Mzee JK,hakika wewe ni muokozi, kama hatuta kuelewa basi hatutakuja kuelewa tena! Tutakuwa wajinga waliopitiliza.Dah huyu mzee.....!
View attachment 1611779
Pengine alikuwa anajua wehu anao lakini hakujua kama akipapewa wadhifa ule wehu unazidi maradufuIla ni yeye aliyetuachia huu msala
Wa Bara ndiye aliyempeleka Zanzibar,kutoka Mkuranga.Sasa mbona hapo ametaja sifa za rais wake wa bara?
JK anamngoja mwenzake awe mstaafu ili waanze kuzichapaMstaafu na mstaafu mtarajiwa
Maskini!Lissu akishinda Urais, naamini mmoja wa watu muhimu watakaofanikisha ushindi wake ni Kikwete.
Walifanya hivyo kwa kumoa sifa za kijinga Membe mwishowe Membe kaishia mitiniManajaribu kuwafitinisha viongozi wetu ila mkae mkijua CCM NI IMARA KULIKO JANA.
OCTOBER 28TH NI USHINDI WA KISHINDO KWA JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
JK naona anamsubiri kwa hamu sana awe mstaafu mwenzake, ili amtandike makonde
Kikwete atakuwa na hasira sana naona.!Sasa mbona kama JK anampiga dongo mhe jiwe? Maana yeye ndiye mwenye sifa hizi:
Mzee katumwa na mabeberu!!
Kwa hiyo Kikwete kaamua kumdhihaki Magufuli eeeh!
Ngoja tuone kama Magufuli ataweza kuvumilia au kurudisha mashambulizi.
Wewe mwongo sana,boss unalamba miguu mpaka panapotokea mbolea!!!Sasa mbona kama JK anampiga dongo mhe jiwe? Maana yeye ndiye mwenye sifa hizi:
Mkwele anapendwa na watu na pia anakubalika sana na ana mahusiano mema na vyombo vya ulinzi MNA usalama.Hii nfiyo sauti pekee iliyobaki, Mzee baba ataijua ngima siku akiachia kiti, naihurumia familia yake maana wataondolewa wote kwenye mfumo hata kama ni Katibu kataHahahaa.. hawa marais wawili ipo siku watapigana ngumi live.
Ni suala la muda tu JK vs JPM ... Mkwere hii case bado mbichi aisee
Kikwete huwa simuelewi. Aliwahi kusema " Ndege wakati wa baridi hunyonyoa manyoya yake ili kuwakinga kinda dhidi ya baridi. Lkn ndege huyo lazima awe makini kwani anaweza kujinyonyoa sana mwisho akashindwa kuruka kwenda kutafuta chakula. Akafa yeye na kinda wake".Sasa mbona kama JK anampiga dongo mhe jiwe? Maana yeye ndiye mwenye sifa hizi: