Cha weather ilikuwa favorable Kama pwani ilivyo na joto mwarabu akalowea huko aka induce watu utamaduni wake mkuu.
So unatajiria upewe kazi na mchaga kwenye biashara yake binafsi wakati ana ndugu zake, jali wa nyumban ikwanza
 
So unatajiria upewe kazi na mchaga kwenye biashara yake binafsi wakati ana ndugu zake, jali wa nyumban ikwanza
Mkuu acha Mungu ampumzishe marehemu kwa amani. Huko twaelekea pia. Nadhani sio muda wa malumbano haya. Ila ukweli unajulikana na wadogo zako Kaka zako so hakuna asiyekujua Tabia yako Mana mko familia moja.
 
Dikteta alikuwa na roho mbaya!!
Kwa wenye roho mbaya dhidi ya CCM au makabila mengine aliwalipa roho mbaya na walikoma sasa hivi wengi wamebadilika roho mbaya kwa CCM iwe maofisini nk Roho mbaya imewatoka wanaheshimu CCM na makabila mengine yasiyo yao. MAGUFULI ALIWANYOOSHA BARABARA


Kwa hilo nampongeza Magufuli heshima ya kuheshimu CCM na makabila mengine yasiyo yao imerudi Mungu alimtumia Magufuli kuwatandika viboko wajue binadamu wote Sawa. SASA HIVI NI WANYENYEKEVU NA WAPOLE KILA ENEO JEURI ZA KIKABILA CHAO ZILIULILIWA MBALI NA MAGUFULI WANAUGUZA TU VIDONDA NYOKO ZAO
 
Ila wanaondoka mapema. Nilifikiri ukiwa nazo inabidi uishi maisha marefu kuliko vizee vya kijijini visivyokuwa na huduma. Ni kama aki na mangi wanabeba mizigo ya kutumia akili mpaka wanapata magonjwa ya moyo.
Sjida ipo kwn vyakula na kukosa mazoezibya mwili
 
halafu mnawaita wezi.Kuna kiongozi mmoja(RIP) alikuwa ana dhana kuwa wachaga wote ni wezi kumbe ni wachapa kazi ni waoga sana wa maisha hata mwanamke wa kichaga ukioa utaona faida yake hachagui kazi ya kufanya kwa kuona aibu.Makabila mengine yanawaza kushindana kununua khanga na kucheza ngoma.Jinsi ya kumfurahisha mwanaume kwa ngono.
Angalia majiko makubwa kwenye sehemu za chakula yaani MTU anachoma mbuzi, ng'ombe supu yaani vyakula aina10 ni kidogo halafu anasimamia mwenyewe sio kutuma akiwa Tajiri unaona wivu, wenzetu wanajua kutafuta hela acha wawe nazo.
 
Btw huyo mrangi yuko wapi tuwekane sawa

maana naskia ni beberu
 
Back
Top Bottom