Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

Tokea mwanzo kabla ht rais hajafika Ikulu mshereheshaji alitaja list ya watakaoongea JK akiwemo. Acha uongo.
 
Na ndio maana hata tuzo zimetoka 2 tu, kwa Nyerere na Magufuli. Samia kuna muda anaamua kujizima data tu ila anajua kila kitu.
Sahihi,mama wa watu ni mcha mungu sana,tatizo kila eneo anaingiliwa,imagine leo hotuba ya rais Samia, i Mrisho Mpoto kaielezea history yote ya Ikulu mama akashindwa kusoma yake,

Huu ni ubaradhuli mkubwa sana wa wasaidizi wake baadhi
 
Na hii tabia muasisi wake ni Magufuli.
Kabla ya Magufuli hakukuwa na kundi hili la sukuma gang
 
Na hii tabia muasisi wake ni Magufuli.
Kabla ya Magufuli hakukuwa na kundi hili la sukuma gang
JK alikuwa ni mtandao, yeye na Lowassa walianzisha hii tabia ya kubagua watu kwa urafiki wao. JPM akaja na tabia ya kutazama mtu anatoka sehemu ipi ya TZ.

Huko katika vikao vya halmashauri walipageuza kuwa ni nyumbani kwao, wakitaka kumteta mtu wanaanza kuongea kisukuma, kibaya zaidi hawakujiweka katika kundi la binadamu.
 
Ukweli lazima usemwe,haijalishi unaumiza upande upi,
History inaandikwa, isijae upotoshaji,

Hata hao unaowaita wanatekeleza ilani ya CCM kuna tofauti ya maono baina yao

Ndio maana mzee Kikwete alisema sasa hivi wanaccm hawaachiani glass za maji,
 
Tatizo taifa lina watu waongo waongo sana
Wanahabari waongo
Viongozi waongo
Vyama vya usalama waongo
Mpaka makampuni ya simu..

Ukishagundua kua binadamu anaskia furaha akifanganywa. Hata autoshangaa siasa zilivyo uongo uongo

Kama jumamosi kifacf ni jumalakwanza

Ila uku kwenu tunaamini ni siku ya sita kwenye juma

Dawa ya moto ni moto inabidi wote tujifunze uongo ili twende sawa na waongo wenzetu (waongozi😂😂😂)
 
Ukweli mchungu na makini sana,big up broo,sasa ya Zuhura Yunus tumeliona,hatuwezi kukaa kimya,kisa eti tutaitwa sukuma gang
 
JK ashauriwe kuwa sio lazima kuongea kila hafla.Muda mwingine ni kujiaibisha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…