Watz acheni kulalamika mnapata hela za kuhonga michipuko na kulealwa bar then mnalalamika kupanda kwa unga it doesn't make sense
Wangapi wanalewa na kuhonga? Wazazi wao hawa wamo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watz acheni kulalamika mnapata hela za kuhonga michipuko na kulealwa bar then mnalalamika kupanda kwa unga it doesn't make sense
Babaako nae angejiunga tanu youth league Kisha CCM,na Kama angekuwa kaelimika walau kidogo,basi angepata nafasi za juu na mishahara Kama kikwete aliyopata,Ila mzee wako ngumbaru na we mwenyewe ngumbaruDaah, Kwa haya MAHELAAA lazima JIZI KIKWETE LIFURUKUTE na KUFOKA.
MAHELA MENGI KWELI KWELII, PENSION, MARUPURUPU, NYUMBA BURE, GARI BURE!!
UKIJUMLISHA NA MAHELA ALIYOTUIBIA AKIWA RAIS!
NA MIGODI ALIYOIPORA, NA MADINII, NA PEMBE ZA NDOVUU ALIZOJITWALIAAA!!!
JAMENIIII, THE TRILLIONAIREE!!!
Chumi zote zimeathirika na matukio ya dunia,ndiyo mfanano wake,chuki zako zinatokana na ujinga
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka? Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka? Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
We jamaa ni nomaMagufuli alinitendea mabaya mengi
Ila kushika PUMBU za huyu mwamba enz za utawala wake alipatia Sana maana alitulia Kama maji ya mtungi
"WASTAAFU MNAWASHWA WASHWA"
Sent using Jamii Forums mobile app
Uelewa wako uko sawasawa!?
Piga ua wasukuma hawa
Sasa ya babake huyu yanahusika je tena?Babaako nae angejiunga tanu youth league Kisha CCM,na Kama angekuwa kaelimika walau kidogo,basi angepata nafasi za juu na mishahara Kama kikwete aliyopata,Ila mzee wako ngumbaru na we mwenyewe ngumbaru
Uelewa wako uko sawasawa!?
kanywe pepsi kwa mangi nitalipa.....na ataonekana kituko na kufa vibaya juu yake Mungu adhihahiki na ni wetu soteHuyu aliwaua Mkapa na Magufuli Ili yeye akubalike matokeo yake anaonekana kituko tu,malipo hapahapa duniani
MI sijaona la maana lililosemwa..!!! Wala sijaona unafiki wa watu hapo..!! Yaani kipimo cha kuwa wangekuwa kwenye nafasi za uongozi hao wanaolalamika wasingeweza kushusha bei ni unafiki wenyewe..!!Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka? Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Sawa
Tangu Mbowe aanze Maridhiano hali imezidi kuwa ngumu!
Wivu utakuua jinga wewe. Nchi hii utakuta mtu amelala njaa lakini anamtukana mtu ambaye ameshawahi kufikia level ya juu zaidi ya cheo cha hapa duniani kwa kuwa Rais wa nchi
Huyo anakula mshahara 80% wa Rais aliye madarakani. Huyu anaweza kuyafahamu mateso tunayopitia wananchi wa daraja la chini????Kuna wastaafu wanawashwa washwa - Jiwe Kiongozi wa Malaika
Tunaelekea Uingereza.
Watz acheni kulalamika mnapata hela za kuhonga michipuko na kulealwa bar then mnalalamika kupanda kwa unga it doesn't make sense
Kinamuwasha kitu gani mtawala kukosolewa? Kani yeye ndio rais kwa sasa anajitokeza kufokea wananchi wanaolalamika?Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka? Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'