Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

K
Kila jambo lina wakati wake! Ndio maana kuna sehemu yeye aliona ni priority kwa kipindi hicho!

Ndio maana wewe hukuongea wala kuandika kipindi kilichopita muds huu ndio muuafaka kwa wewe kuwashawashwa!
 
Siasa ni kujipa promo na kwa style yake hiyo kafika hapo alipofika

JK huwa ni mtu wa kujiongeza na imemsaidia, mnataka abadilishe style yake ya Siasa at 70 tena kwa kushauriwa na watu wasio na mafanikio yoyote ya kujilinganisha nae?

Jipe Maua yako mwenyewe ukiwa hai na nguvu usisubiri kupewa ukiwa ndani ya sanduku
 
Nchi ina wimbi kubwa sana la wajinga wanaojiita gt! Hata kama humpendi lakini jakaya aliongea kwa niaba ya maraisi wastaafu pale. Mwinyi umri umeenda anaweza akaenda nje ya mada.
Yote kwa yote kuhamishia serikali Dodoma lilikuwa la kipuuzi sana. Ni mzigo na gharama kubwa kwa walipa kodi wa nchi hii! Nchi masikini inajengaje ikulu ya gharama vile?
 
Hakuna kupoteza muda hapo. Ujenzi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma ulianzishwa na JPM.
Hawa wengine hawana hata aibu kuwadanganya Watanzania kwamba na wao walijenga.
Aibu yao.
 
Hakuna kupoteza muda hapo. Ujenzi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma ulianzishwa na JPM.
Hawa wengine hawana hata aibu kuwadanganya Watanzania kwamba na wao walijenga.
Aibu yao.
Yaani marehemu kauwawa kisha waliobaki wanashindana nae kumzima kwa kujipachika kwenye kazi alizozfanya kwa ujasiri mkubwa sana,

Aibu hawana kabisa
 
Wewe na huyo mswahili wapuuzi, afterall mleta uzi hajaonyesha chuki kwa Jakaya bali katoa maoni yake kulingana na hali na tafakari yake
 
Promo kwenye hakuna,unajipa promo halafu unazodolewa?,ujinga mtupu,zama hazigandi,watanganyika wamezinduka
 
Wewe na huyo mswahili wapuuzi, afterall mleta uzi hajaonyesha chuki kwa Jakaya bali katoa maoni yake kulingana na hali na tafakari yake
Kama unafiri kikwete ni mswahili na asiye na hadhi basi unakosea sana na kushusha kabisa uwezo wako mdogo wa kufikir uliobaki!
 
Chuki ilianzishwa na wale walioshangilia kifo cha Magufuli na hakuna kiongozi yoyte alietoka hadharani kukemea sana waligonga glass na cheers,tulia dawa iingie
Kifo cha yule mzee ilikua kuponywa kwa taifa, Watu kushangilia haikua ni chuki waliponywa na mateso
 
Promo kwenye hakuna,unajipa promo halafu unazodolewa?,ujinga mtupu,zama hazigandi,watanganyika wamezinduka
Yeye kishamaliza Siasa zake na kila alichotaka kwny Siasa kapata …sasa kuzinduka kwako kunamkosesha nini?
 
Chuki itakuua ndugu.Hakuna Raisi aliyefanya maendeleo kama Kikwete.Huyo mungu wenu kaliingizia hasara sana hili taifa.Kulikuwa na haja gani ya kujenga ikulu nyingine wakati ikulu ipo?Jk aliunganisha mikoa yote kwa barabara za lami,eti nyie sifa mnampa mungu wenu magu!Ni barabara gani aliijenga magu katika utawala wake inayounganisha mkoa hadi mkoa?Acheni chuki nyie sg
 
Kama baba yako mbakaji anavyotamani kurudi lakini ndio hivyo anajiozea tu huko
Pole, linakuuma mwenyewe liMunguMtu lako. Anzisheni kanisa lenu ili mmwabudie vizuri Baradhuli yule
 
Maendeleo yapi?,
1,kushamili kwa biashara ya dawa za kulevya?,
2,wafanyakazi hewa?,
3,ujambazi kushamili
4,mauaji ya alibno?
5,kuleta vyandarua toka marekani?
6,kusaini mikataba ya kinyonyaji?
8,kusafiri kila mara kutembeza bakuri?

Acha ujinga wako
 
Kama angekua na preminaries za ujenzi, basi angeanza upandaji angalau wa miti kuanzia 2007-2014 na sasa Chamwino yote ingekua kijani. Hakuna chochote Jakaya Mrisho Kikwete alichofanya zaidi ya porojo. Ona sasa ikulu sasa hivi "in the middle of nowhere"

Sent from my SM-A525F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…