Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Poleni CHADEMA.
You should have seen it coming...
You should have seen it coming...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata lowasa alisema hovyoSumaye kaondoka CHADEMA. Hajiungi na chama chochote cha siasa.
roho mbaya ndo maana hukuwa yeyeNatamani ningekuwa Mbbowe,ningejilia tu ruzuku kiroho swafiiiii
Sasa alikuwa hajui kama ndani ya Chadema hakuna demokrasia ? Kwani Lowassa aliwekwa vipi kuwa mgombea Urais Chadema ? Chadema hakuna demokrasia wala maendeleo.
mzee kule siyo ccm,kile ni chama cha demokrasia hakuna kupita bila kupingwaHapana Sumaye kaonewa .Kamati kuu ya chadema ilimwona anafaa na ndie alikuwa mgombea pekee.Kulikuwa na sababu gani ya kuitisha kura Tena?
Makamu wa Mwenyekiti Prof. Safari kakiri Sumaye kuonewa. Mimi ni nani hata nipinge?Mkuu, mganga hajigangi bhana. Naomba unifikirie ili nami nikufikirie kwenye teuzi zijazo.
Ni kama tu wanavyofeli CCM kwa kudhani only one party ndiyo inaweza kuongoza nchi hii.Wataendelea kuchokwa mpaka na hizo wanazoita tools.Chadema wanafeli kwa kudhani only one person ndiyo anaiweza Chadema. Watazidi Ku loose mpaka wote watamchoka Mbowe. Basi wafanye kama ACT Wazalendo
Hapana Sumaye kaonewa .Kamati kuu ya chadema ilimwona anafaa na ndie alikuwa mgombea pekee.Kulikuwa na sababu gani ya kuitisha kura Tena?
we unayeburuzwa pishaMngemuacha ashindane na shindwe kwenye box la kura sasa vitisho vya nini? Kachukua tu form umemuundia zwengwe ! Chadema imefika mwisho sasa hila zenu zote ziko wazi Mbowe anawamaliza kwa masrahi yake binafsi. Mwakani mtaangukia pua zaidi ya mwaka huu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa! Chadema ni chama cha wahuni , wenye akili timamu hawawezi kudumu pale...yuko wapi Dr. Slaa, Lisu, Lowasa, Zito, na wengine wengi? Mmebakia wajinga watupu endeleeni kuburuzwa tu
kwani wongo huko ccm mlishawahi kuonja sumu kwa kuilambaKuna kauli moja hatari Sana "hauwezi kuonja sumu kwa kuilamba" yawezekana kauli hiyo ndio imemuweka lisu pabaya.
Kinyaaaa na kichefuchefu wapi na wapi, unaona mnavyo force mambo mbwa nyie....habadilishwi, na hicho kichefuchefu ulichonacho mpaka ujifungue!
Mbaya wa Lisu, Wangwe,Zito ni mbowe kama hujui