Dangire
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 221
- 68
Kiongozi wa sasa asingependa kusikia hili ila ndiyo ukweli. wenzie waliotangulia walifanya kazi kubwa kuifikisha tanzania hapa ilipo. tatizo ni kuwa Jiwe anajitafutia na kujijengea sifa 'zilizotukuka' ili ionekane kuwa amewa 'outperform' wenzake wote! huu nao ni ushirikina.