DAT BOY SU
Member
- Nov 15, 2017
- 29
- 30
Wote tumemsikia aliyepata kuwa waziri mkuu wa Tanzania kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo, akiongea na waandishi wa habari mzee wetu Fredrick Sumaye ameongea mengi na kwa hisia zilizo changanyikana na machungu ndani yake.
Sumaye ametangaza kujiondoa kutoka chama kikuu hicho cha upinzani nchini kwa sababu ndani ya chama hicho hakuna demokrasia ya kweli ile ambayo wanaihubiri kwa watu, anaendlea kusema kuwa amefanyiwa figisufigisu kisa tu alichukua fomu ya kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho ngazi ya Taifa, kuna wajumbe walifichwa hotelini na wengine kupigiwa simu na kupewa rushwa ili tu kumpigia kura za hapana.
Sumaye anasema Mbowe aliwahi kumwambia kuwa sumu haionjwi kwa kuilamba na yeye kwa usalama wa uhai wake na familia yake ameamua kujondoa ndani ya chama hicho ili tu Mbowe angombee mwenyewe nafasi ya uenyekiti.
Yoyote anae jaribu ama kutaka kugombea nafasi ya uenyekiti basi atakumbana na fitina na hujuma za kutisha kutoka kwa Mbowe na watu wanaomzunguka, huku yeye akidhani hao wanaomzunguka wnamsaidia lakini wanakiangamiza chama.
Sumaye anaendelea kusema Prof. Safari alipotoa ushauri aliambulia matusi na kejeli kutoka kwa viongozi na wanachma wa CHADEMA, sasa hivi ukitoa maoni tofauti na wanavyofikiria wao ama ukikosoa basi utaitwa msaliti na matusi kibao CHADEMA wao kila kitu wapo sahihi hawakosei na wala hawajawah kukiri kosa.
Wengine tulijaribu kutahadharisha humu kugombea unyekiti CHADEMA ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano kitu ambacho ni kigumu na hakiwezekani wote waliogombea uenyekiti. Walichokutana nacho mungu tu ndo anajua.
Who is next?
Sumaye ametangaza kujiondoa kutoka chama kikuu hicho cha upinzani nchini kwa sababu ndani ya chama hicho hakuna demokrasia ya kweli ile ambayo wanaihubiri kwa watu, anaendlea kusema kuwa amefanyiwa figisufigisu kisa tu alichukua fomu ya kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho ngazi ya Taifa, kuna wajumbe walifichwa hotelini na wengine kupigiwa simu na kupewa rushwa ili tu kumpigia kura za hapana.
Sumaye anasema Mbowe aliwahi kumwambia kuwa sumu haionjwi kwa kuilamba na yeye kwa usalama wa uhai wake na familia yake ameamua kujondoa ndani ya chama hicho ili tu Mbowe angombee mwenyewe nafasi ya uenyekiti.
Yoyote anae jaribu ama kutaka kugombea nafasi ya uenyekiti basi atakumbana na fitina na hujuma za kutisha kutoka kwa Mbowe na watu wanaomzunguka, huku yeye akidhani hao wanaomzunguka wnamsaidia lakini wanakiangamiza chama.
Sumaye anaendelea kusema Prof. Safari alipotoa ushauri aliambulia matusi na kejeli kutoka kwa viongozi na wanachma wa CHADEMA, sasa hivi ukitoa maoni tofauti na wanavyofikiria wao ama ukikosoa basi utaitwa msaliti na matusi kibao CHADEMA wao kila kitu wapo sahihi hawakosei na wala hawajawah kukiri kosa.
Wengine tulijaribu kutahadharisha humu kugombea unyekiti CHADEMA ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano kitu ambacho ni kigumu na hakiwezekani wote waliogombea uenyekiti. Walichokutana nacho mungu tu ndo anajua.
Who is next?