Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Shakari

Senior Member
Joined
Jul 6, 2022
Posts
188
Reaction score
570


Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?

Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
 
Sema umasikini ndo Tatizo lakini gharama za Maisha za kawaida sana

Earning and purchasing ndo tatizo

Huko Kingereza watu wanaingiza pesa nzuri so mfumuko wa gharama za Maisha hauathiri watu wengi.
Kama kweli huko uingereza watu wanaingiza pesa nzuri wafanyakazi wasinge andamana kuishinikiza serikali kuwaongezea mishahara ili kuendana na mfumuko wa bei.
 
Back
Top Bottom