Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hill mbowe kaonewa, sumaye katumia hisia zaidiSumaye kamwanga manyanga mwenyewe kugombea Uenyekiti.Kaogopa kumfuata Chacha Wangwe kaburini. Mbowe ni dictator.
Ni kisingizio tu, Lipumba kakaa tangu lini, afadhali hata CHADEMA fomu wanakupa ujaze, Kule CCM marufuku hata kuinusa.Tatizo ni Mbowe na uenyekiti.
Afrika hakuna demokrasia.
Kwa huu mwendo CCM itatawala milele.
Muulize Membe.Inaruhusiwa Kugombea Uenyekiti CCM kwa mwanachama wa kawaida ambaye sio Rais?
Mkuu king77 right and wrong is nothing more than an opinion. Kila mtu mwenye akili timamu ana sababu muhimu kuhusu mawazo na maoni yake kwa wakati wake, na ni ngumu kulazimisha kufananaWatch out one day you will come to regret to your comments! today you are a hot cake bcoz ur active user but when u become used spare is when you will realize you were wrong
Wanamtaka wa kuwatii, mwenyekiti wa CHADEMA awe anapokea maelekezo toka lumumba, na hii ndio sababu kubwa iliyofanya zitto akakimbia CHADEMA, huwezi kuwa mwenyekiti wa chama halafu useme mwenyekiti wa upande wa pili ni 'baba ako' kila siku mnakutana kwenye vikao vya siri halafu upewe chama, nani atakuamini?jd41,
Hivi ni kwa nini CCM na vibaraka wake wa ndani na nje ya Chama hawataki Mbowe awe Mwenyekiti? Sipati jibu hakika. Hukuti wanalalamikia utaratibu wa CCM wa kumpa Rais wa nchi awe ndiye mwenyekiti wao piga ua, ila nongwa ni Mbowe. tatizo ni cheo tu cha uenyekiti au Mbowe kuwa mwenyekiti ni kikwazo cha wao kufanya yao? Nini hasa nipo kwenye cheo cha mwenyekiti wa Chadema Taifa? Mbona hiyo nafasi inaliliwa sana? Kuna nini?
Na mazuzu kama nyie ndio mnafanya Mbowe aendelee kujitafunia tu ruzuku bila kipingamizi!
Huo umugabe na umuseven wake ndio unafanya hapo chadema wote muendelee kuonekana ni wahuni na sio taasisi inayojiandaa kuongoza nchi.
Hiyo pay slip bado unayo, utuwekee hapa tuione!Hakuna wanasiasa waliwekeza pesa nyingi chadema Kama Lowasa na Sumaye.Sumaye kajenga Hadi makao.makuu ya Kanda Ofisi nzuri kuliko ya makao makuu.Lakini chadema hawana shukrani naye. Lowasa kaingiza wabunge wengi na madiwani Leo hi Lowasa anaonekana si lolote si chochote Chadema
Haya CHADEMA bakini na wakereketwa wasiochangia fedha na Mali akina Mdude,ole sosopi na akina Sugu. Matajiri timukeni chadema kabla hayajawakuta ya Lowasa na sumaye
Usifananishe mbadala wetu na vitu vya kijinga!Siyo hivyo! Tunasema itatawala milele sababu tunaotegemea wawe mbadala hawatofautiani na ccm.
Fikiri nje ya box
Sumaye huyu si ndio yule yule ambaye alibwagwa na Mary Nagu kugombea (nadhani) ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa? Kumbe kwake kushindwa ni jambo la kawaida. Halafu nani atamchukuaUpo kwenye mkutano?
Mbowe alishakabidhiwa chama na mke kutoka kwa Mtei avilinde kama nafsi yake kwa kuwa ndio urithi wa familia sasa atachiaje tu kishamba.Sumaye kamwanga manyanga mwenyewe kugombea Uenyekiti.Kaogopa kumfuata Chacha Wangwe kaburini. Mbowe ni dictator.