Uchaguzi 2020 Mzee Kikwete: Ninakopanga sijafukuzwa

Uchaguzi 2020 Mzee Kikwete: Ninakopanga sijafukuzwa

Ila ipo kunako bonde!! hilo ndilo halijamfurahisha, ukizingatia pia kuwa aliwahi kuwaambia!! Hataki nyumba za kuja kumsimangia hapo baadae
 
Hizo pesa za mishahara aliopokea inatia hasira pale unaposikia na Nyumba anajengewa na serikali. Ila Mwalimu mshahara mbuzi, na nyumba ajenge mwenyewe kwa huo mshahara mbuzi!
 
Ttzo lake anakula mwenyewe ndo ugomvi na wananchi ulipo
Yani Magu ni Rais mzuri sana tena sana. pia hakuna mwanadamu ambae hana mapungufu lakin pungufu la mh Magu hatari coz zaid ya asilimia 70% lina negative impact sasa huyu hafai pungufu lake ni kubwa mno la kuto kula na wananchi
 
Huku Wastaafu ambao ni matajiri wakijengewa maghorofa upande mwingine Polepole anajinadi kwamba wao CCM viongozo wote wanatembelea ma V8,anaetembelea gari ya kimaskini ni mwenye IHZ.

Na hio ndio CCM ya wanyonge na Rais wa wanyonge.
 
Ile ilikuwa joke tu ili achomekee ujumbe wake bila kumkwaza au kuonekana anapingana na JPM. Yeye kusema ni kuwa wasiharakishe saaana ujenzi na kuharibu quality maana Rais aliagiza nyumba iishe by Jan 2021.

Tukichukulia kila kauli seriously, tutakufa kwa BP mapema sana

Pamoja na hayo, hii kufuru ya kuwajengea hawa watu mahekalu inatia ukakasi kidogo.
Anawakosoa watangulizi wake!! manake Mwinyi alipaswa kujengewa na Mkapa, Mkapa na Kikwete!!! Sasa yeye anapiga fasta kama ilivyokuwa kwa hosteli za UDSM, Na JK nae hataki mambo ya sijui nini nini joint!!!
 
Sasa ulitegemea kaul gani kwa mwanadiplomasia "Nguli" na Rais mstaafu![emoji23]
 
yana magu ni raisi mzuri sana tena sana. pia hakuna mwanadamu ambae hana mapungufu lakin pungufu la mh magu hatari coz zaid ya asilimia 70% lina negative impact sasa huyu hafai pungufu lake ni kubwa mno lakuto kula na wananchi
Uzuri wa Magufuli ni upi hasa?
 
ana shauku ya maendeleo yenye kasi.
UDHAIFU maendeleo yenye kasi bila kujali watu.
Cha ajabu ana shauku ya maendeleo yenye kasi kwa kuumiza watu wengine lkn yeye,familia yake na marafiki zake wala hua hawaumizwi na kasi hio ya maendeleo.
 
Marais wastaafu wanatakiwa kula bata kiasi wanachoweza wakiwa hapa Duniani maana wengi tayari roho zao wamezichuuza kwa Lucifer
 
Imenibidi nirudie kuisoma ID ya mleta uzi huu kama mara nne hivi, kuthibitisha kama NI YEYE. Kwani, sio kawaida kuto kuunga mkono au kusifia kwa lolote litalofanywa na Serikali au CCM!
Leo DISHI limekaa sawa, tena nadhani ni kwa muda tu!
Ipo hivi:-
1. Kuna wafuasi wa Magu... majority ya hawa wanasukumwa na ukabila,
2. Kuna wafuasi wa CCM na serikali yake,

Ukiona jamaa ka-mind basi kuna uwezekano mkubwa akawa ni mfuasi wa Magu na sio mfuasi wa CCM kwa maana ya kuongozwa na itikadi ya chama!!

Atakuwa ka-mind kwa sababu anafahamu kauli hiyo ya JK ni dongo kwa Magu... ugomvi ndo unaanzia hapo!!! Amenuna kuona Magu kapigwa dongo!!

Mfuasi wa CCM na Serikali yake hawezi kununa, na hata akinuna, atanuna ndani kwa ndani kwa sababu hawa wanafahamu Magu wao, na JK ni wao!!!

Ukiwasoma michango yao, ni rahisi sana kujua nani mfuasi wa Magu na ambae allegiance yake ipo kwa Magu na yupi ndie mfuasi wa kweli wa CCM na serikali yake!!!

In short, hao wa Magu ni Mamluki, na wengine hapo kabla walikuwa upinzani lakini Ikulu alipoingia mtu wa kwao, wakaanza kumuunga mkono "home boy"!! Yaani ni watu aina ya Josephat Gwajima!!!

Hao wakiona mtu yeyote kutoka CCM, iwe marais wastaafu au viongozi wa CCM waliopo; wakiona mtu au watu husika wanamkwaza Magu lazima watoe mapovu!
 
Lile lilikua dongo kwenda kwa gari la mkaa, wakwere hujawajua vizuri wewe.

Hivi kwa akili zako kabisa JK awe amepanga? Labda Kama kajipangisha nyumba yake mwenyewe.
Katika comment zote yako iko safi huyu jamaa anamafumbo sana,anamwambia kujengewa nyumba na matatizo aliyo nayo meko kwani imemsikia yeye kapanga
 
Wapi malalamiko?
Kupanga haina maana huna nyumba au huna uwezo wa kujenga
 
Anamanisha hata mumpe nyumba wakati huu bado JPM hashindi.

Mwache kujipendekeza kwani analala nje?
 
Ahahah yeye kasema serikali yake haitagawa pesa za mchezo! Ni razima watu muchape kazi kwerikweri 😂
Hakuna asiyetaka kutofanya kazi,ttzo zuluma unahangaika kulima bila msaada ukitaka kuuza wanakupangia,ukiuza wateja hamna sababu ya sera zake mbovu za kuwasomesha namba watu
 
Back
Top Bottom