Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
Kuna ukweli kwenye hili?
Anasema kuwa:
1. Anasema mpaka sasa mbona tukisema tunaenda kuangalia majengo ya kale tunachokiona ni kazi ya mwarabu na mzungu, sisi ngome zetu zenye ubora kama ya hao watu ziko wapi? (Wazee wengi ne walifoka sana hapa)
2. Alisema wenzetu walikuja huku wakiwa wameachana na vita za kikabila kitambo sana na kilichokuwa kikinukishwa ni vita za nchi na falme, mzungu kakanyaga Afrika kakuta makabila na mifano ya makabila yanayojiita mataifa , ni sawa sawa katika harakati za kujenga ustaarabu tulionao sasa mtu atolewe shule ya msingi arushiwe chuo
Ni kweli kwenye haya?
Anasema kuwa:
1. Anasema mpaka sasa mbona tukisema tunaenda kuangalia majengo ya kale tunachokiona ni kazi ya mwarabu na mzungu, sisi ngome zetu zenye ubora kama ya hao watu ziko wapi? (Wazee wengi ne walifoka sana hapa)
2. Alisema wenzetu walikuja huku wakiwa wameachana na vita za kikabila kitambo sana na kilichokuwa kikinukishwa ni vita za nchi na falme, mzungu kakanyaga Afrika kakuta makabila na mifano ya makabila yanayojiita mataifa , ni sawa sawa katika harakati za kujenga ustaarabu tulionao sasa mtu atolewe shule ya msingi arushiwe chuo
Ni kweli kwenye haya?