Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

Nasema ni aibu kubwa kwa waziri mkuu mstaafu kukiri hadharani kuwa analazimika kuachana na siasa eti kwakuwa anamuogopa kiongozi wa chama cha upinzani. Anaogopa maneno aliyosema koongozi wa upinzani.

Ila sishangai maana anayeogopwa amewahi kuzoa mawaziri wakuu wastaafu wawili kwa mpigo na kuwafanya kuwa wapinzani.

Kama waziri mkuu mstaafu anamuogopa kiongozi wa upinzani basi kiongozi huyo ni imara sana!
Shida ni kuwa Watanzania wengi wanadhani nchi inaenda kwa mtizamo wa mifumo ya CCM tu. Ndiyo maana issue ya uongozi wa Kijimbo bado inakwaruza akili za wengi.
Mh. kaomba uongozi wa kanda, then anataka tena uongozi wa juu wa chama. Akili hii ni kuwa finyu au makusudi?
 
Sumaye hana mvuto wa Kisiasa tangu akiwa PM

PM mstaafu unashindwa ujumbe wa NEC nyumbani kwako Hanang!

Mbowe katumia mbinu za Mkwere

Anakushawishi uchukue form then anakumwaga

Jaji Augustine Ramadhan na Mzee Pinda wanaweza kuandika vitabu kuelezea hilo

Mzee Mangula alishindwa na Jah people Muhuni wa Darasa la Nne C kule kijijiji kwao
 
Nasema ni aibu kubwa kwa waziri mkuu mstaafu kukiri hadharani kuwa analazimika kuachana na siasa eti kwakuwa anamuogopa kiongozi wa chama cha upinzani. Anaogopa maneno aliyosema koongozi wa upinzani.

Ila sishangai maana anayeogopwa amewahi kuzoa mawaziri wakuu wastaafu wawili kwa mpigo na kuwafanya kuwa wapinzani.

Kama waziri mkuu mstaafu anamuogopa kiongozi wa upinzani basi kiongozi huyo ni imara sana!
RIP Chacha Wangwe, Sumu haionjwi.
 
Nasema ni aibu kubwa kwa waziri mkuu mstaafu kukiri hadharani kuwa analazimika kuachana na siasa eti kwakuwa anamuogopa kiongozi wa chama cha upinzani. Anaogopa maneno aliyosema koongozi wa upinzani.

Ila sishangai maana anayeogopwa amewahi kuzoa mawaziri wakuu wastaafu wawili kwa mpigo na kuwafanya kuwa wapinzani.

Kama waziri mkuu mstaafu anamuogopa kiongozi wa upinzani basi kiongozi huyo ni imara sana!
Anachoogopa mzee Sumaye ni " Kuonja sumu kwa kulamba "...........Uwe unaelewa bwashee!
 
Sumaye hana mvuto wa Kisiasa tangu akiwa PM

PM mstaafu unashindwa ujumbe wa NEC nyumbani kwako Hanang!

Mbowe katumia mbinu za Mkwere

Anakushawishi uchukue form then anakumwaga

Jaji Augustine Ramadhan na Mzee Pinda wanaweza kuandika vitabu kuelezea hilo

Mzee Mangula alishindwa na Jah people Muhuni wa Darasa la Nne C kule kijijiji kwao
Jah people aliishia chekechea!
 
Tena waziri mkuu mstaafu ulinzi alionao hata mwenyekiti wa Chadema taifa hana, uongo wa namna hiyo ni aibu kweli.
 
Nasema ni aibu kubwa kwa waziri mkuu mstaafu kukiri hadharani kuwa analazimika kuachana na siasa eti kwakuwa anamuogopa kiongozi wa chama cha upinzani. Anaogopa maneno aliyosema koongozi wa upinzani.

Ila sishangai maana anayeogopwa amewahi kuzoa mawaziri wakuu wastaafu wawili kwa mpigo na kuwafanya kuwa wapinzani.

Kama waziri mkuu mstaafu anamuogopa kiongozi wa upinzani basi kiongozi huyo ni imara sana!
Ni imara sana, lakini anaogopa sana kugombea urais, badala yeye anagombea ubunge tu! Ahahahahaha!
 
Nasema ni aibu kubwa kwa waziri mkuu mstaafu kukiri hadharani kuwa analazimika kuachana na siasa eti kwakuwa anamuogopa kiongozi wa chama cha upinzani. Anaogopa maneno aliyosema koongozi wa upinzani.

Ila sishangai maana anayeogopwa amewahi kuzoa mawaziri wakuu wastaafu wawili kwa mpigo na kuwafanya kuwa wapinzani.

Kama waziri mkuu mstaafu anamuogopa kiongozi wa upinzani basi kiongozi huyo ni imara sana!
Hivi huwa mnajitafakari kabla ya kuanzisha mada kama hizi?
 
Back
Top Bottom