Sasa hapa mnachobisha nyie ni kitu gani?Mkuu Tanzania 2025 strategic development plan na indicators na targets zake zinazopaswa kufikiwa hazijategenezwa na WB bali watanzania wenyewe through serikali yao.Kwa hiyo WB waamini kwamba nchi yetu imeingia uchumi wa chini wa kati kwa kipato Cha USD 1028.00 kwa kila mtanzania Ila target yetu Kama taifa ni uchumi wa kati ambao kipato Cha mtanzania ni usd 3000.00
Wewe ndo hujaelewa.JK amesema our country target by 2025 is USD 3000 kwa kila mtanzania, Sasa hiyo report ya WB ameipinga wapi? Please msikilize tenaKwahiyo kikwete anapingana na world bank?
Sasa mbona mnapotosha kwamba kamuumbua Magufuli?Wewe ndo hujaelewa.JK amesema our country target by 2025 is USD 3000 kwa kila mtanzania, Sasa hiyo report ya WB ameipinga wapi? Please msikilize tena
Mkuu Magufuli alikuwa anatudanganya kwamba tumefikia lengo mapema zaidi kabla ya 2025.Please remember lengo letu si kuingia uchumi wa kati bali Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati ambayo Pato la mtanzania wastani wa USD 3000.00.I hope nometumia lugha nyepesi so utanielewaSasa hapa mnachobisha nyie ni kitu gani?
Kikwete kasema pamoja na kuingia uchumi wa kati lakini bado hatujafikia lengo alilotaka Mkapa la kila mwananchi kuwa na pato la dola elf 3 kwa mwaka!
Sasa hii ya kusema kamuumbua Magufuli kaisema saa ngapi?
Magufuli alikuwa anapotosha kuwa tumefikia lengo mapema zaidi kabla ya muda yaani 2025Sasa mbona mnapotosha kwamba kamuumbua Magufuli?
Una IQ ya panzi,Kikwete ndio kasema hivyo?
Kapinga kwamba hatujafikia uchumi wa kati kulingana Wb?
Jibu kwanza hayo ili nijue sibishani na kiazi mbatata
Lengo lipi alilosema Magufuli kwamba tumefika mapema?Mkuu Magufuli alikuwa anatudanganya kwamba tumefikia lengo mapema zaidi kabla ya 2025.Please remember lengo letu si kuingia uchumi wa kati bali Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati ambayo Pato la mtanzania wastani wa USD 3000.00.I hope nometumia lugha nyepesi so utanielewa
Duh, Mzee mbona mnakuwa wagumu kuelewa?Tumuamini nani kati ya world bank kama taasisi ya fedha duniani yenye wataalamu lukuki wabobezi ,au mzee wa kiswahili Jakaya kikwete?
Nenda kamsaidie mwenyekiti kulewaUna IQ ya panzi,
Mkuu hapa Dar nina nyumba tatu,moja ipo kigogo luhanga,a self contained house,Ya pili ipo mbezi Luis ndo naishi Sasa na nyingine ipo mbezi msumi.Zote ni nyumba bora naza kisasa kabisa,sebuleni kwangu Kuna screen ya nchi 70 iliyonunuliwa kwa shilingi za kitanzania milioni Saba na nusu pale duka la sumsung karibu na mnara wa askali au nyuma ya iliyokuwa postal bank_just for your informationEndelea kucoment ukiwa sebuleni kwa shemeji yako
Bumunda unadhani kila mtu anayekosoa Ni chadema, kweli IQ yako Ni chini ya PanziNenda kamsaidie mwenyekiti kulewa
Unadhani dola 3000 ni mchezo mchezo siyo?Kikwete ninampenda bure. Maana watanzania walijua kuwa wamefika pato la 3000 kabla ya 2025.
Hii ni by 2025,HUJAELEWA usipotoshe watu 😕Kikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa.
Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania.
Pia kaweka rekodi nyingine sawa kuwa Uchumi kukua kwa asilimia 7 Ni Mkapa ndio aliweka na baada ya Mkapa haijawahi kushuka hiyo Kasi.
Hii ni tofauti na propaganda za Sasa hivi kuwa Magufuli ndio kapandisha Kasi ya ukuaji Uchumi.
Lengo la uzi ni nini ikiwa hatujafika 2025?Mkuu Tanzania 2025 strategic development plan na indicators na targets zake zinazopaswa kufikiwa hazijategenezwa na WB bali watanzania wenyewe through serikali yao.Kwa hiyo WB waamini kwamba nchi yetu imeingia uchumi wa chini wa kati kwa kipato Cha USD 1028.00 kwa kila mtanzania Ila target yetu Kama taifa ni uchumi wa kati ambao kipato Cha mtanzania ni usd 3000.00
Haya basi wewe uko tofauti na wenzioMkuu hapa Dar nina nyumba tatu,moja ipo kigogo luhanga,a self contained house,Ya pili ipo mbezi Luis ndo naishi Sasa na nyingine ipo mbezi msumi.Zote ni nyumba bora naza kisasa kabisa,sebuleni kwangu Kuna screen ya nchi 70 iliyonunuliwabkea shilingi za kitanzania milioni Saba na nusu pale duka la sumsung karibu na mnara wa askali au nyuma ya iliyokuwa postal bank_just for your information
Lengo la Uzi Ni kupinga propaganda zizosema kuwa Magufuli kafikia lengo tulilojiwekea kabla ya mudaLengo la uzi ni nini ikiwa hatujafika 2025?
Kuwakumbusha wanaosema kuwa tumefika uchumi wa Kati kabla ya malengo kua lengo bado halijafikaLengo la uzi ni nini ikiwa hatujafika 2025?
Nenda kalewe na mwenyekiti wako mbatata weBumunda unadhani kila mtu anayekosoa Ni chadema, kweli IQ yako Ni chini ya Panzi
What is the international standard sio unatuletea mambo ya uswahili? Halafu unawezaje kutegemea hicho kipato kuongezeka kwa zaidi ya 100%Kikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa.
Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania.
Pia kaweka rekodi nyingine sawa kuwa Uchumi kukua kwa asilimia 7 Ni Mkapa ndio aliweka na baada ya Mkapa haijawahi kushuka hiyo Kasi.
Hii ni tofauti na propaganda za Sasa hivi kuwa Magufuli ndio kapandisha Kasi ya ukuaji Uchumi.