Kwamba unabishana na Historians? Huwa napenda nikiongea vitu nije na ushahidi na wewe naomba unipe ushahidi wa kupinga na sio uelewa wako kwa kuangalia movies na Series.
1. Watu walioshi kipindi hicho Wali consider Super power wanne Roma, Aksumite, Han (China) na sasanide (Iran) , hii ilikuwa ni karne ya 3, source
Munro-Hay, Stuart (1991).
Aksum: An African Civilisation of Late Antiquity. Edinburgh: Edinburgh University Press.
2. Aksum Wali miliki Trade route zote za red Sea mpaka Bahari ya Hindi, kama unavyoona Leo Houth Wakipiga Pin Meli na wao walimiliki hilo eneo wakati wao
View attachment 3174075
3. Hela yao ilitumika Kimataifa
led the Persian religious leader Mani to label
Aksum as the third of the kingdoms of the world in the later third century; and something of this reputation is substantiated by the production of an independent coinage (Ch. 9) at about this time. It paralleled the country with the few other contemporary states with the wealth and political status to issue gold coinage; Rome, Persia (to a lesser degree), and, into the third century, the Kushana kingdom in northern India" (Munro-Hay, 1991: 13).
So wakati watu wanatumia barter trade, wao walikua na Coin na inatumika kimataifa, watu wote waliopita hapo walitumia hio Coin. Hizi coin zimekuwa Excavated as far as India.
4. Walitumia cement na ujenzi mwengine bora kwenye Majengo yao obelisk zipo hadi leo ambazo ni kama Equivalent ya Ghorofa 10
View attachment 3174078
Na hio Obelisk ya mita 33 ndio monolithic building ndefu zaidi kupata kujengwa kipindi cha zamani, zinazidi hadi Za Egpty. kama Empire nyengine zilishindwa kufanya hivyo bado unaichukulia poa Aksum?
5. Kushite Empire ambayo ilikua ikiionea Roma na Kuipiga ilikuja kuwa Conquered na Aksum
Following the annexation of Egypt, the Roman army attempted to push the border south. But the warlike kingdom of Kush fought back, forcing Rome to abandon its plans for good.
www.thecollector.com
6. Katika Uhai wake Wote Aksum Rome hawajawahi kuigusa Na siku zote walitaka kuwa na Amani nao japo walipakana.
7. Aksum mwaka 525 ilivamia Himyar (Yemen ya sasa) na kumpiga Mfalme Myahudi aliyekua akiuwa Wakristo, Mfalme huyo Alikuwa supported na Sasanid, zaidi ya Jeshi La watu 100,000 na Meli 70 zilitumika.
8. Walikua na Herufi zao, Dini yao, Vitabu vyao etc.
So thinking Aksum haikuwa on par Na wengine ni Ujinga wa Kutojua Historia, Bottom Line Roma wenyewe waliwatreat Aksum kama Equal.