Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
watu hawana huruma, watu wa bara huko.Post za Kingese kama hizi sijui Zina faida gani
mleta post tujaribu basi respect his wife and children katika kipindi hiki
tuwe sensitive na familia za watu hata Kama zetu zimeharibika
wanakama kila idara hapa mjini,ndio maana JIWE aliwachukia sana .Ila Wachgga wamejiwekeza sana
Yaan mtu unajitekenya na kujijibu mwenyew.WACHAGAA nyoko aisee, kila nyanja ya kijanja ni wao wanakamatia, sisi watu back sijui tulikuwa wapi.
funguka chasaka mwenzanguYaan mtu unajitekenya na kujijibu mwenyew.
Mkuu hii hanijakaa poa...Wachaga wanapukutika
Hata wasio wachaga wanapukutika ila hawajulikani..Wachaga wanapukutika
Mchaga anaiba mara moja tu alafu anawekeza[emoji125][emoji125]halafu mnawaita wezi.Kuna kiongozi mmoja(RIP) alikuwa ana dhana kuwa wachaga wote ni wezi kumbe ni wachapa kazi ni waoga sana wa maisha hata mwanamke wa kichaga ukioa utaona faida yake hachagui kazi ya kufanya kwa kuona aibu.Makabila mengine yanawaza kushindana kununua khanga na kucheza ngoma.Jinsi ya kumfurahisha mwanaume kwa ngono.
R.i.p akapambanee na malaika alikuwa anauzia watu haramuuu
Kabisa aisee.. hii kitu imekula sana..Du wazee wetu wameondoka sana wakati huu. RIP mzee Assey
Bado haitoi justification za kuwa masikiniIla wanaondoka mapema. Nilifikiri ukiwa nazo inabidi uishi maisha marefu kuliko vizee vya kijijini visivyokuwa na huduma. Ni kama aki na mangi wanabeba mizigo ya kutumia akili mpaka wanapata magonjwa ya moyo.
BroPost za Kingese kama hizi sijui Zina faida gani
mleta post tujaribu basi respect his wife and children katika kipindi hiki
tuwe sensitive na familia za watu hata Kama zetu zimeharibika
Two wrongs don’t make it rightBro
kama yeye alikamata kijidemu dogo dogo akahamia nacho Dubai, na jamii nzima ikajua basi ni yeye ndio hakuheshimu his wife and children…
Hasa kwenye mabiaIla Wachgga wamejiwekeza sana
Two wrongs don’t make it right
never
Kama nimekukosea, na kosa lileikajudhilisha wewe, basi hakuna faida ya mpita njia kuendelea kuliongelea hasa in my absence
kwasababu mkosaji sipo, unayemtonesha ni mhanga tu
let’s have sympathy for any victim mkuu
usibariki dhalili
kumbe rose garden zipo nyingiDah pole kwa familia ya mzee Assey, ni wiki kadhaa sasa toka mmiliki mwingine wa Rose Garden ya Dodoma aliaga dumia Fredy Sam
Dikteta alikuwa na roho mbaya!!Halafu utasikia wengine wanabweka ohh Magufuli alikuwa hapendi wachaga huyo Assey aliyekuwa akimtetea alikuwa msukuma?