1. Kipindi wazungu wa Mwanzo kina Vasco da Gama wanakuja Bunduki ilishagunduliwa ila sio widely Available ilikuwa bado ni Expensive na huwezi ku Afford jeshi zima, miaka ya 1400
2. Wareno walivyokuja Africa Walikuta Chuma kinachofuliwa ni high Quality kuliko vyuma vyao, solution ni ku Export Chuma cha Africa kwenye Viwanda vyao.
3. Issue ya Chuma cha Africa ni stori ndefu mno ila ni Fact at that time Watu Africa walikua juu kwenye Ufuaji chuma. Jiulize swali moja kwanini Wakoloni waliwakata Mikono Blacksmith wa KI Africa? Why blacksmith na sio field nyengine?