Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

CHADEMA inakosa mfumo wa kitaasisi
Mpaka sasa imekuwa ni tamaduni kwa wote wanaoona wanafaa kumrithi Mbowe wanaundiwa nzengwe
Alianza Chacha Wangwe, Zitto pamoja na huyu wa sasa Mzee Sumaye
Kama chadema wana agenda ya kushika dola ni wakati mwafaka kukiondoa chama mikononi wa wachache
 
sitashangaa polisi ccm wakianza kumfuatilia Mbowe eti kwa kuhatarisha usalama wa sumaye!, huyu Mbowe atawageuza machizi nawaambia.
 
Cheo ni sharti la lazima kwake!
Wamemmwaga anatapatapa!!
Eti sasa anataka awe mshauri wa CHADEMA, nafasi alikuwa nayo hakuitumia.

Katoa ushauri kwenye press conference halafu hakuelewa hata yeye alichokiongea nadhani. Sasa anaomba awe mshauri.
 
Kwani Sumaye ni wa kwanza kuleta hizi tuhuma dhidi ya Mbowe?

Acheni utoto!
 
Dua LA kuku. mbowe ni chuma bro, huwezi shindana naye ukamshinda. Imagine mbowe alikuwa anawatuma mawaziri wastaafu sumaye na lowasa, huyu sio MTU wakumbeza hata kama humpendi
 
Mama, kwa akili ya kawaida kabisa, ulitegemea chama kikubwa kama chadema kimpe uongozi wa juu kabisa wa chama mtu kama Sumaye? Mtu ambaye bado ana shombo ya ccm?

Tungekuwa wajinga sana. Kwanini wasipewe watu wafia chama kama kina Heche, Lema, Msigwa nk? Tumpe sumaye!

Haitakaa iwezekane.
 
....kuandika jina lako tu hujui, utajua nini kingine!, kukusaidia tu; peleka huo ushahidi ulionao polisi!
 
Haahhhahah. Mimi siogopi matusi. Huwa natukanwa sana humu. Kasema atakuwa mshauri wa chama chochote including Chadema. Tanzania hakuna upinzani. Yaani waruhusu mgombea binafsi na sisi tugombee.

Labda ukagombee kuongoza wazee wenzako. Hilo zee nilikuambia toka juzi ukakae nalo ulitoe stress, saa hii zee zima eti linasema limeambiwa sumu hailambwi limejitoa kwenye chama, alitaka aambiwe sumu inalambwa? Zee lina miaka minne kwenye chama linataka uenyekiti kwa nguvu, halafu linjifanya halina uchu wa madaraka.
 
Tangu mimi form six hadi sasa ni professional with 8 year in job. Kumbuka shule nimesoma 6 yrs. Can you imagine [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hiki kizungu cha nyie “maprofessional” doh[emoji3][emoji3]
 
Yote kwa yote Sumaye ametufundisha jambo

Kama alisema Hayo kabla ya kula basi waachieni chama chao
Niliwahi kumiliki kadi baada kuinga CHADEMA kwa maneno na matendo lakini ni muda sasa nimesitisha, siwezi kujiunga cha kingine na CHADEMA haiwezi toka moyoni lakini kupumzika ni muhimu sana ili ujionee Gari uliloshuka linaelekea wapi hasa

Pumzika sumaye

CHADEMA jifunzeni
 
Ndoto za alinacha hzo@MTAZAMO,
Nitaifufua hii comment after 2020 election. Chadema wameshindwa kujipanga kuwa contain hao wanaowaona wanataka kumpindua Mbowe, unfortunately wana nguvu ya either "kugawana mbao" au ku opt kwenda ACT.

Zitto mpaka sasa is playing smart kuliko Mbowe! Good enough hata Lissu ataiacha Chadema kwasababu zile zile alipoitema NCCR! NCCR ilipo ndio inapoelekea Chadema!
 
Hahahhahahahhhaahhahhahahahahahhaa
Naona kuko kimya hapa vipi tena huko Chama cha Demokrasia...

Kumbe huko Demokrasia haipo?
Halafu mnataka kuongoza nchi simtagoma kutoka nyie madarakani
 
kiti cha mwenyekiti chadema kina siri nzito za ruzuku ,zito alishindwa huo mfupa mgumu sana....
 
Haya uliyoyasema, ungewashauri na CCM waache kutumia ubavu na vyombo vya dola kwenye chaguzi, kisha tuone kama kweli ramli unazopiga ni za kweli au wewe ndiye umekengeuka.

Hivyo unavyodhani wewe huyo Mbowe hana haki kugombea Uenyekiti huko CHADEMA bali hao uliowataja tu?
 

@Matazamo .... sometimes mtazamo unaweza kuwa potofu na unrealistic.

Mitazamo mingine ni fake
 
kuwa upinzani panahitaji moyo na uvumilivu naona mzee sumaye imemshinda,
 
Karne,
Ben alikosoa PhD ya jiwe akapotezwa, mbowe hajawahi miliki dola, kama anapote,a watu hakuna upelelezi wala mashitaka hilo ni tatizo LA serikali katili ya awamu ya 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…