Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Eboooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaelekea Uingereza.Hata kwa shangazi siku hizi ni ngumu, maana hata yeye hana cha kukulisha
Watanzania acheni kulalamika mnapata hela za kuhonga michipuko na kulealwa bar then mnalalamika kupanda kwa unga it doesn't make senseKama kweli huko uingereza watu wanaingiza pesa nzuri wafanyakazi wasinge andamana kuishinikiza serikali kuwaongezea mishahara ili kuendana na mfumuko wa bei.
Nimesoma hiyo nukuu hata sijaelewa ameongeanini.Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao...
Na ww acha mihemko kwaiyo ni watanzania wote wanafanya hivyo?Watz acheni kulalamika mnapata hela za kuhonga michipuko na kulealwa bar then mnalalamika kupanda kwa unga it doesn't make sense
Yeye anajua bei ya kipi kati ya hiviMstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao...
Kwaiyo gharama za maisha kupanda umeona ni kupanda kwa unga tu vitu vingine huvioni?Watz acheni kulalamika mnapata hela za kuhonga michipuko na kulealwa bar then mnalalamika kupanda kwa unga it doesn't make sense
90% ndo Maisha yao.Wa ww acha mihemko kwaiyo wote watanzania wanafanya hivyo?
Mnafiki ni yule ambaye anamiliki rasilimali halafu anategemea supply ya rasilimali alizonazo zitoke nje.Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao...
[emoji38][emoji38][emoji38]Takbirrrrrr!.
Hivo hivo ulivosemaUlitaka nisemeje?
Vinahusianaje?Fanya utafiti
Kabisa...tena tunapewa mifano ya nchi kubwa tajiri.Serikali kwasasa ikikabwa utasikia mbona nchi flani... yaani tunaongozwa kwa kufuata mgongo wa nchi flani bila kuangalia hali halisi ya uchumi wetu
Zifahamu benefits za Rais mstaafu wa JMT kwa mujibu wa Political Service Retirement Benefit Act, 1999.Nani anawezakutuwekea beneficiaries anazopokea raisi mstaaf atuwekee hapa
Umeishia la ngapi? 🤣🤩Vinahusianaje?