Mzee Kikwete aweka rekodi sawa, Uchumi wa Kati waliopanga na Mkapa ni wastani wa dola 3,000 kila Mtanzania

Mzee Kikwete aweka rekodi sawa, Uchumi wa Kati waliopanga na Mkapa ni wastani wa dola 3,000 kila Mtanzania

Kwa uongozi huu wa magufuli, nadhani tunaweza kaaa msimu mmoja tuu kwenye hii league daraja la kati, mwakani unaweza kuta tumerudi kwenye league yetu pendwa ya mchangani ya daraja la chini.
 
MATAGA watamuona JK ni bonge la Snitch.

Amesema kazi ya Magu sasa ni kututoa hapa kwny kipato cha $1,080 na kufikia $3,000 by 2025 ili kufikia uchumi wa Kati.

Yaani kama tangu 2005 mpk 2020 wamepambana marais hatari ndio tumefikia $1080 sijui miujiza ya aina gani itafanyika ndani ya miaka 5 kufikisha $1,920 zingine.
Wakati kwa miakw mitano aliongeza $200
 
Mm siongelei chama mkuu cna chama mm na wala huyo Magufuli cjawahi mpigia kura, mm naongea mambo yanayoonekana, je unabisha kwamba ufisadi ulitamalaki enzi za Kikwete? Umeme je unabisha kwamba ulikuwa haueleweki enzi za Kikwete? Usiniingize kwenye siasa za uchama cz mm co ccm mwenzio mm ni mzalendo nnayeipenda nchi yng na naona rais wng kazi anayoifanya but cku akivurunda naponda na naongea ukweli.
Siokweli.
Kosa la kikwete ni kuwaamsha watu na kuwaluhusu kujua yanayotokea kwenye utawara.wake ote.

Kwasasa mambo mengi ya hovyo yanafanywa hata kuliko vipindi vyote vilivyopita.
Ila hakuna anaesubutu kuongea.

Yaan kwa ufupi tumeludishwa usingizini tena kama zamani.hakuna kuhoji wala kusema palipopinda.

Ukitaka uishi salama unatakiwa usifie tu.
 
Huo muda sina sababu nyumbu kazi ni kusifu hata kwa kupotosha ndo maana mchumi kikwete kaliweka hilo jambo Sawa labda nyumbu wanaweza kuelewa!
Tatizo magu bado.hajajua wanaosifia wanataka nini.

Maana kila anaesifia anapata nafasi ya uteuz.
Sasa kalibu kila mtu kajitoa ufahamu.
Hadi paskali nae kaamua kukesha kwa kutoa sifa tu.
 
WB hawakusema uchumi wa kati wewe sukule. Walisema "lower middle".
Huo ndio uchumi wa kati!?
Sasa kwani Magufuli alisema ni nini wewe nyumbu wa hapo ufipa?

Haya kahiyo Kikwete atamsaidia Lisu kampeni ili ashinde urais?
 
Kikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa.

Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania.

Pia kaweka rekodi nyingine sawa kuwa Uchumi kukua kwa asilimia 7 Ni Mkapa ndio aliweka na baada ya Mkapa haijawahi kushuka hiyo Kasi.

Hii ni tofauti na propaganda za Sasa hivi kuwa Magufuli ndio kapandisha Kasi ya ukuaji Uchumi.

Yeye mwenyewe kabemenda miundombinu yake mpaka basi halafu anajitetea upuuzi. Uchumi ni miundombinu na yeye miundombinu aliibemenda anategemea nini. Mipango siyo matumizi. Atuambie yeye alifanyaje kama si utapeli anafanya.
 
Wakati Kikwete akiwa madarakani nilimuona mtu wa kawaida lakini kwa maneno niliyoyasikia akisema msibani, nimeamini huyu jamaa ni kichwa na ni kiongozi kwa asili. Amefafanua mambo mazuri mno na inaonesha Mwinyi, Mkapa na Kikwete waliifanya ikulu taasisi na si ya mtu mmoja.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app

JK kichwa sana, huwa anashusha nondo kulingana na mazingira na hadhira aliyopo
 
Kwahiho WB ndio waongo?

Umeanza kuhoji wachangiaji badala ya Rais?? Naona ni kama umepewa za uso pia na JK, unawayawaya na kuuliza maswali ya hovyo.

WB siku zote wameitwa mabeberu. Sasa una mashaka pia na mabeberu ambao taarifa yao ya kupaa uchumi wa kati wa chini mliifurahia na kusema hata mmevuka lengo na kuwahi kufika kabla ya 2025???!!!

Aulizwe JK aliyosema ameyatoa wapi!!
 
Umeanza kuhoji wachangiaji badala ya Rais?? Naona ni kama umepewa za uso pia na JK, unawayawaya na kuuliza maswali ya hovyo.

WB siku zote wameitwa mabeberu. Sasa una mashaka pia na mabeberu ambao taarifa yao ya kupaa uchumi wa kati wa chini mliifurahia na kusema hata mmevuka lengo na kuwahi kufika kabla ya 2025???!!!

Aulizwe JK aliyosema ameyatoa wapi!!
Wewe ni moja kati ya wajinga wachache!

Jk kasema Mkapa alipanga kufikia 2025 tuwe na pato la dola elf 3 kwa kila mwananchi! Japo tumeingia uchumi wa kati kwa wastan wa pato la dola 1,080 lakini bado hatukafikia lengo la Mkapa!

Haya sasa wewe nyumbu mdogo sana hapo ufipa, Kikwete kuna kipi alichokanush hapo? Je aliesema tumefika uchumi wa kati ni Magufuli au WB?
 
Siokweli.
Kosa la kikwete ni kuwaamsha watu na kuwaluhusu kujua yanayotokea kwenye utawara.wake ote.

Kwasasa mambo mengi ya hovyo yanafanywa hata kuliko vipindi vyote vilivyopita.
Ila hakuna anaesubutu kuongea.

Yaan kwa ufupi tumeludishwa usingizini tena kama zamani.hakuna kuhoji wala kusema palipopinda.

Ukitaka uishi salama unatakiwa usifie tu.
Hebu nitajie hayo mambo ya hovyo yanayofanywa na uongozi wa ss na uthibitishe kwamba ni ya hovyo.
 
Kuna watu mbwiga kweli.

Hiyo $3000 ni ya Mkapa (Local) ambayo hata angekuwa Rais wa milele Tz angekufa tu bila kuifikia hata kama mwaka 2060.

Wakenya wenyewe hata $2000 hawajaifikia pamoja na kuwa MIC a decade itakuwa nyie utopolo.

World bank wao ni hiyo $1026-$12,475 ambayo inatumika dunia nzima ku-classfy MIC.

Na hakuna mtu amesema ameingia MIC ya Mkapa,watu wako kwenye ranking ya WB.
Mkuu kwa mujibu wa 2025 development plan yetu uchumi wa kati tunaoutaka ni wa kipato Cha USD 3000.00 per person.Hiyo iliyotangazwa na WB ya USD 1028 ni range ya WB but si tagert yetu jaribu kuelewa.Magufuli na serikali yake walikuwa wanatupotosha kwamba wamefikia target kabla ya muda.Shame on you and magufuli
 
Back
Top Bottom