Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala hana makeke ya kuona wengine hawana maana, hili ni dongo limeporomoshwa moja kwa moja.Kikwete alikuwa akimpigia kampeni Maalim Seif, na Tundu Lissu, Tundu Lissu Hana kujimwambafai
Mnajishaua tu, hilo dongo ni maalimu na lissu! 2025 tunaenda Mwinyi Jamhuri ya muungano!Hilo dongo ni from no where to charto man & co
Duuh! Kikwete vijembe vyenye hadhi ya majembe kabisa. Kwa vyovyote vile anamlenga mtu fulani.Kikwete huwa simuelewi. Aliwahi kusema " Ndege wakati wa baridi hunyonyoa manyoya yake ili kuwakinga kinda dhidi ya baridi. Lkn ndege huyo lazima awe makini kwani anaweza kujinyonyoa sana mwisho akashindwa kuruka kwenda kutafuta chakula. Akafa yeye na kinda wake".
Aliwahi pia kusema " Ukiwa unahitaji kufanya usafi na marekebisho kwenye nyumba, lazima uvitoe vitu vyote nje kwanza. Kisha utafanya usafi marekebisho na hata kupiga rangi mpya. Na nyumba itapendeza kweli kweli. Lkn utakuwa Juha kama hutakumbuka kuvirudisha vile vifaa ndani kwa wakati vitaharibika na mwisho utalazimika kuvinunua vingine kwa gharama kubwa. Sasa sijui huko ndiyo kubana matumizi au kuongeza gharama zaidi".
Nafikiri alimlenga mtu fulani ndiyo maana nasema huwa simuelewi.
Vipi "ulipo tupo"⁉️‼️Sasa mbona kama JK anampiga dongo mhe jiwe? Maana yeye ndiye mwenye sifa hizi: