Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

Sumaye dishi limeyumba hawezi anzisha chama wala kikundi cha kuweka na kukopa.
 
trachomatis,

You are very right indeed
For an iron to be strong it must be subjected under great heat to be chuma cha pua (kama cha leri ambacho huwezi kukiform katika kitu kingine
 
Sumaye Jana katoa hoja za kitoto nyingi kuliko za kiutu uzima, labda ile ya familia yake kunyang'anywa mashamba
 
Tatizo ni Mbowe na uenyekiti.

Afrika hakuna demokrasia.

Kwa huu mwendo CCM itatawala milele.
Ni kisingizio tu, Lipumba kakaa tangu lini, afadhali hata CHADEMA fomu wanakupa ujaze, Kule CCM marufuku hata kuinusa.
 
Watch out one day you will come to regret to your comments! today you are a hot cake bcoz ur active user but when u become used spare is when you will realize you were wrong
Mkuu king77 right and wrong is nothing more than an opinion. Kila mtu mwenye akili timamu ana sababu muhimu kuhusu mawazo na maoni yake kwa wakati wake, na ni ngumu kulazimisha kufanana
 
Aliondoka Lowasa na CHADEMA iko palepale itakuwa Sumaye!
Aliondoka Slaa na bado CHADEMA ikO paleplae!
Kwenda!
 
Kama umeshindwa 'fitna' kdg kanda ya Pwani je Taifa ungeweza wapi we mzee? kwendaaaaaaaaaaa!
 
Wanamtaka wa kuwatii, mwenyekiti wa CHADEMA awe anapokea maelekezo toka lumumba, na hii ndio sababu kubwa iliyofanya zitto akakimbia CHADEMA, huwezi kuwa mwenyekiti wa chama halafu useme mwenyekiti wa upande wa pili ni 'baba ako' kila siku mnakutana kwenye vikao vya siri halafu upewe chama, nani atakuamini?
 
Na mazuzu kama nyie ndio mnafanya Mbowe aendelee kujitafunia tu ruzuku bila kipingamizi!

Huo umugabe na umuseven wake ndio unafanya hapo chadema wote muendelee kuonekana ni wahuni na sio taasisi inayojiandaa kuongoza nchi.

Hizo ni akili zako duni tuu. Kama Chadema ingeonekana wahuni CCM ingehangaikia nini kutumia dola, mahakama na NEC katika kupambana nayo badala ya kutegemea ushawishi wa kisiasa?
Hujui kuwa wananchi wameshagundua kitambo kuwa CCM ni wasanii, waongo, wahuni (wa kishamba) na wauaji? Hali ndio hiyo!
 
Hiyo pay slip bado unayo, utuwekee hapa tuione!
 
Siyo hivyo! Tunasema itatawala milele sababu tunaotegemea wawe mbadala hawatofautiani na ccm.

Fikiri nje ya box
Usifananishe mbadala wetu na vitu vya kijinga!
 
Afrika hakuna demokrasia, iwe ndani ya chama ama Kwenye chaguzi za aina yoyote. Zimbabwe, Kongo, Rwanda, Cameroon na kadharika.

Wanaotaka demokrasia yawapasa kutuletea maendeleo kwanza Afrika ndipo waje nahuo upupu.!
 
Roving Journalist, eti Sumaye awe MWENYEKITI wa chadema, hatukubali, sasa kushindwa uenyekiti ndio ujitoe chadema, kwa hiyo wewe umefuata vyeo chadema,lakini hiyo si demokrasia mzee sumaye
 
Uliambiwa kuwa hiyo ni mali ya ukoo, then mzee (babu) akajiondokea bila shida na kupotezea yale mamilioni ya 2015 then kiroho safi akanyosha miguu, sasa mzee, dah pole sana hiyo ni mali ya mtu.

"RUDI NYUMBANI AMBAKO UCHAGUZI UNAFANYIKA MBELE YA CAMERA NA KUHESABU KURA MPAKA ZA VITI MAALUMU ZINAONYESHWA KWENYE TVs ZA KENYA MPAKA KWA KAGAME NA MUSEVENI, SO POLE NYINGI KUTOKA KWA MWANAO.

#SACCOS .
 
Sumaye kamwanga manyanga mwenyewe kugombea Uenyekiti.Kaogopa kumfuata Chacha Wangwe kaburini. Mbowe ni dictator.
Mbowe alishakabidhiwa chama na mke kutoka kwa Mtei avilinde kama nafsi yake kwa kuwa ndio urithi wa familia sasa atachiaje tu kishamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…