Mzee katoa hoja "Mzungu kaitoa Afrika Porini" akamwagiwa kahawa yake


Nisadie mkuu, hivi chuma cha Waafrika kiliwafikisha wapi?
 
Nisadie mkuu, hivi chuma cha Waafrika kiliwafikisha wapi?
Kilowapa Uwezo wa kutengeneza empire kubwa tu ambazo zilidumu kwa Mamia ya miaka, Ureno wakati wanatia Mguu West Africa walikuta Empire zao ni sawa na Empire za Ulaya pre Industrial Revolution, Usisahau Moors ( Wa Africa wa North na West Nchi kama Mali) wametawala Spain karne 8 kuanzia miaka ya 700-1400, Hata Wazungu hawaja Tawala Africa kiasi kirefu hivyo, na Elimu waliyoipata Wazungu Spain wakati huu ndio iliotengeza Civilization ya sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…