Tumieni akili,Hilo dongo no from no where to charto man & co
Usiseme ''kama''. Hapa amempiga Jiwe nyundo pwaa! Namna hata yeye anakereka sana na uongozi wake ila tu tatizo mtu ukishakuwa nje ya kiti cha urais huna cha kufanya zaidi. Hapa anajaribu kutumia mbinu za ki-pwani pwani kumwonyesha kuwa uongozi wake unakera wengi.Sasa mbona kama JK anampiga dongo mhe jiwe? Maana yeye ndiye mwenye sifa hizi:
Daah! Huyu jiwe huyu, tarehe 28/10 ifikie tumpige chini yeye na vibaraka wake wote.Usiseme ''kama''. Hapa amempiga Jiwe nyundo pwaa! Namna hata yeye anakereka sana na uongozi wake ila tu tatizo mtu ukishakuwa nje ya kiti cha urais huna cha kufanya zaidi. Hapa anajaribu kutumia mbinu za ki-pwani pwani kumwonyesha kuwa uongozi wake unakera wengi.
"Mnataka Rais wa namna ya Dkt. Mwinyi sio rais mwenye makeke mengi, mbwembwe nyingi, kujimwambafai mwambafai kwingi, kujitutumua kwingi, kuona wengine hawana maana,lakini Dkt. Mwinyi hana hiyo, isitoshe ni mwana CCM ambaye imani yake haina chembe ya shaka"View attachment 1611755
Huyu kisirani naye atulie asitake kuamsha walioamua kumnyamazia."Mnataka Rais wa namna ya Dkt. Mwinyi sio rais mwenye makeke mengi, mbwembwe nyingi, kujimwambafai mwambafai kwingi, kujitutumua kwingi, kuona wengine hawana maana,lakini Dkt. Mwinyi hana hiyo, isitoshe ni mwana CCM ambaye imani yake haina chembe ya shaka"View attachment 1611755