Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

Inaknekana we Ni mswahili na siasa za njaa zinakutafuna.. Ni vigumu kunieleawa siku moja utanielewa
Kama hao wanaokufa kwa utata unadhani kwa nini polisi hawafanyi uchunguzi kwa mbowe na CDM ili kuupata ukweli na kumfunga mbowe ambaye anaonekana kutonunulika na ccm?Polisi jinsi wanavyochukia upinzani wangeacha kufuatilia hao unaoita wenye vifo tata?Na je vipi Mzee mtikila,Akwilina,Ben saa nane,Mawazo,Lissu,Karume,sokoine,mwakyembe,Magufuli,na wengine wengi nao ni mbowe alitaka kukatisha uhai wao kwa kuwa wanaitisha nafasi yake?Kama ni hivyo huoni wajibu wa polisi wa kulinda raia na mali zao wameshindwa?polisi kama wameshindwa wewe unakuja unatokwa na utoko hapa wa kipuuzi?
 
Hana Jipya kwenye siasa za Tanzania akafie mbele alizoea kubebwa CCM miaka yote akajifunze kwa mwenzie pinda kawa waziri mkuu miaka 8 lakn amejipumzikia tu wewe miaka 10 bado unataka cheo cha mwenyekiti tena chama pinzani?.

Uyu alikuja chadema kimkakati kumzuia Lowassa asiende Ikulu.

You are very right! sio yeye peke ake kuna wengi walikuja kimkakati ili waje wakivunje nguvu Chadema
 
Kumbe alifuata uenyekiti wa CHADEMA.....?!!!!
Yaani watu waanzishe chama wakijenge kwa jasho na damu,wewe uje tu,Bado mgeni,hujaaminika na hawajui pengine wewe ni plant on a mission,wakupe uenyekiti kirahisi tu....?.
Who does he think is he?
Ni kwel kbs huyu Sumaye ni usalama wa taifa so alitumwa kukidhoofisha chadema!
Pia ikumbukwe kua chadema ni chama cha wapigania haki za binadamu(freedom fighters) ambacho kinatakiwa kua na viongozi imara wasioteteleka wala kuogopa kufa!
 
Tushaambiwa kuwa ukitaka kugombea uenyekiti CDM unaonekana huna adabu ko msitushawishi kwa vyovyote
Tatizo ni pale wote wanaotoka CCM kuhamia upinzani kutaka kupewa nafasi za juu wakati hata itikadi za vyama hivyo hawazijui!

Swali ni kuwa wanahamia upinzani kusaka vyeo au wamezikubali itikadi za upinzani na kuona ndiyo mbadala wa itikadi za CCM!
 
Nimefuatilia kwa makini maelezo ya Sumaye kuhusu kujitoa kwake CHADEMA na katika siasa kwa ujumla. Anadai CHADEMA hakuna demokrasia na kwamba mabadiliko yanahitajika kurekebisha uendeshaji wa chama.

Kwa nini Sumaye haanzishi chama chake ili wengine wajifunze?

Taahira anaweza Kujifunza chochote kile kutoka kwa Mwendawazimu Mkuu?
 
Nimefuatilia kwa makini maelezo ya Sumaye kuhusu kujitoa kwake CHADEMA na katika siasa kwa ujumla. Anadai CHADEMA hakuna demokrasia na kwamba mabadiliko yanahitajika kurekebisha uendeshaji wa chama.

Kwa nini Sumaye haanzishi chama chake ili wengine wajifunze?
That is Good Idea. Halafu mtu mwenyewe hana Madhara yeyote, akwende huko aache Makelele yake.
 
Nimefuatilia kwa makini maelezo ya Sumaye kuhusu kujitoa kwake CHADEMA na katika siasa kwa ujumla. Anadai CHADEMA hakuna demokrasia na kwamba mabadiliko yanahitajika kurekebisha uendeshaji wa chama.

Kwa nini Sumaye haanzishi chama chake ili wengine wajifunze?
Kwa hiyo kila anayeshauri anatakiwa kuanzisha chama?
 
Tatizo ni pale wote wanaotoka CCM kuhamia upinzani kutaka kupewa nafasi za juu wakati hata itikadi za vyama hivyo hawazijui!

Swali ni kuwa wanahamia upinzani kusaka vyeo au wamezikubali itikadi za upinzani na kuona ndiyo mbadala wa itikadi za CCM!
Huenda aaliombwa kuhamia
Kama Mtu anahamia nakupewa agombee urais itakua uenyekiti wa kanda??
 
Tutakua na vyama vingi sana kwa hoja hiyo.
Kila anayehama chama anapaswa kuanzisha Chama chake.
Basi hii nchi vyama sio itikadi na sera ni vyama vya watu na kila asiyeridhishwa anaanzisha chama.
Msajili atachoka kusajili hivi vyama.
 
Nimefuatilia kwa makini maelezo ya Sumaye kuhusu kujitoa kwake CHADEMA na katika siasa kwa ujumla. Anadai CHADEMA hakuna demokrasia na kwamba mabadiliko yanahitajika kurekebisha uendeshaji wa chama.

Kwa nini Sumaye haanzishi chama chake ili wengine wajifunze?
Kuanzisha mchezo? Alishindwa kuanzisha Shamba itakuwa chama
 
Mimi ni Chadema lakini kuna tatizo kwenye chama lazima viongozi wajitafakari ikiwemo mbowe
Wewe sio chadema umetumwa pia ila ipo siku utakumbuka maneno yangu kua dikteta hana rafiki pale wewe utakapokua used spare
 
Cdm
Wamethibitisha mambo 2

1)uenyekiti ni wa kifalme(mbie mtai na kanda ileeee
2)kinakwenda kuzikwa rasm 2020 tutabaki na chama 1 ambacho Walao wap wanademocrasia ya kuonekana.
 
Chama pekee ambacho mwanachama ni Marufuku kuchukua fomu ya kugombea Uenyekiti ni CCM.Ni Marufuku hairuhusiwi kabisa
 
Hakuna wanasiasa waliwekeza pesa nyingi chadema Kama Lowasa na Sumaye.Sumaye kajenga Hadi makao.makuu ya Kanda Ofisi nzuri kuliko ya makao makuu.Lakini chadema hawana shukrani naye.Lowasa kaingiza wabunge wengi na madiwani Leo hi Lowasa anaonekana si lolote si chochote Chadema

Haya chadema bakini na wakereketwa wasiochangia fedha na Mali akina Mdude,ole sosopi na akina Sugu.Matajiri timukeni chadema kabla hayajawakuta ya Lowasa na sumaye
Kuwekeza pesa sio tatizo
 
Ninavyompenda Dr Magufuli mimi jamani...... yaani mtu akimsemea ubaya namwona kama adui mkubwa wa maendeleo ya nchi hii

Watch out one day you will come to regret to your comments! today you are a hot cake bcoz ur active user but when u become used spare is when you will realize you were wrong
 
Hii cha mtoto ...kuna heavyweight boom inakuja! Kuna kagenge kanafikiri kanailinda Chadema kumbe ndio wanaitokomeza.

Very soon ACT ndio kinakuwa chama kikuu cha upinzani! All prominent politicians wanaenda kuungana na Zitto baada ya Mbowe kugomea mabadiliko. Mbowe anaenda kufunzwa siasa na Zitto [emoji41][emoji41]

Don't trust with Zitto look on History! Chama gani cha upinzani wa kweli kilichopewa nafasi za uongonzi awamu hii ya tano? If not ACT wazalendo?be realistic otherwise you don't have intrinsic love to ur country
 
Sumaye ni pandikizi lililokuwa liimalize Chadema from within lakini bila aibu linalijifanya kulilia demokrasia wakati lenyewe lina damu ya wafuasi wa Cuf visiwani Zanzibar
 
Back
Top Bottom