Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Mzee wa Msoga haishiwi vimbenga, ni mtalaam wakung'ata na kupuliza . Leo inasambaa picha akiwa kavaa tshirt kama ya Yanga akiwa anatazama punda. Tshit ukiangalia kwa makini unabaini ina maneno yasomekayo "Kasi isambazayo tabasamu".
Maneno haya yana maana kubwa sana yanapokaa mgongoni mwake tofauti na yangekaa mgongoni mwa mwananchi wa kawaida.
Je, ni kweli tunayo kasi inayosambaza tabasamu au tumepingwa upofu kuyakumbuka na kuyaona machungu?
Maneno haya yana maana kubwa sana yanapokaa mgongoni mwake tofauti na yangekaa mgongoni mwa mwananchi wa kawaida.
Je, ni kweli tunayo kasi inayosambaza tabasamu au tumepingwa upofu kuyakumbuka na kuyaona machungu?