Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Hahahaaa!!! Safi sana kwa jibu lako na wakati ni huu wa majibu ya namna hii.
Mungu akuweke miaka mingi mnooo
 
90% ndo Maisha Yao
Gharama za Maisha hazijapanda kiasi kikubwa unabidi kuishi kwa kuangalia situation unazaa watoto wengi hauna kipato Cha uhakika , unalewa , unahonga michipuko unafanya ngono zembe hapo utalalamika kila Mwaka

Serikali za nchi za Africa hasa ngozi nyeusi hazinaga mpanga wa kumuokoa mwananchi so Usipokuwa makini unaweza kuzikwa hai.

Please punguza dhihaka. Kama wewe umeshiba usimtukane mwenye njaa. Eti asilimia 90 ya watanzania wanashindana bar? Unajua unachokiongea?.
 
Huyo anakula mshahara 80% wa Rais aliye madarakani. Huyu anaweza kuyafahamu mateso tunayopitia wananchi wa daraja la chini????
Zifahamu benefits za Rais mstaafu wa JMT kwa mujibu wa Political Service Retirement Benefit Act, 1999.


On retirement the president is entitled to the following benefits under this law.

To begin with he shall be entitled to annual pension that will be payable to him every month at the rate of 80% of the incumbent president.

He will also be entitled to a gratuity the amount of which is 50% of the total salaries received when in office as a president.

He: is also entitled-to winding up allowance the amount of which is the total salaries accorded to the incumbent president for 24 months.

Other benefits include the diplomatic passport, for him and the spouse, Health insurance for treatment in the United Republic of Tanzania, the service of two vehicles availed to him by the government, a full furnished house with not less than four rooms (self contained) together with the servant quarter.

Maintenance allowance for every month the amount of which shall be equal to 80%, of the salary of the incumbent president. He shall also be entitled to security services to him and his family, one personal assistant, one personal secretary, office attendant, one cook, one laundry man, one laundry man, domestic servant, one gardener, two drivers and he will also be entitled to use the VIP lounge.

If the president dies while in power or after retirement but before - receiving his benefits the dependants shall be entitled to a gratuity the amount of which is equal to the total of all salaries which were received by the president while in power.[2] Again where a retired president dies the widow shall be entitled to a pension of 25% of the salary of the incumbent president.

duuh . inasikitisha
 
Hili lizee la msoga huwa haliwezi kutuliaa. Ni LINAWASHWA KOMWE na kufurukuta kama ndulele kwenye chungu cha moto.

Alipewa miaka kumi ya urais lakini hakuna alilolifanya zaidi ya UFISADII na kuongoza GENGE LA MAJIZII YA KILA AINA, ESCROW, MEREMETA, IPTL na mengine chungu mzima.

Yale makontena ya hela aliyoyaficha msoga ayalete mtaanii tupunguze ukata.

La mwisho na la sekondari, amuache SAMIA APIGE KAZIIIII..... YEYE YALISHAMSHINDAAAA ATULIEEEEEE AACHE KUJIFANYAA MJUVI UCHWARA
Amuache vp wakti jiko ni lake lile remote ipo kazini
 
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka? Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Hapa naamini Kikwete amekuwa quoted out of context.

Kikwete ni mwana diplomasia wa kimataifa hawezi kuongea utumbo huo.
 
Rais huyu tuliye naye sasa hana majibu yoyote kwa matatizo yetu. Rais huyu walifika wale viongozi wa dunia intellectuals kuongea naye,wanachagua maneno mepesi ili aelewe.
Nchi haina mwelekeo,haina nidhamu ya kazi. But that is about to change.
 
Uingereza na ulaya watu wanakula vyakula vya mbwa na paka baada ya vyakula vya binaadam Bei kupaa,wanaandama kuongezewa mshahara kwendana na gharama za maisha,ndicho alichomaanisha,badala yake mmeona pa kutemea nyongo kutoa chuki zenu zilizojaa vifuani dhidi yake,COVID na Vita Ukraine vimepaisha gharama za maisha

Acha uongo, unataka kulinganisha Tanzania na uingereza?. Tatizo wananchi mnakalia kuwatetea wanasiasa baadala ya kuongea Lugha moja. Shauri yenu kama mpo tayari kufa na njaa lakini mumfurahishe mwanasiasa.
 
Chumi zote zimeathirika na matukio ya dunia,ndiyo mfanano wake,chuki zako zinatokana na ujinga

Kwa hivyo uchumi wa Tanzania Unalinganisha na uingereza?. Tuache uongo.
 
Babaako nae angejiunga tanu youth league Kisha CCM,na Kama angekuwa kaelimika walau kidogo,basi angepata nafasi za juu na mishahara Kama kikwete aliyopata,Ila mzee wako ngumbaru na we mwenyewe ngumbaru

Unatukana wazazi wake kwa Nini?. Hizi dharau zenu za kijinga hazina nafasi. Huyo Kikwete mwenyewe kapata urais kwa kuomba kura kwa maskini nchi nzima, Leo unaongea kana kwamba urais alijipa mwenyewe.
 
Hali ilianza kuwa ngumu alipokuja Mbowe

Nyie bakini na siasa kwenye mambo ya kitaifa yasiyo hitaji siasa au vyama. Unamuingelea Mbowe Kama ndiye Rais wa nchi. Wananchi tubadilike, tunalala njaa lakini kutwa kumsema Mbowe na kuwachekea na kuwasifu wenye mamlaka ya kubadilisha Hali ya Maisha.
 
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka? Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Serikali zinatakiwa kupanga kwa emergencies.

Ndiyo maana kuna Strategic Grain Reserve, Strategic Petroleum Reserve etc.

Yani serikali ilitakiwa kuwa na stock kubwa, kwenye matatizo ya njaa au ukosefu wa mafuta, serikali inaachia mzigo wake wa reserve ili kusaidia kupunguza makali ya kupanda bei.

Marekani ni mabepari na hawapendi serikali kuingilia biashara, lakini Biden alifungua reserves za serikali z amafuta kupunguza ukali wa bei ya mafuta.

Tukubali tu kwamba serikali yetu haijajipanga kwenye mambo kama haya na mtu kama Kikwete baada ya kukaa serikalini miaka yote hiyo, kusema hivi bila aibu, anaonesha tatizo la uongozi kwetu lilivyo kubwa.

Soma habari za White House kuhusu mpango wa Biden kukabili mfumuko wa bei ya mafuta Marekani, sasa Kikwete hajui serikali inatakiwa kufanya hivi?

 
Huyo anakula mshahara 80% wa Rais aliye madarakani. Huyu anaweza kuyafahamu mateso tunayopitia wananchi wa daraja la chini????
Zifahamu benefits za Rais mstaafu wa JMT kwa mujibu wa Political Service Retirement Benefit Act, 1999.


On retirement the president is entitled to the following benefits under this law.

To begin with he shall be entitled to annual pension that will be payable to him every month at the rate of 80% of the incumbent president.

He will also be entitled to a gratuity the amount of which is 50% of the total salaries received when in office as a president.

He: is also entitled-to winding up allowance the amount of which is the total salaries accorded to the incumbent president for 24 months.

Other benefits include the diplomatic passport, for him and the spouse, Health insurance for treatment in the United Republic of Tanzania, the service of two vehicles availed to him by the government, a full furnished house with not less than four rooms (self contained) together with the servant quarter.

Maintenance allowance for every month the amount of which shall be equal to 80%, of the salary of the incumbent president. He shall also be entitled to security services to him and his family, one personal assistant, one personal secretary, office attendant, one cook, one laundry man, one laundry man, domestic servant, one gardener, two drivers and he will also be entitled to use the VIP lounge.

If the president dies while in power or after retirement but before - receiving his benefits the dependants shall be entitled to a gratuity the amount of which is equal to the total of all salaries which were received by the president while in power.[2] Again where a retired president dies the widow shall be entitled to a pension of 25% of the salary of the incumbent president.
Uhujumu unaofanyika passively ndio huo. Tuna mengi ya kuboresha kabla ya kuwaza mapya na maendeleo.
 
Back
Top Bottom