kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Kama hao wanaokufa kwa utata unadhani kwa nini polisi hawafanyi uchunguzi kwa mbowe na CDM ili kuupata ukweli na kumfunga mbowe ambaye anaonekana kutonunulika na ccm?Polisi jinsi wanavyochukia upinzani wangeacha kufuatilia hao unaoita wenye vifo tata?Na je vipi Mzee mtikila,Akwilina,Ben saa nane,Mawazo,Lissu,Karume,sokoine,mwakyembe,Magufuli,na wengine wengi nao ni mbowe alitaka kukatisha uhai wao kwa kuwa wanaitisha nafasi yake?Kama ni hivyo huoni wajibu wa polisi wa kulinda raia na mali zao wameshindwa?polisi kama wameshindwa wewe unakuja unatokwa na utoko hapa wa kipuuzi?
Hana Jipya kwenye siasa za Tanzania akafie mbele alizoea kubebwa CCM miaka yote akajifunze kwa mwenzie pinda kawa waziri mkuu miaka 8 lakn amejipumzikia tu wewe miaka 10 bado unataka cheo cha mwenyekiti tena chama pinzani?.
Uyu alikuja chadema kimkakati kumzuia Lowassa asiende Ikulu.
Ni kwel kbs huyu Sumaye ni usalama wa taifa so alitumwa kukidhoofisha chadema!Kumbe alifuata uenyekiti wa CHADEMA.....?!!!!
Yaani watu waanzishe chama wakijenge kwa jasho na damu,wewe uje tu,Bado mgeni,hujaaminika na hawajui pengine wewe ni plant on a mission,wakupe uenyekiti kirahisi tu....?.
Who does he think is he?
Tatizo ni pale wote wanaotoka CCM kuhamia upinzani kutaka kupewa nafasi za juu wakati hata itikadi za vyama hivyo hawazijui!Tushaambiwa kuwa ukitaka kugombea uenyekiti CDM unaonekana huna adabu ko msitushawishi kwa vyovyote
Nimefuatilia kwa makini maelezo ya Sumaye kuhusu kujitoa kwake CHADEMA na katika siasa kwa ujumla. Anadai CHADEMA hakuna demokrasia na kwamba mabadiliko yanahitajika kurekebisha uendeshaji wa chama.
Kwa nini Sumaye haanzishi chama chake ili wengine wajifunze?
That is Good Idea. Halafu mtu mwenyewe hana Madhara yeyote, akwende huko aache Makelele yake.Nimefuatilia kwa makini maelezo ya Sumaye kuhusu kujitoa kwake CHADEMA na katika siasa kwa ujumla. Anadai CHADEMA hakuna demokrasia na kwamba mabadiliko yanahitajika kurekebisha uendeshaji wa chama.
Kwa nini Sumaye haanzishi chama chake ili wengine wajifunze?
Kwa hiyo kila anayeshauri anatakiwa kuanzisha chama?Nimefuatilia kwa makini maelezo ya Sumaye kuhusu kujitoa kwake CHADEMA na katika siasa kwa ujumla. Anadai CHADEMA hakuna demokrasia na kwamba mabadiliko yanahitajika kurekebisha uendeshaji wa chama.
Kwa nini Sumaye haanzishi chama chake ili wengine wajifunze?
Huenda aaliombwa kuhamiaTatizo ni pale wote wanaotoka CCM kuhamia upinzani kutaka kupewa nafasi za juu wakati hata itikadi za vyama hivyo hawazijui!
Swali ni kuwa wanahamia upinzani kusaka vyeo au wamezikubali itikadi za upinzani na kuona ndiyo mbadala wa itikadi za CCM!
Kuanzisha mchezo? Alishindwa kuanzisha Shamba itakuwa chamaNimefuatilia kwa makini maelezo ya Sumaye kuhusu kujitoa kwake CHADEMA na katika siasa kwa ujumla. Anadai CHADEMA hakuna demokrasia na kwamba mabadiliko yanahitajika kurekebisha uendeshaji wa chama.
Kwa nini Sumaye haanzishi chama chake ili wengine wajifunze?
Wewe sio chadema umetumwa pia ila ipo siku utakumbuka maneno yangu kua dikteta hana rafiki pale wewe utakapokua used spareMimi ni Chadema lakini kuna tatizo kwenye chama lazima viongozi wajitafakari ikiwemo mbowe
Kuwekeza pesa sio tatizoHakuna wanasiasa waliwekeza pesa nyingi chadema Kama Lowasa na Sumaye.Sumaye kajenga Hadi makao.makuu ya Kanda Ofisi nzuri kuliko ya makao makuu.Lakini chadema hawana shukrani naye.Lowasa kaingiza wabunge wengi na madiwani Leo hi Lowasa anaonekana si lolote si chochote Chadema
Haya chadema bakini na wakereketwa wasiochangia fedha na Mali akina Mdude,ole sosopi na akina Sugu.Matajiri timukeni chadema kabla hayajawakuta ya Lowasa na sumaye
Ninavyompenda Dr Magufuli mimi jamani...... yaani mtu akimsemea ubaya namwona kama adui mkubwa wa maendeleo ya nchi hii
Inaruhusiwa Kugombea Uenyekiti CCM kwa mwanachama wa kawaida ambaye sio Rais?Uchaguzi bado,inaruhusiwa kabisa,katoka Kikwete kaja magufuli,lakini katoka M kaja M,biashara hii inaruhusiwa ?
Wa Kanda ya Kati aliacha Ubunge wake akaja upinzani ambako hakuna maslahi yeyote.Nadhani huyu ana asilimia nyingi kidogo za kuaminikaBado wa kanda ya kati naye tuna mzoom tu, ahsante lema kwa kazi nzuri, waziri kivuli wa mambo ya ndani.
Hii cha mtoto ...kuna heavyweight boom inakuja! Kuna kagenge kanafikiri kanailinda Chadema kumbe ndio wanaitokomeza.
Very soon ACT ndio kinakuwa chama kikuu cha upinzani! All prominent politicians wanaenda kuungana na Zitto baada ya Mbowe kugomea mabadiliko. Mbowe anaenda kufunzwa siasa na Zitto [emoji41][emoji41]